Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

Huyu Stella Manyanya ni FUNDO MCHUNDO lakini yeye amejibatiza u-engineer! Sijui kwanini bodi ya makandarasi haimuchukulii hatua!

Ni sawa tu muosha VIDONDA Hospital (no offense intended) kujiita Daktari bingwa wa kuosha vidonda!
 
Hawezi kuwa mbunge wa Mbinga magharibi na safari hii hata wa viti maalumu atausikia redioni
 
Hebu tuletee na taarifa za madokta na maprof huko chamani. Maana ni wengi kweli lakini wakiongea ni kama darasa la 7c, enzi hizo 7a lilikuwa la wenye akili.

Tuanzie kwa Dk Prof JK
 
Labda hilo jina Injinia ni lake la kinyumbani kama vile "Jenerali" Ulimwengu. Sasa watu wanakosea na kuliita Engineer bada ya Injinia. Ni mawazo tuu.

Kama yule kamanda wa police (sifahamu kama bado anaendelea) jina lake ni Advocate Nyombi wakati yeye si wakili hilo advocate ni jina lake la kwanza so tumpe benefit of doubt mheshimiwa wa promo-Mama anapenda kuonekana kwenye blogs huyu kuliko RC mwingine yeyote nchini. So alifkiaje mpk umeneja Tanescrow kwa level hiyo ya elimu? Anyway hii ni Tanzania lolote linawezekana.
 
ADE(Advanced Diploma in Engineering) inatambulika kama degree.Ni equivalent ya B.Eng,B.Tech in Engineering au Bsc in Engineering

Besides mbaka salutation yake ianze na Engineer ujue huyo mhusika kashatambulika na bodi ya wahandisi na ni engineer kamili(Professional Engineer)
 
Muimu ni kupata BSc in Eng then bodi itakutambua, not otherwise.

Je ukisoma kozi ambayo mwishoni haina engineering je unaweza kua mhandisi ukimaliza iyo degree?? Mfano... bachelor of science in electronic science and communication ya udsm.
 
Je ukisoma kozi ambayo mwishoni haina engineering je unaweza kua mhandisi? Mfano... bachelor of science in electronic science and communication ya udsm.

Hiyo sio engineering mkuu.Engineering ni B.Eng,Bsc.Eng na B.Tech Eng
 
Kapata cheti cha hiyo taaluma? Naelewa fani km za watathmini , masaveya wana RICS. Sasa yeye ana cha hiyo fani yake.
 
Nami natangaza rasmi kuwa Longwater si daktare bali ni mganga wa kienyeji a.k.a mpiga ramli........
 
Mleta mada kwa nini usiwaulize ERB wakujibu swali lako maana wao ndio wanajua nani mhandisi na nani siyo mhandisi. Mtu anaweza kuwa aligraduate with Adv. Dip. in Eng. lakini akajiendeleza kwa elimu ya juu kama PGD, na kufanya mitihani ya bodi. Lakini pia elewa sheria ya ERB ilifanyiwa marekebisho mwaka 2007, Engineering Registration Board (Ammendment) Act. No. 24 2007. Inawatabua wote waliosoma taaluma ya uhandishia kuwa ni wahandisi katika level mbalimbali ili mradi wawe wamesajiliwa na ERB.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Labda hilo jina Injinia ni lake la kinyumbani kama vile "Jenerali" Ulimwengu. Sasa watu wanakosea na kuliita Engineer bada ya Injinia. Ni mawazo tuu.

Kuna mtu namfahamu anaitwa injinia maduhu hilo jina la injinia ndio jina lake la kuzaliwa
 
Bongo ni zaidi ya uijuavyo,
kama hadi sasa mkuu wa kaya ni profesa, kuna linaloshindikana hapo
 
Back
Top Bottom