usiniwekee maneno mdomoni sijasema ni maneno yana maana sawa, nimesema ni maneno yasiyopingana !
Sina sababu ya kuremba maneno ya lissu, niyarembe ili iweje ? Kwani mimi msaidizi wake ? Ninaweza kuona situation ya kisiasa tz na kufikia conclusion zangu mwenyewe na ambazo naweza kuzisimamia regardless lissu, wewe, mbowe, slaa au mtu mwingine yeyote atasemaje.......wewe na maccm wenzako mnachotaka kusikia ni kwamba cdm kinakufa, kipo kwenye mgogoro etc na ndio maana ukisikia kauli yeyote ya viongozi wa cdm inayoashiria utaing'ang'ania kwa nguvu zote sababu ndicho unachotaka kusikia ! Lissu angesema cdm kiko imara, ungekubaliana naye ? Ofcourse not ! Why ? Kwa sababu you don't want to believe that !
Kwangu it is very obvious kwamba ccm wana hali mbaya kupita cdm......wakati harakati za kumfukuza msaliti zitto zilipokuwa at its peak, matamko ya kupingana kutoka kwa wanacdm hayakuwa mengi kama yalivyo sasa hivi kwa ccm....na hicho ni kitu kimoja tu....nikienda kwa upande wa nani anapata wanachama wapya wengi, nani analoose wanachama wengi kila siku na mambo mengine mengi yanayoashiria kukua au kudhoofika kwa chama, ccm ndio hamtaamka kabisa !
mbutika huelewi anachozungumza halafu unaishia kusema anaropoka.
wengine inaonyesha walitazama sio walisikiliza
wanamwekea kamanda lissu maneno mdomoni
mkuu kwa hiyo mimi na wewe tuna kubaliana kuwa lissu amesema chama bado hali si shwari?
Basi tumpongeze kwa kusema ukweli.
unaandika yasiyo husu.
Tundu Lissu kasema kwa kiswahili chepesi kuwa mgogoro umekitisa chama na wala hakuhitajiki kutafsiri hapa.
Hata dr slaa aliposema kuwa mabomba ya gas yameelekezwa ulaya ili kuiba gas yetu mlikuja na story kama hizi za kujifanya watafsiri.
Kwa pamoja tumpongeze Tundu Lissu kwa kuusema ukweli ulio mshinda Dr.W.Slaa.
Huku Dr.W.Slaa anasema chama kiko himara.
Huku Tundu Lissu anasema chama kimetikisika.
Nani mkweli sasa?
sijawahi kuona mhaya Mjinga Kama wewe jitambue uwe unapangilia ya kuongea sio muda wote ni. CDM Pambafmkuu huko kwenye sheria huwa ana wachanganya wengi hasa viongozi wake.
Kumpeleka kwenye tume ni kutaka kuwapotosha wananchi, inapofika kwenye maswala kama haya ana kuwa na jaziba sana.
Lakini kwa leo naona ana stahili pongezi.
mkuu unazidi kudhihirisha kuwa bavicha ni chuo cha matusi na unajisumbua bure.
Naomba tuungane kumpongeza Tundu Lissu.
Tangu mwanzo wa mgogoro wa Zitto na Chadema ulionekana kuitikisa chadema toka mwanzo hakuna kiongozi hata mmoja ndani ya chadema aliye wai kukubali kuwa chama kimetikiswa na mgogoro huu mkubwa hadi sasa.
HONGERA MH TUNDU LISSU KWA KUWA MKWELI NA MUWAZI.
SOURCE 😀AKIKA 45 ITV
mkuu unazidi kudhihirisha kuwa bavicha ni chuo cha matusi na unajisumbua bure.
Naomba tuungane kumpongeza Tundu Lissu.
unaandika yasiyo husu.
Tundu Lissu kasema kwa kiswahili chepesi kuwa mgogoro umekitisa chama na wala hakuhitajiki kutafsiri hapa.
Hata dr slaa aliposema kuwa mabomba ya gas yameelekezwa ulaya ili kuiba gas yetu mlikuja na story kama hizi za kujifanya watafsiri.
Kwa pamoja tumpongeze Tundu Lissu kwa kuusema ukweli ulio mshinda Dr.W.Slaa.
Huku Dr.W.Slaa anasema chama kiko himara.
Huku Tundu Lissu anasema chama kimetikisika.
Nani mkweli sasa?
mkuu hii thread ina husu kumpongeza Tundu Lissu na hayo mengine uyaanzishie thread tujadili.
Hahaha atakupiga kipapai akugeuze kenge huogopi
mbunge wa singida mashariki, mnadhimu wa upinzani na mwanasheria mkuu wa chadema tundu lissu, amesema kuwa wabunge wengi wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania hawajui lugha ya kiingereza kitendo kinachowafanya wakose ufanisi katika kazi zao za kibunge hususan mijadala mbalimbali bungeni na nje ya bunge.
Mwanasheria huyo amekiita kitendo hicho kuwa ni janga la taifa ambapo ameshauri suala hilo litazamwe upya ili tuwe na wabunge wanaoweza kuwa tija kwa taifa.
Ikumbukwe kuwa wabunge wengi wa bunge hili wamekuwa wakituhumiwa kuwa na elimu za kidato cha nne (iv) au chini ya hapo na wengine kidato cha sita chenye matokeo mabaya.
source; cluods fm na star tv.