Mhandos na TBC1

KakaJambazi

JF-Expert Member
Jun 5, 2009
18,711
12,067
Naomba kufahamishwa kama wananyakazi hawa wa TBC ni ukoo mmoja na kwanini wote wawepo kwenye taasisi moja?

1. Tiddo Mhando
2. Evans Mhando
3. Neema Mhando
4. Rehema Mhando
 
Kuna yule dada waliotokea BBC na Tido. Naye ana u-Mhando ingawa amebadilisha ubin baada ya kuolewa.
 
Japo sijafanya utafiti wa undugu wa mbali, Tido ni mtoto wa Mchungaji Daniel Mhando wa Anglican Chang'ombe. Mdogo wake ni mwandishi wa habarui na mtangazaji Jane Mhando yuko SABC Africa anaishi Kusini.
Neema alijiunga TBC hata kabla ya ujio wa Tido. Kwa upande wangu nadhani ni majina tuu, au Tanga line. Ila pia twende mbele tukirudi nyumba, kana ni ndugu jamaa ama marafiki, wanauwezo wa kazi, hawajabebwa kuingia TBC, sithani kama kuna ubaya wowote.
Angalizo, watu wa Tanga Line na ukanda wa pwani mara myingi hutokea kuwa watangazaji wazuri kwa lafudhi nzuri Tukianzia na
Tido Mhando- Tanga line-TBC Boss
Sekioni Kitojo-Tanga line-DW-Ujerumani
Ali Atasi-Tanga line-Radio Japan
Eraston Mbwana-Ujereumani
Abdalah Mbamba-Umoja wa Mataifa
Marriam Shamte-VOA
David Wakati-Zenji-Boss wa RTD Mstaafu
MohameD Dahman-Zenj -Ujerumani
Aboubakari Liongo-Tanga Line-Ujerumani,
Susan Mungy-Tanga line-BBC-TBC
Maulid Kitenge-Tanga line-Radio One
Eshe Muhidin-Tanga line-TBC Taifa
Abdul Masudi-Tanga line (RTD)
Philip Ciprian -Tanga line Clods radio/tbc
Hawa ni wachache tuu niliobahatika kuwakumbuka, nikifanya uchimbuzi, utakuta Tanga line ni wengi kwenye Utangazaji kama walivyo Chagga line kwenye mambo ya pesa ukianzia na TRA, walivyo Kurya line Jeshini, Nshomile kwenye kazi za kisomi etc.The list is long, long long, haina maana makabila mengine hawauwezi utangazaji bali Watanga ndio waliobobea zaidi.
 
Japo sijafanya utafiti wa undugu wa mbali, Tido ni mtoto wa Mchungaji Daniel Mhando wa Anglican Chang'ombe. Mdogo wake ni mwandishi wa habarui na mtangazaji Jane Mhando yuko SABC Africa anaishi Kusini.
Neema alijiunga TBC hata kabla ya ujio wa Tido. Kwa upande wangu nadhani ni majina tuu, au Tanga line. Ila pia twende mbele tukirudi nyumba, kana ni ndugu jamaa ama marafiki, wanauwezo wa kazi, hawajabebwa kuingia TBC, sithani kama kuna ubaya wowote.
Angalizo, watu wa Tanga Line na ukanda wa pwani mara myingi hutokea kuwa watangazaji wazuri kwa lafudhi nzuri Tukianzia na
Tido Mhando- Tanga line-TBC Boss
Sekioni Kitojo-Tanga line-DW-Ujerumani
Ali Atasi-Tanga line-Radio Japan
Eraston Mbwana-Ujereumani
Abdalah Mbamba-Umoja wa Mataifa
Marriam Shamte-VOA
David Wakati-Zenji-Boss wa RTD Mstaafu
MohameD Dahman-Zenj -Ujerumani
Aboubakari Liongo-Tanga Line-Ujerumani,
Susan Mungy-Tanga line-BBC-TBC
Maulid Kitenge-Tanga line-Radio One
Eshe Muhidin-Tanga line-TBC Taifa
Abdul Masudi-Tanga line (RTD)
Philip Ciprian -Tanga line Clods radio/tbc
Hawa ni wachache tuu niliobahatika kuwakumbuka, nikifanya uchimbuzi, utakuta Tanga line ni wengi kwenye Utangazaji kama walivyo Chagga line kwenye mambo ya pesa ukianzia na TRA, walivyo Kurya line Jeshini, Nshomile kwenye kazi za kisomi etc.The list is long, long long, haina maana makabila mengine hawauwezi utangazaji bali Watanga ndio waliobobea zaidi.
Du hapa kwenye rangi nyekundu mzee umechapia,Suzan Mungy(Mongi) hata Maulid Kitenge hujui kama katokea Tabora?Baba yake anaitwa Baraka Kitenge mchezaji wa zamani wa vijana wa Jangwani.
 
