Ngwasa Omuyaya
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 2,630
- 2,738
Hii ndio Bongo Mkuu kila kitu kinawezekana.
mbona issue nyepesi. Huyo Muhando aambiwe alete cheti cha ndoa yake. Mkewe aambiwe alete cheti cha ndoa yake(makazini huwa tunapeleka vyeti vya ndoa na vya kuzaliwa vya watoto kwa mafao flan flan). Kisha watoto waambiwe walete vyeti vyao vya kuzaliwa. Kisha wata cross check na ofisi ya vizazi na vifo na TANESCO HR data base. Kisha uchunguzi utaendelea toka hapo.
mbona issue nyepesi. Huyo Muhando aambiwe alete cheti cha ndoa yake. Mkewe aambiwe alete cheti cha ndoa yake(makazini huwa tunapeleka vyeti vya ndoa na vya kuzaliwa vya watoto kwa mafao flan flan). Kisha watoto waambiwe walete vyeti vyao vya kuzaliwa. Kisha wata cross check na ofisi ya vizazi na vifo na TANESCO HR data base. Kisha uchunguzi utaendelea toka hapo.
Ndio maana mkuu nikasema hapo juu,kutoa utata,mhando wa tanesco,eva mhando na watoto walete vyeti vyao vya ndoa na vya kuzaliwa kama walivyowahi peleka makazini/mashuleni long way back(kumbuka vyeti vya kuzaliwa vinaeleza majina ya mama,majina ya baba na majina ya mtoto. Vyeti vya ndoa vina majina halisi ya mke na mme). Na kumbuka,mhando alikua ni mwajiliwa wa siku nyingi tanesco hivyo kule mwanzoni asingekua na wazo la kupeleka vyeti feki kwani hata wazo la kuanzisha kampuni na mkewe halikuwapo.Na pia kule kazini asingepeleka vyeti feki vya kuzaliwa watoto wake kwani lengo huwa ni vimthibitishe yeye na mkewe ili apate mafao yake mbalimbali.Kinachobaki mna connect dots tu!.kwani Eva mhando hawezi kuwa dadake ?
Ingawa simjui sana huyo mhando,lakini uzoefu unaonesha 90% ya wafanyakazi wa serikali au taasisi za umma huwa wanahakikisha wanafunga ndoa na kuwa na vyeti ili kujihakikishia mafao yalioainishwa ki sheria kwa wenye ndoa au watoto wao. Mhando alikua tanesco ambayo ni taasisi ya umma na masharti hayo yapo idara yao ya HR.Kama hawajawahi kufunga ndoa watavipata wapi!! Labda watoto wapimwe DNA
dah! yaani waendesha ashitaka wapeleke mahakamani dai kwamba eve ni mke wa mhando bila hata ya kuwa na vielelezo vya kuthibitisha dai linaloshikilia kesi! watakuwa watu wa ajabu sana, na kama ni hivyo sitashangaa wadau wengine wakidai waendesha mashitaka wamekula njama kuimaliza hii kesi.
Ikiwa upnde wa jamhuri watashundwa kuthibitisha kuwa eva ni mke wa muheshimiwa basi kesi ya msingi Imekufa....tehe tehe teheeee kweli Haki ipo mbinguni.
Wakili ni mfanyabiashara hivyo lazima afanye kila njia mteja wake ashinde na inaweza ikawa njia ya kupata wateja wengi! usimlaum ndo mfumo ulivyoAliyekuwa mkurugenzi mkuu wa TANESCO, William Mhando, amemkana mkewe Eva Mhando mahakamani kwa kukataa kwamba Eva sio mke wake. Mkurugenzi huyo amefunguliwa kesi ya ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka na moja ya mashtaka yanayomkabili ni kula njama za kufanya ufisadi akishirikiana na mkewe, Eva, anayedaiwa kupewa zabuni ya mabilioni ya walipakodi kinyemela.
Source: Raia Tanzania.
MAONI YANGU
Naona wakili wa mhando ameamua kufanya hii kesi iwe complicated na kuchukua muda mrefu huku fisadi Mhando akizidi kutafuna fedha za umma alizojichotea. Haya ndio matatizo ya mawakili 'waganga njaa' tuliokuwa nao ktk nchi hii. Mawakili kama hawa hawana hata chembe ya uzalendo.
Mpaka vyeti vya ndoa vije vipatikane ili kuthibitisha uanandoa kati ya Mhando na Eva, kesi itakuwa imemaliza karne kabla ya kuamuliwa. Hivi nchi hii tumerogwa na nani?
