Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,349
- 8,081
!
!
mh!...ina maana hata Profes@ Maji Marefu hamna "the" kweli?....aaah siamini.
!
mh!...ina maana hata Profes@ Maji Marefu hamna "the" kweli?....aaah siamini.
Mkuu, hata prof Kulikoela Kahigi ni aibu tupu!
!
mh!...ina maana hata Profes@ Maji Marefu hamna "the" kweli?....aaah siamini.
^^
Mfumo wa kuwapata wabunge ndio mbovu sio lugha.
^^
Nakumbuka kijana Albert Msando alivyomtoa nduki Lissu kwenye matumizi ya kugha ya kiingereza wakati wa kesi ya Zitto mpaka Lissu akaomba poo kwa kuomba mahakama itengue matumizi ya lugha ya kiingereza na kutumia kiswahili
Aibu. Ni kweli na sio bunge tu bali pia katika nyanja zote za uendeshaji nchi hii. Hivi majuzi nilikuwa kwenye mkutano nje ya nchi (nahifadhi), kukaja delegation ya Tanzania kama watu 8 hivi. Kwenye kutoa michango ya panel ilikuwa ni aibu kwani jamaa hawajui kabisa kutengeneza sentenso za kiingereza. Ilinibidi niiname chini kwa kuona aibu jinsi waTanzania wenzi wangu walivyokuwa wanachemsha. Ifanyike juhudi ya makusudi kuwapiga msasa wabunge na watanzania wote kwa ujumla ili waweze kuimudu lugha hii muhimu katika ulimwengu wa sasa.
mbunge wa singida mashariki, mnadhimu wa upinzani na mwanasheria mkuu wa chadema tundu lissu, amesema kuwa wabunge wengi wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania hawajui lugha ya kiingereza kitendo kinachowafanya wakose ufanisi katika kazi zao za kibunge hususan mijadala mbalimbali bungeni na nje ya bunge.
Mwanasheria huyo amekiita kitendo hicho kuwa ni janga la taifa ambapo ameshauri suala hilo litazamwe upya ili tuwe na wabunge wanaoweza kuwa tija kwa taifa.
Ikumbukwe kuwa wabunge wengi wa bunge hili wamekuwa wakituhumiwa kuwa na elimu za kidato cha nne (iv) au chini ya hapo na wengine kidato cha sita chenye matokeo mabaya.
source; cluods fm na star tv.
Ulichotaka kutuambia hapa ni kuwa ulikuwa nje ya nchi na si vinginevyo. Tumekupata na hongera kwenda nje ya nchi.
mbunge wa singida mashariki, mnadhimu wa upinzani na mwanasheria mkuu wa chadema tundu lissu, amesema kuwa wabunge wengi wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania hawajui lugha ya kiingereza kitendo kinachowafanya wakose ufanisi katika kazi zao za kibunge hususan mijadala mbalimbali bungeni na nje ya bunge.
Mwanasheria huyo amekiita kitendo hicho kuwa ni janga la taifa ambapo ameshauri suala hilo litazamwe upya ili tuwe na wabunge wanaoweza kuwa tija kwa taifa.
Ikumbukwe kuwa wabunge wengi wa bunge hili wamekuwa wakituhumiwa kuwa na elimu za kidato cha nne (iv) au chini ya hapo na wengine kidato cha sita chenye matokeo mabaya.
Source; cluods fm na star tv.
Lissu anafikiri kujua sheria ndiyo kujua kiingereza nini?
Aibu. Ni kweli na sio bunge tu bali pia katika nyanja zote za uendeshaji nchi hii. Hivi majuzi nilikuwa kwenye mkutano nje ya nchi (nahifadhi), kukaja delegation ya Tanzania kama watu 8 hivi. Kwenye kutoa michango ya panel ilikuwa ni aibu kwani jamaa hawajui kabisa kutengeneza sentenso za kiingereza. Ilinibidi niiname chini kwa kuona aibu jinsi waTanzania wenzi wangu walivyokuwa wanachemsha. Ifanyike juhudi ya makusudi kuwapiga msasa wabunge na watanzania wote kwa ujumla ili waweze kuimudu lugha hii muhimu katika ulimwengu wa sasa.
