Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

Hehe, huu ni ushamba wa kiafrika.

Ofisini kwangu PhD ni minimum requirement ya kufanya kazi hapa,kwa lugha rahisi ukiondoa office attendants kila unayekutana naye ndani ya jengo ni PhD holder na asilimia 90 ni kweny Engineering field, sasa tungekuwa wote tunaitana Dr, Eng, etc Flani fulani si ingekuwa tunachoshana?

Haidian District,China kuna Mainjinia wasiopungua Milioni Moja, hii ni wilaya moja ndani ya Jiji la Beijing, sasa hawa wote wakijiita mainjinia si ungekuwa utata?

Hapo kwa Manyanya sioni substance, naona mshamba asiyejitambua. Chunguza utagundua huu upuuzi umejaa kwenye Banana Republics.

Sehemu Pekee ninayotegemea kukuona unajiita Dr ni wakati nasoma Academic work yako, Kinyume na hapo, hiyo ni criteria ya kutokuendelea kusikiliza au kusoma unachoandika. Sehemu Pekee ninayotegemea kukuta unajiita Engineer ni kwenye professional work presentation.

Engineering ni kama taaluma nyengine, nachukia huu upuuzi wa ku-overuse hii salutation, kwa kuwa inaondoa maana nzima.
Duh wenyewe wanapenda! Wanataka waitwe Eng. fulani ama Mhandisi Fulani. Usipowaita hivyo ugomvi
 
Mifumo ya elimu nchi hii ilikuwa inagongana!!

Ili kupata Injinia mzuri aliyeiva ni lazima apikwe toka mapema

Utaratibu wa kuwa na Technical Secondary school kama Ifunda,Tanga,Moshi na Mtwara hatimae Mazengo ulikuwa mzuri,wafaulu wa shule hizo pure za ufundi walijiunga na vyuo vya ufundi kama Dar Tech,Arusha Tech ama Mbeya Tech kwa mafunzo ya Full Technician Certificate kwa miaka 3

Baada ya hapo ndipo hujiunga na Advanced Diploma kwa miaka 3 tena ambayo ni Equivalent na B Eng lakini bado mamlaka hizo hizo zinazotoa Elimu haziitambui hiyo kama degree

Je degree ya engineer ni kusoma PCM then Form 6 then University?
Huyu aliyegonga nyundo na kushika bisibisi na spana toka form one hadi Technical Collegge miaka sita bado sio Engineer?

Poor Tanzanians

Tunashindaniana vyeti na sio weledi!!
 
Hehe, huu ni ushamba wa kiafrika.

Ofisini kwangu PhD ni minimum requirement ya kufanya kazi hapa,kwa lugha rahisi ukiondoa office attendants kila unayekutana naye ndani ya jengo ni PhD holder na asilimia 90 ni kweny Engineering field, sasa tungekuwa wote tunaitana Dr, Eng, etc Flani fulani si ingekuwa tunachoshana?

Haidian District,China kuna Mainjinia wasiopungua Milioni Moja, hii ni wilaya moja ndani ya Jiji la Beijing, sasa hawa wote wakijiita mainjinia si ungekuwa utata?

Hapo kwa Manyanya sioni substance, naona mshamba asiyejitambua. Chunguza utagundua huu upuuzi umejaa kwenye Banana Republics.

Sehemu Pekee ninayotegemea kukuona unajiita Dr ni wakati nasoma Academic work yako, Kinyume na hapo, hiyo ni criteria ya kutokuendelea kusikiliza au kusoma unachoandika. Sehemu Pekee ninayotegemea kukuta unajiita Engineer ni kwenye professional work presentation.

Engineering ni kama taaluma nyengine, nachukia huu upuuzi wa ku-overuse hii salutation, kwa kuwa inaondoa maana nzima.