Cha msingi ni sifa na uwezo wa kiutendaji wa mtu na wala si kabila lake. Wakati wa utawala wa rais Jimmy Carter wa Marekani wasaidizi wake wengi walitokea jimbo moja. Mwenyewe alilikiri kuwa amewachagua watu ambao anafahamu utendaji kazi wao. Hivyo walipitishwa na congress kwa kuwa wana clean and good record. Hivyo watanzania tusiangalie makabila yetu bali uwezo wa utendaji. Wengine wanadai mbona Taifa stars haina wazanzibari?
 
Naomba kufahamishwa kama wananyakazi hawa wa TBC ni ukoo mmoja na kwanini wote wawepo kwenye taasisi moja?

1. Tiddo Mhando
2. Evans Mhando
3. Neema Mhando
4. Rehema Mhando

Mhando ni wabodei kabila la Tido..

Kuna Kihampa, Msami, Mang'enya..the list is endless.

Je wako kwa coincidence? hapana kwani uwezo wanao..laki ni nani asiejuwa kama wagosi wana sauti nzuri za kutangaza?
Mnawakumbuka kina Godfrey Mngodo, Jumbe Omari Jumbe, Sekioni KitojoTido mwenyewe, n.k

Sasa ujekuwaweka watani zangu wakisukuma au kikurya si utachekesha? Taarifa zitakuwa hazina laddha.
 
Japo sijafanya utafiti wa undugu wa mbali, Tido ni mtoto wa Mchungaji Daniel Mhando wa Anglican Chang'ombe. Mdogo wake ni mwandishi wa habarui na mtangazaji Jane Mhando yuko SABC Africa anaishi Kusini.
Neema alijiunga TBC hata kabla ya ujio wa Tido. Kwa upande wangu nadhani ni majina tuu, au Tanga line. Ila pia twende mbele tukirudi nyumba, kana ni ndugu jamaa ama marafiki, wanauwezo wa kazi, hawajabebwa kuingia TBC, sithani kama kuna ubaya wowote.
Angalizo, watu wa Tanga Line na ukanda wa pwani mara myingi hutokea kuwa watangazaji wazuri kwa lafudhi nzuri Tukianzia na
Tido Mhando- Tanga line-TBC Boss
Sekioni Kitojo-Tanga line-DW-Ujerumani
Ali Atasi-Tanga line-Radio Japan
Eraston Mbwana-Ujereumani
Abdalah Mbamba-Umoja wa Mataifa
Marriam Shamte-VOA
David Wakati-Zenji-Boss wa RTD Mstaafu
MohameD Dahman-Zenj -Ujerumani
Aboubakari Liongo-Tanga Line-Ujerumani,
Susan Mungy-Tanga line-BBC-TBC
Maulid Kitenge-Tanga line-Radio One
Eshe Muhidin-Tanga line-TBC Taifa
Abdul Masudi-Tanga line (RTD)
Philip Ciprian -Tanga line Clods radio/tbc
Hawa ni wachache tuu niliobahatika kuwakumbuka, nikifanya uchimbuzi, utakuta Tanga line ni wengi kwenye Utangazaji kama walivyo Chagga line kwenye mambo ya pesa ukianzia na TRA, walivyo Kurya line Jeshini, Nshomile kwenye kazi za kisomi etc.The list is long, long long, haina maana makabila mengine hawauwezi utangazaji bali Watanga ndio waliobobea zaidi.

Pasco ahsante nilikuwa sijaiona hii. Kwli unajuwa umenikumbusha kina Liongo...huyu jamaa haw kina Kitenge walimuiga kila kitu kwenye sauti.
 
Mi nahisi watz tumelaaniwa, nimesikia mjadala bungeni ijumaa iliyopita, mbunge mmoja alisimama na kuanza kulalamika eti TFF wababaishaji, kisa Taifa Stars haina wachezaji kutoka Zanzibar!!

Moyoni nikajisemea "kweli huyu mbunge analipwa kwa pesa yangu ya kodi!!"
 
It does not matter. What matters if they can deliver as expected.

