Tatizo la ubovu wa kijiko cha bandari ya Tanga lakwamisha makumi ya malori ya kubeba shehena ya clinker

Suzy Elias

JF-Expert Member
Nov 9, 2021
1,067
6,193
Hii nchi ina vituko sana!

Huko Tanga wheel loader ama kijiko kwa lugha maarufu kimekwama kupakia maroli ya kubeba shehena ya material ya kutengenezea cement yaani clinker kwa ubovu wa kuvuta miss.

Hali hiyo imesababisha makumi ya maroli kukwama kubeba shehena hiyo kwa sababu hilo la mashine iliyotokea saa sita mchana na hadi wakati huu mafundi wa bandari tajwa wameshaondoka kwenda kwao kwa kisingizio cha muda wa kazi kumalizika hadi hapo kesho.

IFAHAMIKE BANDARI KUBWA YA TANGA INAYO MASHINE WHEEL LOADER MOJA PEKEE!

Maoni yangu;

Kwa hali hii ni vigumu nchi hii kuyafikia maendeleo ya kweli kwa uzembe wa kijinga kama huo.
 
Makumi ya maroli ya kubeba shehena ya clinker yamekwama TPA huko Tanga kwa sababu ya kijinga kabisa!

Wheel loader ya TPA Tanga imevuta miss tokea jana na mafundi wanatengeneza kwa kujisikia eti kwa madai wanamkomoa operator kwa sababu huwa hawapi chochote.

Ifahamike tatizo hilo utatuzi wake huwa si zaidi ya nusu saa ajabu tokea jana saa 6 mchana hadi wakati hakuna utatuzi wowote uliofanyika kwa sababu ya operator na mafundi eti wanakomoana.

Hii ni aibu kwa TPA.
 
Makumi ya maroli ya kubeba shehena ya clinker yamekwama TPA huko Tanga kwa sababu ya kijinga kabisa!

Wheel loader ya TPA Tanga imevuta miss tokea jana na mafundi wanatengeneza kwa kujisikia eti kwa madai wanamkomoa operator kwa sababu huwa hawapi chochote.

Ifahamike tatizo hilo utatuzi wake huwa si zaidi ya nusu saa ajabu tokea jana saa 6 mchana hadi wakati hakuna utatuzi wowote uliofanyika kwa sababu ya operator na mafundi eti wanakomoana.

Hii ni aibu kwa TPA.
Nimekufata inbox mkuu
 
Back
Top Bottom