Nasoma
aliekuwa
mkurugenzi wa tanesco amkana mkewe eva
binafsi namjua mke wa william mhando ni eva
na mbaya wakati anakana watoto amesahau wakuruugenzi wa kaampuni
ya eva ni watoto wake
nasubiri awakane na watoto tumwite tasa..
Hawa watu awajui kuishinawatu vizuri ni kulanao pamoja yeye anapiga alonealone
loh
raha yamilele umpe ee bwana na mwanga wa segerea uwaangazie wapumzike kwa amani
.
mbona issue nyepesi. Huyo Muhando aambiwe alete cheti cha ndoa yake. Mkewe aambiwe alete cheti cha ndoa yake(makazini huwa tunapeleka vyeti vya ndoa na vya kuzaliwa vya watoto kwa mafao flan flan). Kisha watoto waambiwe walete vyeti vyao vya kuzaliwa. Kisha wata cross check na ofisi ya vizazi na vifo na TANESCO HR data base. Kisha uchunguzi utaendelea toka hapo.
Mwanaume kuzaa na mwanamke hakuwafanyi wawe MME na MKE. A prime example ni mimi, nilizaa mtoto wa "majaribio" wakati ule wa ujana wangu, lakini huyo msichana/mwanamke sio mke wangu.
Ndio maana mkuu nikasema hapo juu,kutoa utata,mhando wa tanesco,eva mhando na watoto walete vyeti vyao vya ndoa na vya kuzaliwa kama walivyowahi peleka makazini/mashuleni long way back(kumbuka vyeti vya kuzaliwa vinaeleza majina ya mama,majina ya baba na majina ya mtoto. Vyeti vya ndoa vina majina halisi ya mke na mme). Na kumbuka,mhando alikua ni mwajiliwa wa siku nyingi tanesco hivyo kule mwanzoni asingekua na wazo la kupeleka vyeti feki kwani hata wazo la kuanzisha kampuni na mkewe halikuwapo.Na pia kule kazini asingepeleka vyeti feki vya kuzaliwa watoto wake kwani lengo huwa ni vimthibitishe yeye na mkewe ili apate mafao yake mbalimbali.Kinachobaki mna connect dots tu!.
USHAHIDI uko wapi?
Raia Mwema - Bosi wa TANESCO amtetea mkewe
Majibu ya Mhando
Katika kufafanua kuhusu suala hilo, Mhando alisema wakati akiwa TANESCO katika ngazi za chini alikuwa akifanya kazi katika shirika hilo na mkewe, Eva.
"Mke wangu aliacha kazi, lakini tulikuwa na kampuni hiyo ya stationary Kariakoo na kwa sababu biashara haikuwa nzuri kutokana na uwezo mdogo wa kifedha, tuliuza kampuni hiyo mwaka jana. Mke wangu aliajiriwa tu katika kampuni hiyo baada ya kununuliwa ili waweze kutumia uzoefu wake katika kuiendesha.
"Sasa kwa nafasi ya mke wangu, yeye ni mtendaji wa hiyo kampuni lakini shughuli zote za kutafuta zabuni zinafanywa na wakurugenzi wa kampuni hiyo, si mke wangu. Kwa hiyo, walipoomba kazi TANESCO hatua zote zilifanyika kwa mujibu wa taratibu, kanuni na sheria na kampuni hiyo ilishindanishwa na kampuni nyingine na hatimaye kushinda," alisema Mhando.
Wewe unamuoa kama mjinga eeh? Mwenzako ndo amechomoka hivyo, wewe endelea kumshagaa tu. Kuna mtu aliwahi kujihasi ili asipatikane na hatia ya kubaka, sembuse kumkana mke kwa dili !!!hadi anamkana mkewe duh.......
si kweli. Copy ya cheti changu cha ndoa nikiitaka naipata muda wowote. Taarifa zilizomo kwenye vyeti vya kuzaliwa watoto wangu,naweza zipata muda wowote hata vyeti vyao vikipotea. Huyo Eva Muhando alikuwepo tanesco from 1982 to 2009. Lazima taarifa nyingikuhusu family life yake zipo pale hr,so do mr mhando!Mkuu, nakala za vyeti hivyo huwa hazibaki ofisi za vizazi & vifo. ni vigumu sana kupata taarifa hizo. Hapa Mhando hana kesi ya kujibu...ataachiwa very soon.