Hiyo ni ofisini kwako ni sawa,hata Mimi ofisini kwangu kuna mainjinia wengi ambao pia ni madokta na maprofesa lakini hiyo haitoi sifa yao ya uhandisi
Nachomaanisha ni taaluma chache zenye initial ya kueleweka na yenye nguvu ,mfano Eng, Dr , n.k

Na title ndio humtambulisha mtu kwa wasiomfahamu pia hii husaidia kutoa fursa kwa namna moja au nyingine ya kupata msaada wa kitaaluma n.k kwa kufahamu taaluma ya mtu ,

Huo ndio uhalsia , lazima tofauti iwepo ili kuwatofautisha watu ndio maana baba wa taifa alipenda kuitwa mwalimu sababu ndio fani yake , nkwame Nkrumah aliitwa Dr , sababu ndio taaluma yake

Hatuwezi kuwaweka katika daraja sawa la title , japokuwa elimu waweza lingana

Title itabaki kuwa title mkuu
 
previously:



[TABLE="class: Msonormaltable, width: 100%"]
[TR]
[TD="bgcolor: Transparent, colspan: 2"]publications[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: Transparent"]
description
[/TD]
[TD="bgcolor: Transparent"]
date
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: Transparent"]s.m. Manyanya: Reinforcement of distribution network in kariakoo area, dar es salaam[/TD]
[TD="bgcolor: Transparent"]1996[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: Transparent"]s.m.manyaya: Challenges facing enterpreneurs in mbinga, dar es salaam.[/TD]
[TD="bgcolor: Transparent"]2007[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: Transparent"]s.m.manyaya: The effectiveness of enterpreneurship incubators in fostering income generating activities, dar es salaam.[/TD]
[TD="bgcolor: Transparent"]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: Transparent"]s.m.manyanya: mimba za utotoni ni kikwazo cha maendeleo ya wanawake, mtanzania gazeti 19, songea[/TD]
[TD="bgcolor: Transparent"]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: Transparent"][/TD]
[TD="bgcolor: Transparent"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hapo kwenye nyekundu bado sijaelewa
 
Duh wenyewe wanapenda! Wanataka waitwe Eng. fulani ama Mhandisi Fulani. Usipowaita hivyo ugomvi

Mkuu nafikiri hii ni trend tu! Hapa Ulaya (Ujerumain, Uswiss etc) maengineers hata maprofessor wangu walikuwa hawataki kuitwa Prof Schiller etc. Nchi moja ambayo ni wagonjwa wakutaka kuitwa hivyo ni Ostria! Hawa watu hovyo hata iweje inabidi utangulize Mr. Engineer .... au Prof Dr Dr ..... Sasa basi kwa huyu mama kama anapenda kujiita hivyo siyo mbaya. Cha muhimu yuko qualified. Mkuu mimi ni engineer na ninafanya na makampuni ya hawa wazungu hapa Ujerumani as a research & development engineer, lkn haiji kichwani hapa kuanza kutanguliza eti Eng Wabuyaga.. Lkn kumbuka Mkuu hapo Bongo wengi hizi tittle zimewajaa vichwani utafikiri nini. What matters as an engineer is what you can deliver.
 
Hiyo ni ofisini kwako ni sawa,hata Mimi ofisini kwangu kuna mainjinia wengi ambao pia ni madokta na maprofesa lakini hiyo haitoi sifa yao ya uhandisi
Nachomaanisha ni taaluma chache zenye initial ya kueleweka na yenye nguvu ,mfano Eng, Dr , n.k

Na title ndio humtambulisha mtu kwa wasiomfahamu pia hii husaidia kutoa fursa kwa namna moja au nyingine ya kupata msaada wa kitaaluma n.k kwa kufahamu taaluma ya mtu ,

Huo ndio uhalsia , lazima tofauti iwepo ili kuwatofautisha watu ndio maana baba wa taifa alipenda kuitwa mwalimu sababu ndio fani yake , nkwame Nkrumah aliitwa Dr , sababu ndio taaluma yake

Hatuwezi kuwaweka katika daraja sawa la title , japokuwa elimu waweza lingana

Title itabaki kuwa title mkuu


Narudia Tena, Kujiita Injinia flani kwenye kikao cha harusi, kwenye TV au kwenye Mkutano wa Siasa ni USHAMBA. Kama unajiita hivyo, acha, au endelea kujijua wewe ni mshamba.

