Daniel Anderson
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 872
- 141
Mizengwe Kaianzisha sasa na anaPita tena hapa kwa kuPinda mgongo maana Zitto amemchubua kwa konzi kali kichwani
Anazungumza pumba nyingiiii, wakati sisi tunasubiri atoe maamuzi aliyoahidi kuyatoa J3
Hana lolote, kama unasoma elimu ya mawasiliano utaona bado anajiweka ndani ya serikali, hivyo bado yumo, hasira tupu,
hivi hakuna shortcut yha kuwang'oa hawa watu?anachokiongea na kilickuwa kikijadiliwa bungeni ni tofauti.
Wanafunzi laki tisa walifanya mtihani wa darasa la saba 2011 na laki tani na ushehe walifaulu na kendelea na masomo.
magamba siyo miungu...yana mwisho haya...!Hivi mmetoa macho kwenye TV zenu mkitarajia maamuzi magumu!! Maamuzi magumu Bongo?!! Bwana mdogo zitto anafunikwa kapuni, potezewa mbaya, kesho tunaamka na story za Lulu kabla hatujapigwa Single ingine. Chezea magamba wewe!!