Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

Narudia Tena, Kujiita Injinia flani kwenye kikao cha harusi, kwenye TV au kwenye Mkutano wa Siasa ni USHAMBA. Kama unajiita hivyo, acha, au endelea kujijua wewe ni mshamba.

Kuwa mshamba sio kitu cha ajabu. Usikasirike.

Tazama watu wenye elimu zisizo na mashaka, tafuta hata mmoja anayejiita Injinia, Profesa, dokta etc etc.

https://www.google.com/about/company/facts/management/

Hakuna, ingawa hiyo ni moja kati ya sehemu ambayo technically, angesamehewa kufanya hivyo.

Huu upuuzi wa kutukuza tittle, ndio maana unakutana na Prof,Dr wa kitanzania toka ahitimu pepa pekee aliyoandika ni ya kuomba donor funds. Halafu anakaza mishipa watu wamuite Dr, for what??
Dont castigate what you may NEVER achieve.
Mwache mtu ajiite apendavyo, wengine mna hemka kwa vile kufikia huko ni kwenda mbinguni .
 
Naomba niulize,
Hivi waandishi wa habari Tanzania Huwa mnalazimishwa kuwa-refer watu kwa academic/proffesional titles au mnaamua kwa kupenda wenyewe?

Kwa nini hizi academic/proffessional tittles hamuwaiti wanasiasa wa nje ya Tanzania, au watu wa private sectors? Sijawahi sikia hata siku moja mfano, kwenye Taarifa ya Habari mkimtambulisha Raisi wa taifa la kigeni kama Dr. au Prof.
Mkuu Kimweri, all visiting dignitaries, balozi zao huwa zinapeleka MFA their official names & titles na ndizo zinazotumiwa kwenye habari!. Mfano udaktari wa heshima, haijawahi kuwa ni tiles hata mara moja!, lakini huku kwetu ni tiles, Prof, Dr. JKM au Dr. Mengi etc!.

Wako wasomi kibao wenye tiles kibao lakini hawazitumii!, huku tuna wale wasio nazo wanajipachika na kuzitumia as if ni deserving!.

Pasco
 
Dont castigate what you may NEVER achieve.
Mwache mtu ajiite apendavyo, wengine mna hemka kwa vile kufikia huko ni kwenda mbinguni .


Doh.

Says a guy who does not know what Kimweri does.
What if i were to tell you, i don't really need the titles that you think are so important to you? If you are so insecure about your skills that you may need random people reminded about what you are, then that's an issue.
It seems your world revolves around being called by a tittle that does not add anything of value to your work.

Wewe jiite upendavyo, ila hawa wanasiasa wanalazimisha kila mtu awaite hivyo,kitu ambacho ndio ushamba tunaouzungumzia hapa.

Nakumbuka miaka ya 90 mwanzoni, watu walikuwa wanavaa simu kiunoni, ili kila mtu ajue ana simu ya mkononi, ule ushamba uka-expaya, kwa kuwa kila mtu sasa ana simu. muda si mrefu watanzania watazoea hizi titles wataanza kutazama "substance" na deliverance" ya mwenye title husika.
 
Tuache majungu,Taaluma yake inampa heshima kuwa eng.sio lazima ugundue vitu,unaweza kuwa eng.na usifanye taaluma yako,labda una matatizo binafsi na huyu mtu,ukweli stella ni engineer,labda utuambie sifa za eng.ni zipi then tuambie kwanini stella sio eng.Unless utakuwa upuuzi tu.
Hahahahaha, nimeipenda hiyo, nashauri na wana taaluma wengine waige mfano wa wahandisi, mfano: Mh. MCPA ...........
Mh. Mtawala....................., Mh. Mgavi................., Mh, Mkilimo................., Mh Mvuvi...................Mh, Mhasibu...........nan wale wengine wote wenye shahada fulani wajitambulishe kwa kuandika shahada zao nyuma ya majina yao kama wanavyofanya wahandisi, madaktari, wanajeshi maprofesa nk. ingependeza na kuwaongezea heshima mbele ya wananchi kama lengo ni hilo.
 
Mimi nafkiri ifikie kipindi tukubali tu , ukweli kwenye harusi au msiba inategemea aliyemtambulisha amemtambulisha ,tukubali tukatae kuna taalum ni very impressive ndio maana , huwa hivyo na pia tukumbuke initial huitwa sababu kuna ERB kwa Tanzania , kwa USA kuna ASAE n.k ,hivyo Dr's au Engineers sio hupenda kujiita Bali taaluma zao ndio huwatambulisha hivyo

Pia mwalimu atatambulika hivyo na taaluma nyinginezo, tunachoangalia ni initial ya taaluma na sio matumiz mabaya ya hiyo initial kama mtu anaitumia vibaya n yeye binafsi lakini , ukweli unabaki kuwa palepale

Hilo la mtu kuitwa Eng. fulani ni barua unapewa kabisa na ERB kwa kutimiza vigezo. Kuna paper unaziweka na wahandisi bobezi wanazikagua na kukupa au kutupilia mbali maombi yako. Na Chairman wake ni Prof Ninatubu Lema kutoka pale UDSM!

