nini maana ya kutikisika, kutikisika sio kwamba chama sio imara.mtikisiko ndo unaonyesha hiki chama ni imara au laa,........ikitokea mtikisiko na kikabaki imara bila athari yoyte wala ufa, basi ni dhahili chama hicho ni imara.
Mtikisiko ilio upata chadema ni mkubwa ila ila kwakuwa kina msingi imara hakuna ufa wowote tunao uona uliosababishwa na mtikisiko huo kwa chadema. Mimi sio mshabiki wa siasa sana lakini nadhani watnzania wataniunga mkono kila siku iitwayo leo chadema inafanya vizuri na na inazidi kukubalika