Mhe.Tundu Lissu ndani ITV

Mhe.Tundu Lissu ndani ITV

vyombo vya habari siyo vya kupiga kelele kama lisu yeye apige kelele wenzake wanafanya kazi kitaaluma.

Tutolee uharo wako hapa!!!... Yaani hujui hata Role ya Media katika nchi..., hujui ni kwanini kwenye Tamko la Haki za Binadamu na uwepo wa demokrasia kwanini wanasisitiza uhuru wa vyombo vya habari... Hujui ni kwanini vyombo vya habari vinaitwa ni muhimili wa nne wa dola usio rasmi.... Vyombo vya habari kokote duniani role yake ni ku-set agenda....

Naungana na LISSU,,, waandishi asilimia kubwa ni makanjanja na wachumia tumbo...Moja kati ya tasnia ambayo imedumaa kwa kutokukua hapa Tanzania ni tasnia ya uandishi wa habari... poor kabisa...uwezo mdogo, wamebaki umbea tu na viblog vya kizushi...

Ni wachache sana wenye wito wa kiuandishi kama wakina Katabaro....
 
Yeye mwenyewe kachemsha Kiengreza Mahakani alipokutana na wakili Arbert Msando
 
hapo anamlenga lema na sugu lakini haya yeye lisu kwa msando alichemka mpaka akaiomba mahakama kuendesha kesi kwa kiswahili.
 
Yaan mambo ya zaman umeshindwa ata kuzungumzia isue ya kinana na kina makonda na lowasa ---- kweli wewe
 
kwa hiyo mkeo akichukuliwa na midume na wewe ukashuhudia ukijakutueleza mkasa, tukuite mzalendo? Acha ushabiki wa kisengen yaji

mkuu unazidi kudhihirisha kuwa bavicha ni chuo cha matusi na unajisumbua bure.

Naomba tuungane kumpongeza Tundu Lissu.
 
Last edited by a moderator:
hapo anamlenga lema na sugu lakini haya yeye lisu kwa msando alichemka mpaka akaiomba mahakama kuendesha kesi kwa kiswahili.

Kwa Sugu nitakupinga kuna mtu alileta thread yke akimlalamikia Sugu kutumia kiingereza ambacho si kizuri kama kiongozi.Kwa watu wengi watumiao kiingereza kile lazma wawe wameishi uko au cha halali anakifahamu.Nadhani bunge lingetumia kiingereza Lukuvi asingeomba miongozo.
 
He was chief architect and director of Zito kabwe's movies, Media is eagerly awaiting for his next movie he just need to initiate Media will follow

I think is high time for some politicians who so identified themselves as leaders to know the real Tanzanians, Tanzanians are so complex, they are real in left part and imaginary in the right part
 
Nini maana ya kutikisika, kutikisika sio kwamba chama sio imara.mtikisiko ndo unaonyesha hiki chama ni imara au laa,........ikitokea mtikisiko na kikabaki imara bila athari yoyte wala ufa, basi ni dhahili chama hicho ni imara.

mtikisiko ilio upata CHADEMA ni mkubwa ila ila kwakuwa kina msingi imara hakuna ufa wowote tunao uona uliosababishwa na mtikisiko huo kwa CHADEMA. Mimi sio mshabiki wa siasa sana lakini nadhani watnzania wataniunga mkono kila siku iitwayo leo CHADEMA inafanya vizuri na na inazidi kukubalika
 
Sio bungeni tu hadi ikuluuuuu mzee wa 'ze ze ze ishu was sent to rest''
 
Kwa Sugu nitakupinga kuna mtu alileta thread yke akimlalamikia Sugu kutumia kiingereza ambacho si kizuri kama kiongozi.Kwa watu wengi watumiao kiingereza kile lazma wawe wameishi uko au cha halali anakifahamu.Nadhani bunge lingetumia kiingereza Lukuvi asingeomba miongozo.

Sugu kuna clip moja alikuwa anambwatukia Mwigulu Nchemba, akamwita mp.umbavu, Madam Speaker akaja juu kumuonya kuhusu kutumia neno like.

Sifahamu kama ilikuwa ni jazba ya kupaka au ndo alikuwa anawakilisha kighetogheto, lakini Mzee wa ku flow hata Kiswahili kilikuwa si cha kupigiwa mstari.

.
 
nini maana ya kutikisika, kutikisika sio kwamba chama sio imara.mtikisiko ndo unaonyesha hiki chama ni imara au laa,........ikitokea mtikisiko na kikabaki imara bila athari yoyte wala ufa, basi ni dhahili chama hicho ni imara.

Mtikisiko ilio upata chadema ni mkubwa ila ila kwakuwa kina msingi imara hakuna ufa wowote tunao uona uliosababishwa na mtikisiko huo kwa chadema. Mimi sio mshabiki wa siasa sana lakini nadhani watnzania wataniunga mkono kila siku iitwayo leo chadema inafanya vizuri na na inazidi kukubalika

mkuu ramase mh Tundu Lissu amesema huu mtikisiko hauja kwishwa bado hupo na anategemea hali itakuwa shwari hapo baadae lakini kwa sasa hali si nzuri.

Tuungane kumpongeza kwa kusema ukweli ambao umemshinda Henry Kilewo.
 
Last edited by a moderator:
Nini maana ya kutikisika, kutikisika sio kwamba chama sio imara.mtikisiko ndo unaonyesha hiki chama ni imara au laa,........ikitokea mtikisiko na kikabaki imara bila athari yoyte wala ufa, basi ni dhahili chama hicho ni imara.

mtikisiko ilio upata CHADEMA ni mkubwa ila ila kwakuwa kina msingi imara hakuna ufa wowote tunao uona uliosababishwa na mtikisiko huo kwa CHADEMA. Mimi sio mshabiki wa siasa sana lakini nadhani watnzania wataniunga mkono kila siku iitwayo leo CHADEMA inafanya vizuri na na inazidi kukubalika

Mkuu ninakubaliana na wewe kabisa. Nani hajui kuwa CDM inapita katika wakati mgumu lkn ukumbuke kuwa nguvu za magamba pamoja na vyombo vya dola pamoja lao ni moja kukiangamiza chama makini! Kwa vyovyote vile CDM imeonyesha uimara ingawa maadui ni wengi hata mkuu Ruta hayuko mbali na hao maadui!
 
Back
Top Bottom