Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

Kama yule kamanda wa police (sifahamu kama bado anaendelea) jina lake ni Advocate Nyombi wakati yeye si wakili hilo advocate ni jina lake la kwanza so tumpe benefit of doubt mheshimiwa wa promo-Mama anapenda kuonekana kwenye blogs huyu kuliko RC mwingine yeyote nchini. So alifkiaje mpk umeneja Tanescrow kwa level hiyo ya elimu? Anyway hii ni Tanzania lolote linawezekana.

Pamoja na kwamba jina lake la kwanza ni Advocate, Lakini pia huyu Bwana alisoma sheria nchini Ugiriki!.
 
usijali kwa hii thread now atafanya mpango wa kuhalalishiwa uinjinia wake.
 
CCM wote huwa ni maprofessa , Madokta, mainginia, Dr. Kamara, Dr. Mary Nagu prof. maji marefu inginia Stela Masalo
 
Advocate Nyombi kumbe sio Advocate? Nilijua kama Balozi Seif Idd au Balozi Ombeni Sefue au Jaji Warioba na Injinia Manyanya.
 
Haaaahaaaaa! Jamani hilo ni jina lake la utoto! Wengine kina chausiku, na yeye ndio alipewa Injinia! Tuliocheza nae utotoni tulikuwa tunamwita jina hilo la nyumbani!
 
Amekuwa akijitaja na kutajwa;kujiita na kuitwa kuwa ni Injinia/Mhandisi/Engineer. Kiukweli,kada huyu mkongwe wa CCM,mbunge mtarajiwa wa Mbinga Magharibi na mkuu wa mkoa wa Rukwa,si injinia.

Nyaraka za kitaaluma za Stella Manyanya zinaonesha kuwa Manyanya ana Stashahada ya Juu ya Uhandisi toka Dar Tech ambayo kitaaluma haimfanyi kuwa injinia. Hajawahi kupata shahada ya uhandisi popote pale.

This year,we call a spade a spade,not a big spoon!

Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam

Dr. Aisha Kigoda? Mpaka leo ni Daktari. She has never seen the inside of medical school!
 
Anatambulika na bodi ya wahandisi?

Ndiyo....Ni Mhandisi Mbobezi...Proffessional Engineer(PE)...Parliament of Tanzania
.............................................................................................................................................................
MWENYEKITI:

Hoja hiyo imeungwa mkono.

Waheshimiwa Wabunge, leo matangazo ni mengi lakini hili ni tangazo muhimu sana kwa Wabunge wetu. Kesho Ijumaa tarehe 23 Mei, 2014 kutakuwa na hafla fupi ya kuwaapisha Wahandisi wote waliosajiliwa waliopo Dodoma na maeneo jirani katika ukumbi wa African Dream Area D, Dodoma. Awamu hii ya uapishaji ni mwendelezo wa zoezi la utekelezaji wa matakwa ya Sheria ya Bunge ya Bodi ya Usajili wa Wahandisi Tanzania, Sura ya 63 ya mwaka 2007, ambayo inahusu Wahandisi watalaam (Professional Engineers) wote waliosajiliwa kwa mujibu wa sheria.

Wahandisi wafuatao ambao ni Waheshimiwa Wabunge wanashauriwa kutenga muda ili washiriki kula kiapo kitakachofanyika mbele ya Kamishna wa Viapo na kushuhudiwa na Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli, Mbunge na Waziri wa Ujenzi.

Tukio hilo litafanyika kuanzia saa tatu hadi saa tano asubuhi. Wahandisi hao ni Engineer Prof. Mark James Mwandosya, Namba ya Usajili PE715; Engineer Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa, Namba ya Usajili PE2900; Engineer Christopher Kajoro Chiza, Namba ya Usajili PE1529; Engineer Gerson Hosea Lwenge, Namba ya Usajili PE552; Engineer Dkt. Charles John Tizeba, Namba ya Usajili PE1446;
Engineer Stella Martin Manyanya, Namba ya Usajili PE1656; Engineer Ramo Matala Makani, Namba ya Usajili PE2236; Engineer Omar Rashid Nundu, Namba ya Usajili PE495 na
Engineer Hamad Yussuf Masauni, Namba ya Usajili PE2939.

Kwa niaba ya Mheshimiwa Spika, nawapongeza wote waliopata usajili huu na ambao kesho wanakwenda kula kiapo, Katibu
..............................................................................................................................................................................................

