Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,100
- 136,732
wewe mwenyewe kiingereza hujui zaidi ya kusema "so called Lema" tunakujua sana wewe Mjinga unaejipachika jina la kihaya
Pwa ha ha ha ha!!!
wewe mwenyewe kiingereza hujui zaidi ya kusema "so called Lema" tunakujua sana wewe Mjinga unaejipachika jina la kihaya
kwa tz lazima iwe hivyo kwasababu sheria zipo kwa kingereza
Hivi sisi hatuwezi kutumia lugha yetu kwenye hiyo miswada na sheria?
Kigumu ni nini hasa? Ni hatuna kabisa uwezo huo (wa kuandika miswada na sheria kwa Kiswahili)? Ni kwamba labda hatujiamini kama tunaweza?
Sheria zetu wenyewe halafu tunaziandika kwa kutumia lugha ya wengine! Hmm....
Hivi hizo sheria za Tanzania kwa nini hazipo kwa Kiswahili?
Nyani Ngabu;
Kwa kifupi tu. Elimu bila enlightenment ina matatizo yake. Katika fani za uendeshaji wa serikali na mahakama kiswahili au lugha za makabila zinaweza kufanya kazi bila ya matatizo yoyote yale. Suala ni kujiamini tu.
mbowe ameshindwa kukiwakilisha chadema vyema nje ya nchi kwa fursa mbalimbali alizopata. Kikwazo kikubwa ni communication barrier..hajui kiingereza, ndio maana wenzake wanasema, 'he is too local'
Mbunge wa Singida Mashariki, mnadhimu wa upinzani na mwanasheria mkuu wa CHADEMA mh. Tundu Lissu, amesema kuwa wabunge wengi wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania hawajui lugha ya kiingereza kitendo kinachowafanya wakose ufanisi katika kazi zao za kibunge hususani mijadala mbalimbali bungeni na nje ya bunge.
Mwanasheria huyo amekiita kitendo hicho kuwa ni janga la taifa ambapo ameshauri suala hilo litazamwe upya ili tuwe na wabunge wanaoweza kuwa tija kwa taifa.
Ikumbukwe kuwa wabunge wengi wa bunge hili wamekuwa wakituhumiwa kuwa na elimu za kidato cha nne (iv) au chini ya hapo na wengine kidato cha sita chenye matokeo mabaya.
source; cluods fm na star tv.
Mbunge wa Singida Mashariki, mnadhimu wa upinzani na mwanasheria mkuu wa CHADEMA mh. Tundu Lissu, amesema kuwa wabunge wengi wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania hawajui lugha ya kiingereza kitendo kinachowafanya wakose ufanisi katika kazi zao za kibunge hususani mijadala mbalimbali bungeni na nje ya bunge.
Mwanasheria huyo amekiita kitendo hicho kuwa ni janga la taifa ambapo ameshauri suala hilo litazamwe upya ili tuwe na wabunge wanaoweza kuwa tija kwa taifa.
Ikumbukwe kuwa wabunge wengi wa bunge hili wamekuwa wakituhumiwa kuwa na elimu za kidato cha nne (iv) au chini ya hapo na wengine kidato cha sita chenye matokeo mabaya.
source; cluods fm na star tv.
Lissu anafikiri kujua sheria ndiyo kujua kiingereza nini?
Nakumbuka kijana Albert Msando alivyomtoa nduki Lissu kwenye matumizi ya kugha ya kiingereza wakati wa kesi ya Zitto mpaka Lissu akaomba poo kwa kuomba mahakama itengue matumizi ya lugha ya kiingereza na kutumia kiswahili
Mbona Wabunge wa mataifa mengine hawajui hiyo lugha ya mkoloni na wanapiga hatua za kimaendeleo?
Taifa kama China viongozi wengi tu hawajui Kiingereza lakini gurudumu la maendeleo linasonga?