Mhando amkana mkewe mahakamani

Mhando amkana mkewe mahakamani

Mhando amezusha hoja ya kufikirisha mahakama zetu. Hii hoja itafanya hata kesi ya msingi isahaulike. Na Kama mawakili wa serikali wali frame charges zao kwamba Mhando alimpendelea "MKE" wake kumpatia tenda itakuwa imekula kwao. Na kama hakuna official documents i.e marriage certificates (kwenye ofisi za vizazi na vifo) ndio itakuwa vigumu kabisa ku prove Eva ni mke wa Mhando. Kwasababu serikali itategemea ushahidi wa Mhando na Eva, ambao wao tayari wanakana sio MKE NA MME! Kweli ukishangaa ya Balali, bado ya akina Mhando.

dah! yaani waendesha ashitaka wapeleke mahakamani dai kwamba eve ni mke wa mhando bila hata ya kuwa na vielelezo vya kuthibitisha dai linaloshikilia kesi! watakuwa watu wa ajabu sana, na kama ni hivyo sitashangaa wadau wengine wakidai waendesha mashitaka wamekula njama kuimaliza hii kesi.
 
Mkuu asante kwa sababu wewe umenielewa...

Mantiki ya swali langu hapo juu kulingana na mtoa mada ni hii.... Kama anadai sio mkewe na ni mpangaji wake, ina maana alizaa na mpangaji wake hivyo basi wana mahusiano ya kiuhawara. Ndio sababu iliyompelekea kumpa tenda kwa sababu ni hawara yake..
Kama ni hivyo kwanini hati ya mashtaka isingeandikwa alimpa tenda hawara na sio kama ilivyoandikwa sasa kuwa alimpa tenda mkewe.
NB. Sio kila anayeishi naye au kuazaa naye ni mkewe. Na pia uwepo wa watoto wa waliozaliwa na hao hauleti uhalali wa ndoa.
 
Namshauri akiona kesi inambana afe kama.balali
 
Kwi kwii Mke alisemaje pale alipokanwa hadharani mahakamani? Kama Eve naye amekubali/atakubari kirahisi, hiyo ina implication kubwa, baadaye katika mgawanyo wa mali in case of anything. Eve anaweza huko usoni asipate kitu kwenye mali za Mhando kama ataachia hili liende hivi hivi na mahakama iamue kwamba Eve kweli sio Mke wa Mhando. Hii inanikumbusha kesi ya jamaa mmoja aliyefunga ndoa "fake" na mwalimu mmoja kwa kusudi la kumsaidia ahamie shule za mjini. Bahati mbaya yule bwana akafariki, yule mwalimu aliyefunga ndoa "fake" na huyo jamaa akajitokeza baada ya kifo akidai mgawanyo wa mali, kwamba na yeye ni mke halali wa ndoa wa marehemu kwa kuonesha marriage certificate!

Kesi ikiisha wanaoana tena

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hata kama wana watoto, sio kila mtu unayezaa naye ni mkeo. Cheti cha ndoa kiko wapi?


Duh!
Kwa hiyo watoto ni wa Mhando.
Then masilahi binafsi yanaanzia hapo kuwa Mhando angependa Watoto wake wafaidike kupitia Hawara wake.
Hapo upo?
 
Kwa tunaomfahamu mhando tunasikitika hata kama hela kala na familia yake.
 
Ikiwa upnde wa jamhuri watashundwa kuthibitisha kuwa eva ni mke wa muheshimiwa basi kesi ya msingi Imekufa....tehe tehe teheeee kweli Haki ipo mbinguni.
 
Nasoma
aliekuwa
mkurugenzi wa tanesco amkana mkewe eva

binafsi namjua mke wa william mhando ni eva

na mbaya wakati anakana watoto amesahau wakuruugenzi wa kaampuni

ya eva ni watoto wake

nasubiri awakane na watoto tumwite tasa..

Hawa watu awajui kuishinawatu vizuri ni kulanao pamoja yeye anapiga alonealone


loh

raha yamilele umpe ee bwana na mwanga wa segerea uwaangazie wapumzike kwa amani
.
 
mkuu hebu kaa chini uteletee mchanyato kwa kina,.

Iweje ukurupuke na habari nyeti namna hii?
 
mahakamani hata babako waweza kumkana. Mambo ya kesi hayo waachiwe wenyewe
 
mkuu hebu kaa chini uteletee mchanyato kwa kina,.

Iweje ukurupuke na habari nyeti namna hii?

Chaki Mkuu

Upo..Leo ujapitia...fungua pge ya kwanza mpekuzi.blogspot.com mkuuu
Unajua nilisomea uaalimu shuleya msingi sipendagi watu wadese jumla

KIFUPI KWA HESHIMA YAKOMH WILLIAM MHANDO KAENDA MAHAKAMANI NA ILE KESI YETU YA KAMPUNI FEKI MKURUGENZI MKEWEE NA NYINGINE WAKURUGENZI WANAE
KATIKA KUHOJIWA NA HAAKIMU KADAI EVA MHANDO SIO MKEWE

HAPO. NDIPO TUNAULIZA NA WALE WATOTO ATAWAKANANNA WAPO KWENYE LIST YA ANOTHER COMPANY NAYO ILIKUWA INAPIGA TANESCO. MZEE AKIWA MSHAURI WA COMPANY

CHEZEA MAISHA BORA NANI ANATAKA VITUKUU VIFIE NA SHULE ZA LOWASSA INGAWA AMETUSAIDIA KWELI
 
Na mkewe atamkana mmewe subirini.
 
Kwi kwii Mke alisemaje pale alipokanwa hadharani mahakamani? Kama Eve naye amekubali/atakubari kirahisi, hiyo ina implication kubwa, baadaye katika mgawanyo wa mali in case of anything. Eve anaweza huko usoni asipate kitu kwenye mali za Mhando kama ataachia hili liende hivi hivi na mahakama iamue kwamba Eve kweli sio Mke wa Mhando. Hii inanikumbusha kesi ya jamaa mmoja aliyefunga ndoa "fake" na mwalimu mmoja kwa kusudi la kumsaidia ahamie shule za mjini. Bahati mbaya yule bwana akafariki, yule mwalimu aliyefunga ndoa "fake" na huyo jamaa akajitokeza baada ya kifo akidai mgawanyo wa mali, kwamba na yeye ni mke halali wa ndoa wa marehemu kwa kuonesha marriage certificate!
khaa!! Kwani Eve ni mchagga???
 
Sasa we ulitaka wakili afanyeje,kwan we hujui kazi ya wakili ni kumtetea mteja wake
 
Kaka hiki kitanzi kilimnasa katibu, kama na wewe unamuhukumu rejea za mahakama zitaleta utata mkubwa zaidi bora tuachie huko huko kwa pilato watu mpaka wana watoto lakini wanaruka kimanga.

Kweli kabisa mkuu...hii nchi ni alkadabrahl...ukitaka kuishi katika nchi hii ukafurahia maisha kuwa fisadi, jitoe akili au kuwa kichaa(ili usishuhudie yanayotendeka). Mimi natamani nginezaliwa hapa nchini kama umbwa kuliko kuzaliwa kama binadamu!
 
Back
Top Bottom