CV ya Stella Manyanya..


[h=2]MEMBER OF PARLIAMENT CV[/h][TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]Member picture
1334.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:[/TD]
[TD]Stella[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Martin[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Manyanya[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Special Seat[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]No Constituency[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]P.O. Box 77605, Dar es Salaam[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:[/TD]
[TD]+255 787 050050[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:[/TD]
[TD]smanyanya@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:[/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth[/TD]
[TD]4 August 1962[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Trodheim Technical Collage (NTNU) Norway[/TD]
[TD="align: center"]PGD (Electric Power Distribution System)[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]1996[/TD]
[TD="align: center"]POSTGRADUATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of Dar Es Salaam (UDSM)[/TD]
[TD="align: center"]Post Graduate[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]
[TD="align: center"]POSTGRADUATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dar Es Salaam Institute Technology (DIT)[/TD]
[TD="align: center"]Advance Diploma (Electrical Eng.)[/TD]
[TD="align: center"]1987[/TD]
[TD="align: center"]1992[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

 
Amekuwa akijitaja na kutajwa;kujiita na kuitwa kuwa ni Injinia/Mhandisi/Engineer. Kiukweli,kada huyu mkongwe wa CCM,mbunge mtarajiwa wa Mbinga Magharibi na mkuu wa mkoa wa Rukwa,si injinia.

Nyaraka za kitaaluma za Stella Manyanya zinaonesha kuwa Manyanya ana Stashahada ya Juu ya Uhandisi toka Dar Tech ambayo kitaaluma haimfanyi kuwa injinia. Hajawahi kupata shahada ya uhandisi popote pale.

This year,we call a spade a spade,not a big spoon!

Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam

Na Profesa Majimarefu je? Ni profesa kweli? Hili bunge limesheheni usanii!!! Bora Lyatonga ilibidi akasomee urais Marekani; halafu Zero akaenda kusomea Master Marekani baada ya kusukumwasukummwa Open University ambako marks zingine huenda zilikuwa za kiwaziri mkuu. Yupo wa viwango naye ilibidi aende open University asije kuumbuka kuitwa lawyer kimkakati. Wapo wengi sana aisee.
 
Amekuwa akijitaja na kutajwa;kujiita na kuitwa kuwa ni Injinia/Mhandisi/Engineer. Kiukweli,kada huyu mkongwe wa CCM,mbunge mtarajiwa wa Mbinga Magharibi na mkuu wa mkoa wa Rukwa,si injinia.

Nyaraka za kitaaluma za Stella Manyanya zinaonesha kuwa Manyanya ana Stashahada ya Juu ya Uhandisi toka Dar Tech ambayo kitaaluma haimfanyi kuwa injinia. Hajawahi kupata shahada ya uhandisi popote pale.

This year,we call a spade a spade,not a big spoon!

Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam

Angalau hata wewe mwenyewe unakiri anayo Stashahada ya juu ya uhandisi; thats a plus na inampa uhalali fulani wa kujiita Mhandisi; upgrade kidogo tayari ni certified Engineer!
Ukienda kwenye zahanati zetu Medical Assistant anaitwa doctor; akija full doctor anaitwa doctor; akija daktari bingwa anaitwa doctor; hizi titles na credentials na designations sio muhimu. cha msingi ni kuangalia kama mtu anaperform katika fani na nafasi anayoisimamia. period. Let truth be told.
 
Si lazima engineer wote waliosajiliwa wanasoma degree kuna wengine wanaweza kuwa na diploma ila akajiendeleza mahala pa kazi na kupata registration. Wapo wengi tu waliofata mfumo huo
 
  • Thanks
Reactions: EMT
CV ya Stella Manyanya.....inaonekana haijawa updated muda mrefu.....

Sasa Mzee Tupatupa mtu kama huyu kwanini asiwe Engineer??acheni mambo ya kuchafuana.


MEMBER OF PARLIAMENT CV

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]Member picture
1334.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:[/TD]
[TD]Stella[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Martin[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Manyanya[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Special Seat[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]No Constituency[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]P.O. Box 77605, Dar es Salaam[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:[/TD]
[TD]+255 787 050050[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:[/TD]
[TD]smanyanya@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:[/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth[/TD]
[TD]4 August 1962[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Trodheim Technical Collage (NTNU) Norway[/TD]
[TD="align: center"]PGD (Electric Power Distribution System)[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]1996[/TD]
[TD="align: center"]POSTGRADUATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of Dar Es Salaam (UDSM)[/TD]
[TD="align: center"]Post Graduate[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]
[TD="align: center"]POSTGRADUATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dar Es Salaam Institute Technology (DIT)[/TD]
[TD="align: center"]Advance Diploma (Electrical Eng.)[/TD]
[TD="align: center"]1987[/TD]
[TD="align: center"]1992[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]Dar Es Salaam Institute Technology (DIT)[/TD]
[TD="align: center"]Full Technician Course (FTC)[/TD]
[TD="align: center"]1980[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Songea Girls' Secondary School[/TD]
[TD="align: center"]Secondary Education[/TD]
[TD="align: center"]1976[/TD]
[TD="align: center"]1979[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Maguu Primary School, Mbinga[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1970[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Nambingi Primary School, Mbinga[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1969[/TD]
[TD="align: center"]1970[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name[/TH]
[TH="align: center"]Position[/TH]
[TH="align: center"]From[/TH]
[TH="align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Member - Special Seat[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TANESCO[/TD]
[TD]Head of Department (Engineer - Regional Level)[/TD]
[TD="align: center"]1993[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Pugu Kaolin Mines Ltd Kisarawe (STAMICO)[/TD]
[TD]Electrical Technician[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1987[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Hawezi kuwa mbunge wa Mbinga magharibi na safari hii hata wa viti maalumu atausikia redioni

hayo ni mawazo yako si mawazo ya wana mbinga magharibi . Hakuna anayekuzuia kuongea lakini ukweli utabaki kuwa huyo ndio mrithi wa capt. komba. Hao wengine akina shauri, Maluka , Mwisho wanamsindikiza tu safari yake ya kwenda bungeni dodoma. Wana nyasa hatutaki kumkabidhi mtu jimbo ambaye hata ofisi ya spika haijui .
 
ADE(Advanced Diploma in Engineering) inatambulika kama degree.Ni equivalent ya B.Eng,B.Tech in Engineering au Bsc in Engineering

Besides mbaka salutation yake ianze na Engineer ujue huyo mhusika kashatambulika na bodi ya wahandisi na ni engineer kamili(Professional Engineer)

Miaka ya nyuma vyuo vingi vilikuwa vinatoa Advanced Diploma. DIT, UCLAS, MBEYA TECH,CBE, MZUMBE-IDM et al. Sasa kwa wale wahitimu wa Engineering kutoka vyuo hivyo nje ya UDSM ambayo pekee ilitoa degree, walitambuliwa na ERB kama Technician Engineers na wale wa Degree kama Engineers(Graduate Engineer) Ukifanya SEAP na kuandika report ERB unakuwa Professional Engineer, lakini kwa wale wa Advanced walikuwa wanafanya mitihani ya bodi- ERB, na hivyo kuwa Professional Engineer.
Likewise pale UCLAS wengi walisoma Advanced Diploma in Building Economics,wengine Survey na Geormatic et al. Quantity Surveyors wengi tulio nao ambao ni age ya miaka kama45-50 na kuendelea wote hao ni Advanced Diploma kwani pale UCLAS degree ilianzishwa baadae. They are all QS bila kujali ni Advanced au Degree.

Baadae vyuo vingi viliamua ku phase out Advanced Diploma na kuweka Degree, watu wa mwanzo mwanzo wakiwa ni Mzumbe,UCLAS- Ardhi University, baadae DIT, MUST na baadae CBE, TIA na IFM

Hivyo namalizia kwa kusema kama mama Stella alimaliza Advance na kupata cheti na baadae kujisalimisha ERB, huyo ni Engineer halali na inapaswa nimelize kwa kusema honger Eng. Stella Manyanya!

Body ya Wahandisi hutoa barua kwa muhusika kumueleza kuwa kuanzia sasa jina lako litaanzia na initial Eng. mwanzoni au mwiahoni kama hivi:-
1. Eng Invisible
2. Bujibuji PEng( T)
3. Faiza Foxy Grad Eng( Hii ni kwa Muhandisi ambae ni fresh from school, au ambae siyo professional, au ambae hajaandika report ya kuomba kuwa professional, bila kujali kakaa miaka mingapi au ni profesa au Bachelor)

Kama hujapewa barua kufanya hivyo hauruhusiwi kujiita Engineer
 
CV ya Stella Manyanya.....inaonekana haijawa updated muda mrefu.....

Sasa Mzee Tupatupa mtu kama huyu kwanini asiwe Engineer??acheni mambo ya kuchafuana.


MEMBER OF PARLIAMENT CV

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]Member picture
1334.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:[/TD]
[TD]Stella[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Martin[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Manyanya[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Special Seat[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]No Constituency[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]P.O. Box 77605, Dar es Salaam[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:[/TD]
[TD]+255 787 050050[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:[/TD]
[TD]smanyanya@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:[/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth[/TD]
[TD]4 August 1962[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Trodheim Technical Collage (NTNU) Norway[/TD]
[TD="align: center"]PGD (Electric Power Distribution System)[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]1996[/TD]
[TD="align: center"]POSTGRADUATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of Dar Es Salaam (UDSM)[/TD]
[TD="align: center"]Post Graduate[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]
[TD="align: center"]POSTGRADUATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dar Es Salaam Institute Technology (DIT)[/TD]
[TD="align: center"]Advance Diploma (Electrical Eng.)[/TD]
[TD="align: center"]1987[/TD]
[TD="align: center"]1992[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]Dar Es Salaam Institute Technology (DIT)[/TD]
[TD="align: center"]Full Technician Course (FTC)[/TD]
[TD="align: center"]1980[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Songea Girls' Secondary School[/TD]
[TD="align: center"]Secondary Education[/TD]
[TD="align: center"]1976[/TD]
[TD="align: center"]1979[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Maguu Primary School, Mbinga[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1970[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Nambingi Primary School, Mbinga[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1969[/TD]
[TD="align: center"]1970[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name[/TH]
[TH="align: center"]Position[/TH]
[TH="align: center"]From[/TH]
[TH="align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Member - Special Seat[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TANESCO[/TD]
[TD]Head of Department (Engineer - Regional Level)[/TD]
[TD="align: center"]1993[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Pugu Kaolin Mines Ltd Kisarawe (STAMICO)[/TD]
[TD]Electrical Technician[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1987[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

kwenye tovuti hapo chini jina lake halipo katika wahandisi waliopewa usajili.

Registered Engineers
 
Mleta angehoji mbunge kuwa mkuu wa mkoa ndo angekuwa na hoja ya maana.
 
Kwa categories za ERB Tanzania, fresh graduate wenye Stashahada ya Juu ya Uhandisi huanza na Graduate Technician Engineer, wakati wenye Shahada ya Uhandisi wanaanza na Graduate Engineer. Kwa maana nyingine, ERB inawatambua wote wenye Stashahada ya Juu na wenye Shahada ya Uhandisi kama Engineers, tofauti ni category unayoanza nayo (na si unayoishia nayo). Kutegemeana na utakavyojiendeleza kitaaluma na kiweledi, mwenye category mojawapo katika zote hizo huweza kuja kuwa Professional Engineer. Hata hivyo siku hizi Graduate Technician Engineer naona kama vile ERB wanaiita Graduate Incorporated Engineer. Kwa hiyo kama SM ana Stashahada ya Juu ya Uhandisi basi ni Engineer ila category yake aliyoanza nayo ndo itakuwa tofauti na ile ya wenye Shahada ya Uhandisi
 
Kwa categories za ERB Tanzania, fresh graduate wenye Stashahada ya Uhandisi huanza na Graduate Technician Engineer, wakati wenye Shahada ya Uhandisi wanaanza na Graduate Engineer. Kutegemeana na utakavyojiendeleza kitaaluma na kiweledi, mwenye category mojawapo katika zote hizo huweza kuja kuwa Professional Engineer. Hata hivyo siku hizi Graduate Technician Engineer naona kama vile ERB wanaiita Graduate Incorporated Engineer. Kwa hiyo kama SM ana Stashahada ya Uhandisi basi ni Engineer ila category yake aliyoanza nayo ndo itakuwa tofauti na ile ya wenye Shahada ya Uhandisi

Soma hapo juu..Stella Manyanya ni Proffessional Engineer mwenye ERB Registration namba PE1656.
 
Back
Top Bottom