Kuwa mshamba sio kitu cha ajabu. Usikasirike.

Tazama watu wenye elimu zisizo na mashaka, tafuta hata mmoja anayejiita Injinia, Profesa, dokta etc etc.

https://www.google.com/about/company/facts/management/

Hakuna, ingawa hiyo ni moja kati ya sehemu ambayo technically, angesamehewa kufanya hivyo.

Huu upuuzi wa kutukuza tittle, ndio maana unakutana na Prof,Dr wa kitanzania toka ahitimu pepa pekee aliyoandika ni ya kuomba donor funds. Halafu anakaza mishipa watu wamuite Dr, for what??
 
Mwache ajiite vyovyote anavyotaka cha msingi tuone manufaa,tz tunao wengi tu kama kina Prof. Jay ,Inspector Haroun , Luteni Kalama ,Sir Juma Nature , Captain G. Habash , Komandoo Hamza Kalala , Jenerali Ulimwengu , Field Mashal E.S , Madam Rita etc
 
na ameshaanza kunyemelea jimbo la mbinga magharibi akijiita yeye mnyasa hafai kuwa mbunge mana mwongo.! period.
 
Kuna kitu kinaitwa kujiita na kuitwa, yaani names na titles. Names ni majina mtu anavyopenda kuitwa, hahitaji registration popote wala ruhusa ya yeyote kujiita hivyo.

Tuna ma Profesa kibao wakiongozwa na Profesa Matikisa, Profesa Singira, Profesa Maji Marefu, Profesa J wa Mitulinga, tuna ma daktari kibao, Dr. Ngizukulu Jilala, Dr. Kifimbo, Dr. Manyaunyau etc, hata tuna Diamond Platinum, Tuna Mwanafalsafa,etc hivyo ni ruksa yoyote kujiita vyovyote. Ila inapokuja kwenye formal name ni jina linaloonekana on any formal registrations, hili ni jina halisi na title halisi.

Kwenye hizi titles, zipo titles ambazo sio halisi, bali zinaandikwa kiuhalisia by proxy. Mfano Medical Assistant or RMO anaitwa Dr. Na anaandikwa Dr. Ila sio Dr. Stella Manyanya ni Eng. Stella Manyanya by proxy, ni halali yake kuitwa, kuwa addressed na kuandika Eng.

Pasco

Prof. Hu xi hao wa Msoga
 
Narudia Tena, Kujiita Injinia flani kwenye kikao cha harusi, kwenye TV au kwenye Mkutano wa Siasa ni USHAMBA. Kama unajiita hivyo, acha, au endelea kujijua wewe ni mshamba.

Kuwa mshamba sio kitu cha ajabu. Usikasirike.

Tazama watu wenye elimu zisizo na mashaka, tafuta hata mmoja anayejiita Injinia, Profesa, dokta etc etc.

https://www.google.com/about/company/facts/management/

Hakuna, ingawa hiyo ni moja kati ya sehemu ambayo technically, angesamehewa kufanya hivyo.

Huu upuuzi wa kutukuza tittle, ndio maana unakutana na Prof,Dr wa kitanzania toka ahitimu pepa pekee aliyoandika ni ya kuomba donor funds. Halafu anakaza mishipa watu wamuite Dr, for what??

Mkuu unaweza sema pia ni ushamba kusoma engineering au medicine , wao hawajiiti Bali title zao ndio hufanywa waitwe hivyo , ukubali ukatae iwe kwa chuki au heri huo ndio uhalsia
 
Wanaudhi sana hawa watu, Na huu mtindo wa kutanguliza fani mtu aliyosomea umeshamiri sana siku hizi. Utakuta Mhasibu flani, adv. flani, eng. so and so.....like we care to know what the *** you went to school for.

Kama hatuna chochote cha kutunadi, tutajiuzaje mbele ya watu?
 
