Mhandos na TBC1

QUOTE =Amosam;505635]Du hapa kwenye rangi nyekundu mzee umechapia,Suzan Mungy(Mongi) hata Maulid Kitenge hujui kama katokea Tabora?Baba yake anaitwa Baraka Kitenge mchezaji wa zamani wa vijana wa Jangwani.

Suzan Mungy ni mtu wa Tanga ila ameolewa na mtu mwenye hilo jina la Mungi.
 
Naomba kufahamishwa kama wananyakazi hawa wa TBC ni ukoo mmoja na kwanini wote wawepo kwenye taasisi moja?

1. Tiddo Mhando
2. Evans Mhando
3. Neema Mhando
4. Rehema Mhando
Ukienda TRA utakutana na kina Mrema 20,Mushi 40 n.k waache Mhando wafanye kazi anza na TRA au Hazina.
 
Japo sijafanya utafiti wa undugu wa mbali, Tido ni mtoto wa Mchungaji Daniel Mhando wa Anglican Chang'ombe. Mdogo wake ni mwandishi wa habarui na mtangazaji Jane Mhando yuko SABC Africa anaishi Kusini.
Neema alijiunga TBC hata kabla ya ujio wa Tido. Kwa upande wangu nadhani ni majina tuu, au Tanga line. Ila pia twende mbele tukirudi nyumba, kana ni ndugu jamaa ama marafiki, wanauwezo wa kazi, hawajabebwa kuingia TBC, sithani kama kuna ubaya wowote.
Angalizo, watu wa Tanga Line na ukanda wa pwani mara myingi hutokea kuwa watangazaji wazuri kwa lafudhi nzuri Tukianzia na
Tido Mhando- Tanga line-TBC Boss
Sekioni Kitojo-Tanga line-DW-Ujerumani
Ali Atasi-Tanga line-Radio Japan
Eraston Mbwana-Ujereumani
Abdalah Mbamba-Umoja wa Mataifa
Marriam Shamte-VOA
David Wakati-Zenji-Boss wa RTD Mstaafu
MohameD Dahman-Zenj -Ujerumani
Aboubakari Liongo-Tanga Line-Ujerumani,
Susan Mungy-Tanga line-BBC-TBC
Maulid Kitenge-Tanga line-Radio One
Eshe Muhidin-Tanga line-TBC Taifa
Abdul Masudi-Tanga line (RTD)
Philip Ciprian -Tanga line Clods radio/tbc
Hawa ni wachache tuu niliobahatika kuwakumbuka, nikifanya uchimbuzi, utakuta Tanga line ni wengi kwenye Utangazaji kama walivyo Chagga line kwenye mambo ya pesa ukianzia na TRA, walivyo Kurya line Jeshini, Nshomile kwenye kazi za kisomi etc.The list is long, long long, haina maana makabila mengine hawauwezi utangazaji bali Watanga ndio waliobobea zaidi.

aboubakar Sadik Mhina (radio One)
 
Japo sijafanya utafiti wa undugu wa mbali, Tido ni mtoto wa Mchungaji Daniel Mhando wa Anglican Chang'ombe. Mdogo wake ni mwandishi wa habarui na mtangazaji Jane Mhando yuko SABC Africa anaishi Kusini.
Neema alijiunga TBC hata kabla ya ujio wa Tido. Kwa upande wangu nadhani ni majina tuu, au Tanga line. Ila pia twende mbele tukirudi nyumba, kana ni ndugu jamaa ama marafiki, wanauwezo wa kazi, hawajabebwa kuingia TBC, sithani kama kuna ubaya wowote.
Angalizo, watu wa Tanga Line na ukanda wa pwani mara myingi hutokea kuwa watangazaji wazuri kwa lafudhi nzuri Tukianzia na
Tido Mhando- Tanga line-TBC Boss
Sekioni Kitojo-Tanga line-DW-Ujerumani
Ali Atasi-Tanga line-Radio Japan
Eraston Mbwana-Ujereumani
Abdalah Mbamba-Umoja wa Mataifa
Marriam Shamte-VOA
David Wakati-Zenji-Boss wa RTD Mstaafu
MohameD Dahman-Zenj -Ujerumani
Aboubakari Liongo-Tanga Line-Ujerumani,
Susan Mungy-Tanga line-BBC-TBC
Maulid Kitenge-Tanga line-Radio One
Eshe Muhidin-Tanga line-TBC Taifa
Abdul Masudi-Tanga line (RTD)
Philip Ciprian -Tanga line Clods radio/tbc
Hawa ni wachache tuu niliobahatika kuwakumbuka, nikifanya uchimbuzi, utakuta Tanga line ni wengi kwenye Utangazaji kama walivyo Chagga line kwenye mambo ya pesa ukianzia na TRA, walivyo Kurya line Jeshini, Nshomile kwenye kazi za kisomi etc.The list is long, long long, haina maana makabila mengine hawauwezi utangazaji bali Watanga ndio waliobobea zaidi.

aboubakar Sadik Mhina (radio One)
 
Uncle J ni Mkurya, watangazaji Wasukuma wazuri tuu walikuwepo, zaidi ya Bujaga Izengo Kadago, yupo Malima Ndelema, Sebastian Maganga, Sebastian Ndege, Hanna Mayige, Aloysia Maneno, Pascal Mayalla etc

Pia kuna Chacha Maginga(Mkurya), Roy Maganga(msukuma), Paul James Sweya-mpiga chabo!(msukuma).
 
Naomba kufahamishwa kama wananyakazi hawa wa TBC ni ukoo mmoja na kwanini wote wawepo kwenye taasisi moja?

1. Tiddo Mhando
2. Evans Mhando
3. Neema Mhando
4. Rehema Mhando

Akina mhando ni wengi sana, na hapo wengine labda wamechukua majina ya waume zao. kuna koo nyingine ni kubwa sana kama sanga(tarafa nzima) nk
 
kwenye list ya Tanga line umemsahau......Deodatus Balile
Balile ni mtu wa Bukoba. ila wahaya nao kwenye magazeti wamekama jee nao ni watu wa Pwani?Lady jay dee anaimba ana ametoka Musoma.
 
Mhando ni wabodei kabila la Tido..

Kuna Kihampa, Msami, Mang'enya..the list is endless.

Je wako kwa coincidence? hapana kwani uwezo wanao..laki ni nani asiejuwa kama wagosi wana sauti nzuri za kutangaza?
Mnawakumbuka kina Godfrey Mngodo, Jumbe Omari Jumbe, Sekioni KitojoTido mwenyewe, n.k

Sasa ujekuwaweka watani zangu wakisukuma au kikurya si utachekesha? Taarifa zitakuwa hazina laddha.

KIHAMPA.MSAMI hakuna kitu kabisa hata kiswahili hawajui,Unamkumbuka DOMINIC CHILAMBO toka Mwanza alivyokuwa akiweka vitu,
marehemu AMINA CHIFUPA ANATOKA MAKETE -IRINGA.alikuwa akitangaza vizuri kushinda NEEMA MHANDO.
Frola Nducha ni mnyamwezi lakini ana uwezo kushinda SUZAN LUKINDO-MUNGI.

kutoka MUHEZA sio kigezo.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom