mwanangoko
Senior Member
- Jan 20, 2014
- 136
- 23
Wanajua tu kutumia f-word kama Serukamba
"Explorers are very busy prospecting and looking for opportunities in countries such as Ivory Coast, inj Mail, in Tanzania, in Ghana," says Mbele, "Those who are looking for oil are in Sudan, Angola, and other such areas."
Lissu anapiga misumari,wabunge wengi hawajui kingereza ila wanatunga sheria kwa kingereza...
Hahaaaaaa lissu bhana....imagine kuwa miongoni mwa wabunge hao ni kepteni j komba
Min Kabangi Lema naye ni miongoni mwao
huo ni ujumbe kwa ccm kuwa mkifumfukuza lowassa, nini kitawapata.
Kwa chadema, hiyo mbona imeshakuwa historia? Kama wa kuondoka, wameshaondoka tayari.
Jifunze kuwasoma wanasheria na zaidi wanasiasa. Akisema hiki, usifikiri anamaanisha hicho kweli.
Lowassa ni mtaji mkubwa wa watanzania na chadema kwa ujumla kwani lowassa na kikwete lazima ccm imeguke.
Ohh, hata maneno ya kikwete ya jana, usiyaamini sana. Anaweza kuwa na maana nyingine kabisa kuhusu lowassa.
Mbona yeye Tundu Lisu kwa wakili Msando aliomba Kitumike Kiswahili,baada ya kuchemka Kiingereza
CC
msando
Lissu anatafuta maneno na Lema pamoja na Mbowe.
Uuuuuwii chezea Zitto.unaandika yasiyo husu.
Tundu Lissu kasema kwa kiswahili chepesi kuwa mgogoro umekitisa chama na wala hakuhitajiki kutafsiri hapa.
Hata dr slaa aliposema kuwa mabomba ya gas yameelekezwa ulaya ili kuiba gas yetu mlikuja na story kama hizi za kujifanya watafsiri.
Kwa pamoja tumpongeze Tundu Lissu kwa kuusema ukweli ulio mshinda Dr.W.Slaa.
Huku Dr.W.Slaa anasema chama kiko himara.
Huku Tundu Lissu anasema chama kimetikisika.
Nani mkweli sasa?