Wanaudhi sana hawa watu, Na huu mtindo wa kutanguliza fani mtu aliyosomea umeshamiri sana siku hizi. Utakuta Mhasibu flani, adv. flani, eng. so and so.....like we care to know what the *** you went to school for.
Hadi leo anasoma Post Graduate diploma, atamaliza 2020
 
Mkuu unaweza sema pia ni ushamba kusoma engineering au medicine , wao hawajiiti Bali title zao ndio hufanywa waitwe hivyo , ukubali ukatae iwe kwa chuki au heri huo ndio uhalsia


Kusoma sio Ushamba, Ushamba ni kulazimisha watu wasiohitaji kufahamu hiyo tittle, na wasiofaidika na hiyo extra information unayowalazimisha nayo kuifahamu.

Kwenye Kikao cha harusi au msiba nani anataka kujua wewe ni injinia? Ukiwa hospitali ndio kila mtu anayekuja kuhudumiwa atahitaji kujua wewe ni daktari, ukiwa kwenye eneo la kazi ya "engineering" labda kuna wakati kuna mtu anaweza kuhitaji kufahamu nani ni Engineer, incharge au supervisor. Mbali na hapo, your tittle is useless and definetly not somehting i will want to read or hear on every sentence your name is mentioned.
 
Kusoma sio Ushamba, Ushamba ni kulazimisha watu wasiohitaji kufahamu hiyo tittle, na wasiofaidika na hiyo extra information unayowalazimisha nayo kuifahamu.

Kwenye Kikao cha harusi au msiba nani anataka kujua wewe ni injinia? Ukiwa hospitali ndio kila mtu anayekuja kuhudumiwa atahitaji kujua wewe ni daktari, ukiwa kwenye eneo la kazi ya "engineering" labda kuna wakati kuna mtu anaweza kuhitaji kufahamu nani ni Engineer, incharge au supervisor. Mbali na hapo, your tittle is useless and definetly not somehting i will want to read or hear on every sentence your name is mentioned.

Mimi nafkiri ifikie kipindi tukubali tu , ukweli kwenye harusi au msiba inategemea aliyemtambulisha amemtambulisha ,tukubali tukatae kuna taalum ni very impressive ndio maana , huwa hivyo na pia tukumbuke initial huitwa sababu kuna ERB kwa Tanzania , kwa USA kuna ASAE n.k ,hivyo Dr's au Engineers sio hupenda kujiita Bali taaluma zao ndio huwatambulisha hivyo

Pia mwalimu atatambulika hivyo na taaluma nyinginezo, tunachoangalia ni initial ya taaluma na sio matumiz mabaya ya hiyo initial kama mtu anaitumia vibaya n yeye binafsi lakini , ukweli unabaki kuwa palepale
 
tuna Dr. Prof mhishimiwa sana JK anaongoza safu, Dr Nagu, Prof. Maji Marefu, Eng. Manyanya, Dr. Matayo etc --- credits za elimu sasa zinagawiwa kama maua ya send off

TUmejitakia
 
Mimi nafkiri ifikie kipindi tukubali tu , ukweli kwenye harusi au msiba inategemea aliyemtambulisha amemtambulisha ,tukubali tukatae kuna taalum ni very impressive ndio maana , huwa hivyo na pia tukumbuke initial huitwa sababu kuna ERB kwa Tanzania , kwa USA kuna ASAE n.k ,hivyo Dr's au Engineers sio hupenda kujiita Bali taaluma zao ndio huwatambulisha hivyo

Pia mwalimu atatambulika hivyo na taaluma nyinginezo, tunachoangalia ni initial ya taaluma na sio matumiz mabaya ya hiyo initial kama mtu anaitumia vibaya n yeye binafsi lakini , ukweli unabaki kuwa palepale


Ukikutana na mtu anayeona kuwa Dr, Eng etc ni impressive on it's own bila kuwa na chochote cha maana in terms of tangible output, kaa naye mbali.

Sihitaji kujua wewe ni Dr,Eng kwenye Msiba. Anayehitaji kujua hayo ni HR Manager wako, anayekupa ajira.Mbali na hapo ni ushamba,nitarudia tena hili neno. Ushamba.
 
Back
Top Bottom