Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

ADE(Advanced Diploma in Engineering) inatambulika kama degree.Ni equivalent ya B.Eng,B.Tech in Engineering au Bsc in Engineering

Besides mbaka salutation yake ianze na Engineer ujue huyo mhusika kashatambulika na bodi ya wahandisi na ni engineer kamili(Professional Engineer)

Wacha kuongopa,Advanced Dip nı sawa na Bachelor???A big no.Graduate wa Advanced Dip kusoma master ni lazima apge post kwanza kwa vyuo makini au awe amefanyia kazi taaluma yake kwa miaka isiyopungua m3.Lakn ERB kama wanaweza kum-certıfy mtu km engineer kwa vıgezo vyao sawa lakn hyo haibadilishi Dıp kuwa Degree.Medical wanamtirırıko mzuri wa desıgnations hz kwa ngazi zote za taaluma,waje wasaidie.Hata hvo Adv.Dıp haztolewi tena.
 
Mimi msomi yoyote anayejitambulisha kwa watu wasiomjua kama Engineer, architect,PhD, etc etc, naona ni ushamba tu. Ni kwa wale ambao kufikia hapo, au kukaribia kufikia hapo ndio achievement kubwa zaidi waliyowahi kupata maishani mwao. watu wa sampuli za kujiita Eng. flani,hakuna hata la maana alilofanya kwenye hiyo fani toka aanze kujiita hivyo. Ni kuchosha waru tu. Kama wewe unaitwa stella manyanya, kwa nini uwape watu mzigo wa kutamka maneno zaidi?

Mkuu , title itabaki title kutokana na fani uliyosomea, kama umesomea udaktari utaanza na initial ya Dr , kama n uhandisi utaanza na Eng , na kama n mwalimu utaitwa hivyo

Cha msingi kubali , huu msemo
'God created the world but engineers change the world that has never ever been'

Taaluma n nyingi , lakini ukiona mtu kasoma engineering mpe heshima yake
 
Mimi msomi yoyote anayejitambulisha kwa watu wasiomjua kama Engineer, architect,PhD, etc etc, naona ni ushamba tu. Ni kwa wale ambao kufikia hapo, au kukaribia kufikia hapo ndio achievement kubwa zaidi waliyowahi kupata maishani mwao. watu wa sampuli za kujiita Eng. flani,hakuna hata la maana alilofanya kwenye hiyo fani toka aanze kujiita hivyo. Ni kuchosha waru tu. Kama wewe unaitwa stella manyanya, kwa nini uwape watu mzigo wr
Pope Francıs,Kilain na makasisi wengi wakatoriki ambao hawapo vyuoni wana doctorate au proffesorshp lakn huwa hazitajwi.Wazungu pia wako hvyo.Huwezi amani km Newton,Archmedes,Gallilee,Socrates,Plato,Aristotle walikuwa maprof.
 
Kuna mtu namfahamu anaitwa injinia maduhu hilo jina la injinia ndio jina lake la kuzaliwa

Na mimi kuna mtu namfahamu ni Dr. wa mafisadi, kila fisadi anayepelekwa kwake hupona.
 
ADE(Advanced Diploma in Engineering) inatambulika kama degree.Ni equivalent ya B.Eng,B.Tech in Engineering au Bsc in Engineering

Besides mbaka salutation yake ianze na Engineer ujue huyo mhusika kashatambulika na bodi ya wahandisi na ni engineer kamili(Professional Engineer)

Kwa nini mnasema ni equivalent why not equal ?
 
Stella Manyanya wakati wa Ben Mkapa alikua Regional Engineer Rukwa
 
Hebu tuletee na taarifa za madokta na maprof huko chamani. Maana ni wengi kweli lakini wakiongea ni kama darasa la 7c, enzi hizo 7a lilikuwa la wenye akili.

Mkuu umenikumbusha mbali...umepitia chang'ombe dar(duce)??
Nakumbuka A walikua the best ....B ndo walikua wanakaa low perfomers..
.
 
Kuna kitu kinaitwa kujiita na kuitwa, yaani names na titles. Names ni majina mtu anavyopenda kuitwa, hahitaji registration popote wala ruhusa ya yeyote kujiita hivyo.