Kuna njia nyingi za ufumbuzi wa tatizo hilo. La karibu sana ni kuwa na MKALIMANI ambalo hutumika katika nchi nyingi. Ni aibu kumchagua mtu kuwakilisha watanzania eti kwa vile ni mzuri kwa KIINGEREZA na (si kwa uzuri wa kujua mada husika) wakati watanzania milioni 40 wanazungumza kiswahili. NAFIKIRI WAKATI UMEFIKA SASA WA KUZUNGUMZA LUGHA YETU YA KISWAHILI KATIKA MIKUTANO YA KIMATAIFA HUKU WAKALIMANI WAKIFANYA KAZI YAO. Tuna malinguist wengi tu sasa hivi.
Watoa hoja huliangalia hili swala kwa rangi mbili tu "BLACK and WHITE". Ongezeni rangi mtapata majibu mazuri yenye ufumbuzi mwafaka.
Lissu anafikiri kujua sheria ndiyo kujua kiingereza nini?
mbunge wa singida mashariki, mnadhimu wa upinzani na mwanasheria mkuu wa chadema tundu lissu, amesema kuwa wabunge wengi wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania hawajui lugha ya kiingereza kitendo kinachowafanya wakose ufanisi katika kazi zao za kibunge hususan mijadala mbalimbali bungeni na nje ya bunge.
Mwanasheria huyo amekiita kitendo hicho kuwa ni janga la taifa ambapo ameshauri suala hilo litazamwe upya ili tuwe na wabunge wanaoweza kuwa tija kwa taifa.
Ikumbukwe kuwa wabunge wengi wa bunge hili wamekuwa wakituhumiwa kuwa na elimu za kidato cha nne (iv) au chini ya hapo na wengine kidato cha sita chenye matokeo mabaya.
source; cluods fm na star tv.
!
!
mh!...ina maana hata Profes@ Maji Marefu hamna "the" kweli?....aaah siamini.
Bunge hutumia lugha ya kiswahili kufikisha ujumbe kwa wananchi.
Ni muhimu kumkumbusha Tundu Lisu kuwa hatutumii kisukuma, kindengeleko, kijerumeni wala kiingereza kwenye bunge wala kwenye kampeni za kugombea Ubunge. Na wala si sherti kuwa mbunge LAZIMA AJUE KIINGEREZA kwani wabunge wengi wa Ujerumani, Ufaransa, URUSI n.k hawajui kiingereza.
Ushauri wangu kwa T. Lisu: Kama umeshindwa kufanikisha AJENDA KUU YA KUWALETEA MAENDELEO WANANCHI NI BORA UJIUZULU UBUNGE. HATA SIKU MOJA SITOCHAGUA MBUNGE KWA KIGEZO CHA KIINGEREZA BALI KWA UADILIFU, KUJALI WANANCHI, KUWA MBUNIFU WA UTATUZI WA MATATIZO YA WANANCHI NA KUWA SEHEMU YA WANANCHI.
Kamaliza vita na ZITTO, sasa anamuingilia MWENYEKITI WAKE MBOWE. Pengine hata na LEMA na wengine kibao.
Pazuri hapooooooooooooooooooo! Yangu macho.
utaifakwanza unapotosha; alichosema ni kuwa miswada ya sheria huandikwa kwa Kiingereza hivyo wabunge huishia kupiga makofi kwa maana hawajui kiingereza. Na alisema kuna watu wenye elimu na vyeo vikubwa lakini hawajui kiingereza alichoshauri ni kuwa miswada ya sheria iandikwe kwa kiswali ambacho kinazungumzwa na kila mtuMbunge wa Singida Mashariki, mnadhimu wa upinzani na mwanasheria mkuu wa CHADEMA mh. Tundu Lissu, amesema kuwa wabunge wengi wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania hawajui lugha ya kiingereza kitendo kinachowafanya wakose ufanisi katika kazi zao za kibunge hususani mijadala mbalimbali bungeni na nje ya bunge.
Mwanasheria huyo amekiita kitendo hicho kuwa ni janga la taifa ambapo ameshauri suala hilo litazamwe upya ili tuwe na wabunge wanaoweza kuwa tija kwa taifa.
Ikumbukwe kuwa wabunge wengi wa bunge hili wamekuwa wakituhumiwa kuwa na elimu za kidato cha nne (iv) au chini ya hapo na wengine kidato cha sita chenye matokeo mabaya.
source; cluods fm na star tv.