Yes ila juzi juzi Tido alichemsha na kuumbuliwa na TCRA katika sakata la Mengi Vs RA.
TBC inaelekea kuwabeba mafisadi eg ,Tido to Manjis rescue katika sakata la Ze Komedi
 
Neema Mhando hana undugu na hao wengine wote uliyo wataja hapo. Kwa hao wengine sifahamu but Neema hana undugu nao.
 
Mhando ni wabodei kabila la Tido..

Kuna Kihampa, Msami, Mang'enya..the list is endless.

Je wako kwa coincidence? hapana kwani uwezo wanao..laki ni nani asiejuwa kama wagosi wana sauti nzuri za kutangaza?
Mnawakumbuka kina Godfrey Mngodo, Jumbe Omari Jumbe, Sekioni KitojoTido mwenyewe, n.k

Sasa ujekuwaweka watani zangu wakisukuma au kikurya si utachekesha? Taarifa zitakuwa hazina laddha.

ebwana wasukuma ujawahi kumsikia mtu anaitwa BUJAGA IZENGO KADAGO? Na kule ziwani kuna mtu anaitwa JULIUS NYAISANGA, upo kamanda
 
Mhando ni wabodei kabila la Tido..

Kuna Kihampa, Msami, Mang'enya..the list is endless.

Je wako kwa coincidence? hapana kwani uwezo wanao..laki ni nani asiejuwa kama wagosi wana sauti nzuri za kutangaza?
Mnawakumbuka kina Godfrey Mngodo, Jumbe Omari Jumbe, Sekioni KitojoTido mwenyewe, n.k

Sasa ujekuwaweka watani zangu wakisukuma au kikurya si utachekesha? Taarifa zitakuwa hazina laddha.
Kingwele,
Nyaisanga ni Mkurya.
 
Japo sijafanya utafiti wa undugu wa mbali, Tido ni mtoto wa Mchungaji Daniel Mhando wa Anglican Chang'ombe. Mdogo wake ni mwandishi wa habarui na mtangazaji Jane Mhando yuko SABC Africa anaishi Kusini.
Neema alijiunga TBC hata kabla ya ujio wa Tido. Kwa upande wangu nadhani ni majina tuu, au Tanga line. Ila pia twende mbele tukirudi nyumba, kana ni ndugu jamaa ama marafiki, wanauwezo wa kazi, hawajabebwa kuingia TBC, sithani kama kuna ubaya wowote.
Angalizo, watu wa Tanga Line na ukanda wa pwani mara myingi hutokea kuwa watangazaji wazuri kwa lafudhi nzuri Tukianzia na
Tido Mhando- Tanga line-TBC Boss
Sekioni Kitojo-Tanga line-DW-Ujerumani
Ali Atasi-Tanga line-Radio Japan
Eraston Mbwana-Ujereumani
Abdalah Mbamba-Umoja wa Mataifa
Marriam Shamte-VOA
David Wakati-Zenji-Boss wa RTD Mstaafu
MohameD Dahman-Zenj -Ujerumani
Aboubakari Liongo-Tanga Line-Ujerumani,
Susan Mungy-Tanga line-BBC-TBC
Maulid Kitenge-Tanga line-Radio One
Eshe Muhidin-Tanga line-TBC Taifa
Abdul Masudi-Tanga line (RTD)
Philip Ciprian -Tanga line Clods radio/tbc
Hawa ni wachache tuu niliobahatika kuwakumbuka, nikifanya uchimbuzi, utakuta Tanga line ni wengi kwenye Utangazaji kama walivyo Chagga line kwenye mambo ya pesa ukianzia na TRA, walivyo Kurya line Jeshini, Nshomile kwenye kazi za kisomi etc.The list is long, long long, haina maana makabila mengine hawauwezi utangazaji bali Watanga ndio waliobobea zaidi.
kwenye list ya Tanga line umemsahau......Deodatus Balile
 
ebwana wasukuma ujawahi kumsikia mtu anaitwa BUJAGA IZENGO KADAGO? Na kule ziwani kuna mtu anaitwa JULIUS NYAISANGA, upo kamanda
Uncle J ni Mkurya, watangazaji Wasukuma wazuri tuu walikuwepo, zaidi ya Bujaga Izengo Kadago, yupo Malima Ndelema, Sebastian Maganga, Sebastian Ndege, Hanna Mayige, Aloysia Maneno, Pascal Mayalla etc
 
Back
Top Bottom