Ndio maana mkuu nikasema hapo juu,kutoa utata,mhando wa tanesco,eva mhando na watoto walete vyeti vyao vya ndoa na vya kuzaliwa kama walivyowahi peleka makazini/mashuleni long way back(kumbuka vyeti vya kuzaliwa vinaeleza majina ya mama,majina ya baba na majina ya mtoto. Vyeti vya ndoa vina majina halisi ya mke na mme). Na kumbuka,mhando alikua ni mwajiliwa wa siku nyingi tanesco hivyo kule mwanzoni asingekua na wazo la kupeleka vyeti feki kwani hata wazo la kuanzisha kampuni na mkewe halikuwapo.Na pia kule kazini asingepeleka vyeti feki vya kuzaliwa watoto wake kwani lengo huwa ni vimthibitishe yeye na mkewe ili apate mafao yake mbalimbali.Kinachobaki mna connect dots tu!.