Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
Tundu Lissu bhana anapenda kuwadanganya watanzania.
Sidhani kama kingereza ni kikwazo kabisa katika shughuli nyingi za wabunge maana asilimia 70% ni kiswahili ndio kina tumika na bado utendaji ni mbovu.
Ni sehemu chache sana zina mlazimu mbunge kujua kingereza tena cha kusoma hasa kwenye mikataba.
Si kweli kingereza ni kikwazo.
Hata yeye tundu lissu aliomba msamaha kitumeke kiswahili kwa kisingizio cha maslahi ya umma kumbe kijana msando alberto alimtoa jasho kwenye lugha ya kigeni.
Sidhani kama kingereza ni kikwazo kabisa katika shughuli nyingi za wabunge maana asilimia 70% ni kiswahili ndio kina tumika na bado utendaji ni mbovu.
Ni sehemu chache sana zina mlazimu mbunge kujua kingereza tena cha kusoma hasa kwenye mikataba.
Si kweli kingereza ni kikwazo.
Hata yeye tundu lissu aliomba msamaha kitumeke kiswahili kwa kisingizio cha maslahi ya umma kumbe kijana msando alberto alimtoa jasho kwenye lugha ya kigeni.
Last edited by a moderator: