Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

Pinda amedhihirisha uimara wa serikali yake,
Ninaamini kabisa kuwa serikali ya CCM itafanya maamuzi magumu very soon, lakini kiongozi imara haendeshwi na wapiga kelele, lazima utafiti, uchambue na kujiaminisha kabla ya kutoa maamuzi.
Hongera JK na Serikali, nimewapa heshima mnayostahili na tuna imani mtafanyia kazi maoni sio kuburuzwa na wachache wenye tamaa na nia binafsi.
 
kama wao wameshindwa kuwajibishana basi sasa tunawapa wananchi jukumu la kuwawajibisha...
 
mh...kama nimenyeshewa mvua vile, naenda kulala, usiku mwema wana jf.....tusubiri kesho kusikia bonge la story kutoka kwa Elizabeth Michael
 
Namkumbuka Jairo!

Well, ilikuwa burudani ambayo imewatia moyo watanzania na kuwaacha solemba...

Upepo ushapita....
 
Maweeeee. Kamaliza. Wa Tz lazima tufanye kitu tumezidi porojo why cant we act on them..hiv kwel nasisi g.thinkers tunaishia kulalamika.,plz plz lets wekup.
 
Pm na jk pamoja mawazir wanawachukuliaje wananch
 
Huwa nafika sehemu hata huu wimbo unaopigwa hapa nauchukia!
 
song la taif linapigwa ili wachumia tumboni watawanyike...naona uigizaji wa hii movie umeisha rasmi
 
Duuuuuh kama Pinda hasem lolote sijui tafsiri toka kwa wananchi itakuwaje?
 
Wimbo wa Taifa unaimbwa kutoa madukuduku yote yaliyojitokeza, Pinda katoa hutuba ya Mwaka Watanzania kaenda kinyume kabisa na Watu walivyokuwa wanafikiri
 
Mama Makinda anaitimisha kwa kuwapoza magwanda kidogo.,naona wamenuna sana lakini haisaidii Pinda bado na ataendelea kuwa PM..na MCHEZO UMEFUNGWA.
 
Back
Top Bottom