washwa washwa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 1,613
- 728
Naomba kuuliza wana jamvi...Kwani hawana watoto??
Kwani ukizaa na mwanamke ni lazima awe mkeo?
Naomba kuuliza wana jamvi...Kwani hawana watoto??
Correct mahakamani wanaangalia hoja si mihemko na hisia.
Naomba kuliza wana jamvi...Kwani hawana watoto??
...bonge la trick,kwani definition ya ndoa/mke ni nini ? Kama walikuwa wakiishi pamoja kwa zaidi ya miaka miwili tayari ni mke na mume...
Ha haaa!, Lakini sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inatambua mke wa ndoa katika sehemu tatu,kuwa na watoto,kuishi ndani ya nyumba kwa na watu kutambua kuwa mke walo,ndoa ya kimila,na kukaa na mwanamke kwa zaidi ya miezi mitatu.ndg yangu aliishi na hawara tu miezi mitatu skimpikia,walipoachana,akaenda kukana mahakamani kuwa sio mke wa ndoa lakini huyo dada alisema nimekuwa nae siku zote nikimpikia hivyo mme wsngu.Labda kwa kuwa tumeamua kuwa mafisadi,HAFUNGWI MTU HAPA!!!
Chezeya adha ya lupango Mkuu!! hukawii kumkana mkeo!!!!! Lakini pagumu hapa pa Mhando kumkana mkewe. Kama wana watoto basi DNA zitapimwa ili kuangalia wao ni wazazi wa hao watoto au la. Na kama ikithibitishwa kwamba ni watoto wao basi hili la kumkana mkewe waliyeishi naye miaka mingi litatupwa kule.
Hapo ndipo umuhimu wa usalama wa taifa unatakiwa ufanye kazi,kwani nani hajui kama eva mumewe ni mhando mpaka wakataane wakati wa kesi
Ha haaa!, Lakini sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inatambua mke wa ndoa katika sehemu tatu,kuwa na watoto,kuishi ndani ya nyumba kwa na watu kutambua kuwa mke walo,ndoa ya kimila,na kukaa na mwanamke kwa zaidi ya miezi mitatu.ndg yangu aliishi na hawara tu miezi mitatu skimpikia,walipoachana,akaenda kukana mahakamani kuwa sio mke wa ndoa lakini huyo dada alisema nimekuwa nae siku zote nikimpikia hivyo mme wsngu.Labda kwa kuwa tumeamua kuwa mafisadi,HAFUNGWI MTU HAPA!!!
Naomba kuuliza wana jamvi...Kwani hawana watoto??
Mhando amezusha hoja ya kufikirisha mahakama zetu. Hii hoja itafanya hata kesi ya msingi isahaulike. Na Kama mawakili wa serikali wali frame charges zao kwamba Mhando alimpendelea "MKE" wake kumpatia tenda itakuwa imekula kwao. Na kama hakuna official documents i.e marriage certificates (kwenye ofisi za vizazi na vifo) ndio itakuwa vigumu kabisa ku prove Eva ni mke wa Mhando. Kwasababu serikali itategemea ushahidi wa Mhando na Eva, ambao wao tayari wanakana sio MKE NA MME! Kweli ukishangaa ya Balali, bado ya akina Mhando.
Ngoja tusubiri tusikie jibu la hili swali, na kama itathibitika wana watoto watamtwisha kosa lingine la kutaka kuidanganya mahakama.
Mkuu asante kwa sababu wewe umenielewa...
Mantiki ya swali langu hapo juu kulingana na mtoa mada ni hii.... Kama anadai sio mkewe na ni mpangaji wake, ina maana alizaa na mpangaji wake hivyo basi wana mahusiano ya kiuhawara. Ndio sababu iliyompelekea kumpa tenda kwa sababu ni hawara yake..
...bonge la trick,kwani definition ya ndoa/mke ni nini ? Kama walikuwa wakiishi pamoja kwa zaidi ya miaka miwili tayari ni mke na mume...
Chezeya adha ya lupango Mkuu!! hukawii kumkana mkeo!!!!! Lakini pagumu hapa pa Mhando kumkana mkewe. Kama wana watoto basi DNA zitapimwa ili kuangalia wao ni wazazi wa hao watoto au la. Na kama ikithibitishwa kwamba ni watoto wao basi hili la kumkana mkewe waliyeishi naye miaka mingi litatupwa kule.