Tuna ma Profesa kibao wakiongozwa na Profesa Matikisa, Profesa Singira, Profesa Maji Marefu, Profesa J wa Mitulinga, tuna ma daktari kibao, Dr. Ngizukulu Jilala, Dr. Kifimbo, Dr. Manyaunyau etc, hata tuna Diamond Platinum, Tuna Mwanafalsafa,etc hivyo ni ruksa yoyote kujiita vyovyote. Ila inapokuja kwenye formal name ni jina linaloonekana on any formal registrations, hili ni jina halisi na title halisi.

Kwenye hizi titles, zipo titles ambazo sio halisi, bali zinaandikwa kiuhalisia by proxy. Mfano Medical Assistant or RMO anaitwa Dr. Na anaandikwa Dr. Ila sio Dr. Stella Manyanya ni Eng. Stella Manyanya by proxy, ni halali yake kuitwa, kuwa addressed na kuandika Eng.

Pasco
 
Mkuu , title itabaki title kutokana na fani uliyosomea, kama umesomea udaktari utaanza na initial ya Dr , kama n uhandisi utaanza na Eng , na kama n mwalimu utaitwa hivyo

Cha msingi kubali , huu msemo
'God created the world but engineers change the world that has never ever been'

Taaluma n nyingi , lakini ukiona mtu kasoma engineering mpe heshima yake


Hehe, huu ni ushamba wa kiafrika.

Ofisini kwangu PhD ni minimum requirement ya kufanya kazi hapa,kwa lugha rahisi ukiondoa office attendants kila unayekutana naye ndani ya jengo ni PhD holder na asilimia 90 ni kweny Engineering field, sasa tungekuwa wote tunaitana Dr, Eng, etc Flani fulani si ingekuwa tunachoshana?

Haidian District,China kuna Mainjinia wasiopungua Milioni Moja, hii ni wilaya moja ndani ya Jiji la Beijing, sasa hawa wote wakijiita mainjinia si ungekuwa utata?

Hapo kwa Manyanya sioni substance, naona mshamba asiyejitambua. Chunguza utagundua huu upuuzi umejaa kwenye Banana Republics.

Sehemu Pekee ninayotegemea kukuona unajiita Dr ni wakati nasoma Academic work yako, Kinyume na hapo, hiyo ni criteria ya kutokuendelea kusikiliza au kusoma unachoandika. Sehemu Pekee ninayotegemea kukuta unajiita Engineer ni kwenye professional work presentation.

Engineering ni kama taaluma nyengine, nachukia huu upuuzi wa ku-overuse hii salutation, kwa kuwa inaondoa maana nzima.
 
Huyu Stella Manyanya ni FUNDO MCHUNDO lakini yeye amejibatiza u-engineer! Sijui kwanini bodi ya makandarasi haimuchukulii hatua!

Ni sawa tu muosha VIDONDA Hospital (no offense intended) kujiita Daktari bingwa wa kuosha vidonda!

Hivi fundi mchundo ndio taaluma gani?
 
kwenye tovuti hapo chini jina lake halipo katika wahandisi waliopewa usajili.

Registered Engineers

Kuwa engineer siyo lazima usajiliwe na board, ni academic qualifications ndiyo zinakufanya uwe engineer. Kusajiliwa na board kunakufanya utambulike kuwa wewe ni engineer anayeweza kufanya kazi kama Professional Engineer.

Mfano rahisi, unaweza kuwa daktari na usiwe umesajiliwa na ukafanya kazi zisizohusiana na wagonjwa ....................... ila huwezi kufanya kazi za udaktari kama wewe siyo daktari uliyesajiliwa na chombo husika!!
 
Amekuwa akijitaja na kutajwa;kujiita na kuitwa kuwa ni Injinia/Mhandisi/Engineer. Kiukweli,kada huyu mkongwe wa CCM,mbunge mtarajiwa wa Mbinga Magharibi na mkuu wa mkoa wa Rukwa,si injinia.

Nyaraka za kitaaluma za Stella Manyanya zinaonesha kuwa Manyanya ana Stashahada ya Juu ya Uhandisi toka Dar Tech ambayo kitaaluma haimfanyi kuwa injinia. Hajawahi kupata shahada ya uhandisi popote pale.

This year,we call a spade a spade,not a big spoon!

Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam
We mweli mbumbumbu wa kutupwa!!
Jitahidi ujielimishe, uhandisi siyo degree.

Jifunze hilo upate kujua ...
Hebu jiridhishe na adjective ya neno engineer, nawe utapata ufahamu ni nini, limetoka wapi na linatumika wapi.
Ni wale wenye uelewa finyu wanaofikiria kuwa unasomea uinjinia ili upate degree na uajiriwe.

Pole sir!!
 
Kuna kitu kinaitwa kujiita na kuitwa, yaani names na titles. Names ni majina mtu anavyopenda kuitwa, hahitaji registration popote wala ruhusa ya yeyote kujiita hivyo. Tuna ma Profesa kibao wakiongozwa na Profesa Matikisa, Profesa Singira, Profesa Maji Marefu, Profesa J wa Mitulinga, tuna ma daktari kibao, Dr. Ngizukulu Jilala, Dr. Kifimbo, Dr. Manyaunyau etc, hata tuna Diamond Platinum, Tuna Mwanafalsafa,etc hivyo ni ruksa yoyote kujiita vyovyote. Ila inapokuja kwenye formal name ni jina linaloonekana on any formal registrations, hili ni jina halisi na title halisi.

Kwenye hizi titles, zipo titles ambazo sio halisi, bali zinaandikwa kiuhalisia by proxy. Mfano Medical Assistant or RMO anaitwa Dr. Na anaandikwa Dr. Ila sio Dr. Stella Manyanya ni Eng. Stella Manyanya by proxy, ni halali yake kuitwa, kuwa addred na kuandika Eng.
Pasco

Naomba niulize,

Hivi waandishi wa habari Tanzania Huwa mnalazimishwa kuwa-refer watu kwa academic/proffesional titles au mnaamua kwa kupenda wenyewe?

Kwa nini hizi academic/proffessional tittles hamuwaiti wanasiasa wa nje ya Tanzania, au watu wa private sectors? Sijawahi sikia hata siku moja mfano, kwenye Taarifa ya Habari mkimtambulisha Raisi wa taifa la kigeni kama Dr. au Prof.
 
Amekuwa akijitaja na kutajwa;kujiita na kuitwa kuwa ni Injinia/Mhandisi/Engineer. Kiukweli,kada huyu mkongwe wa CCM,mbunge mtarajiwa wa Mbinga Magharibi na mkuu wa mkoa wa Rukwa,si injinia.

Nyaraka za kitaaluma za Stella Manyanya zinaonesha kuwa Manyanya ana Stashahada ya Juu ya Uhandisi toka Dar Tech ambayo kitaaluma haimfanyi kuwa injinia. Hajawahi kupata shahada ya uhandisi popote pale.

This year,we call a spade a spade,not a big spoon!

Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam
Mkuu kwani Advanced Diploma siyo equivalent na degree? Mimi najua advanced diploma kabla hazijafutwa zilikuwa ni equivalent na degree. Kwa maana hiyo advanced diploma in Civil Engineering is equivalent to Bachelor's Degree in Civil Engineering.

ila tufahamu kwamba Engineering is a professional. Hivyo ili uitwe Eng. fulani unatakiwa uwe registered na ERB na siyo tukumaliza degree.
 
Anatambulika na bodi ya wahandisi?

Mkuu,
Ili utambuliwe na ERB,shurt uwe na Bachelor Degree in Engineering,wether Bsc in Engineering,Btech in Engineering or Beng,huyu Mama ana Advanced Diploma ya Engineering kutoka DIT,hana Bachelor Degree,automatically ERB hawamtambui
 
Kuwa engineer siyo lazima usajiliwe na board, ni academic qualifications ndiyo zinakufanya uwe engineer. Kusajiliwa na board kunakufanya utambulike kuwa wewe ni engineer anayeweza kufanya kazi kama Professional Engineer.

Mfano rahisi, unaweza kuwa daktari na usiwe umesajiliwa na ukafanya kazi zisizohusiana na wagonjwa ....................... ila huwezi kufanya kazi za udaktari kama wewe siyo daktari uliyesajiliwa na chombo husika!!

Mkuu ili uitwe Engineer na jina lako kuanza na Eng. Zero lazima uwe registered na kupewa muhuri wa professional. Tumezoea tu kuwaita watu Engineer ama wao kujiita Engineer wakiwa tu na degree lakini kwa uhalisia ni kwamba lazima wawe registered.
 
Back
Top Bottom