Mimi kwa kuwa naijua adha yake hadi kuipata hili title na kupewa barua na muhuri wa Jamhuri kwa ERB kukupa mamlaka ya kupitisha kazi za kihandisi, bila woga wala nini nitaendelea kujiita jina langu Eng. CHAZA, potelea mbali! Nilivyojipinda maripoti na SEAP mara narudishwa kuwa bado sijaandika kitu, leo hii ERB wamenitambua na kuniambia kuanzia sasa You are entitled to start your name by Initial Eng. CHAZA, ikiwa ni ridhaa toka chombo cha Serikali,wewe ni nani useme ni ushamba?! Kwenda zako huko!
 
Wacha kuongopa,Advanced Dip nı sawa na Bachelor???A big no.Graduate wa Advanced Dip kusoma master ni lazima apge post kwanza kwa vyuo makini au awe amefanyia kazi taaluma yake kwa miaka isiyopungua m3.Lakn ERB kama wanaweza kum-certıfy mtu km engineer kwa vıgezo vyao sawa lakn hyo haibadilishi Dıp kuwa Degree.Medical wanamtirırıko mzuri wa desıgnations hz kwa ngazi zote za taaluma,waje wasaidie.Hata hvo Adv.Dıp haztolewi tena.

Usikariri
 
Hehe, huu ni ushamba wa kiafrika.

Ofisini kwangu PhD ni minimum requirement ya kufanya kazi hapa,kwa lugha rahisi ukiondoa office attendants kila unayekutana naye ndani ya jengo ni PhD holder na asilimia 90 ni kweny Engineering field, sasa tungekuwa wote tunaitana Dr, Eng, etc Flani fulani si ingekuwa tunachoshana?

Haidian District,China kuna Mainjinia wasiopungua Milioni Moja, hii ni wilaya moja ndani ya Jiji la Beijing, sasa hawa wote wakijiita mainjinia si ungekuwa utata?

Hapo kwa Manyanya sioni substance, naona mshamba asiyejitambua. Chunguza utagundua huu upuuzi umejaa kwenye Banana Republics.

Sehemu Pekee ninayotegemea kukuona unajiita Dr ni wakati nasoma Academic work yako, Kinyume na hapo, hiyo ni criteria ya kutokuendelea kusikiliza au kusoma unachoandika. Sehemu Pekee ninayotegemea kukuta unajiita Engineer ni kwenye professional work presentation.

Engineering ni kama taaluma nyengine, nachukia huu upuuzi wa ku-overuse hii salutation, kwa kuwa inaondoa maana nzima.

Tanzania ina Engineers 15000 tu. Kati ya hao, Registered Professional Engineers hawazidi 4200 nchi nzima yenye watu 45,000,000!

Sharti la kuanza na neno hilo kwa Tanzania kwa professional Engineers siyo la kujitungia, ni mamlaka inayosimamia ethics ya Engineers yaani ERB inakutambua uitwe hivyo na uandike jina lako hivyo tena kwa barua. Kumbuka ERB ni watchdog ya kuangalia mienendo ya Engineers iliyo chini ya Wizara ya Ujenzi.

Sasa hayo ya Wachina sisi hayatuhusu.
Wapo wahandisi ambao ni Profs, Generals au maafisa wa jeshi nk wengi ninawafahamu na huanza hivi:
Eng. Prof Ninatubu Lema( Chairman ERB, Senior Lecturer UDSM)

Eng. Brig General......! So wenye wivu wajinyonge tu. Big up ERB! Big Up Eng. Stella Manyanya RC- Rukwa!
 
Hilo la mtu kuitwa Eng. fulani ni barua unapewa kabisa na ERB kwa kutimiza vigezo. Kuna paper unaziweka na wahandisi bobezi wanazikagua na kukupa au kutupilia mbali maombi yako. Na Chairman wake ni Prof Ninatubu Lema kutoka pale UDSM!

Mimi kwa kuwa naijua adha yake hadi kuipata hili title na kupewa barua na muhuri wa Jamhuri kwa ERB kukupa mamlaka ya kupitisha kazi za kihandisi, bila woga wala nini nitaendelea kujiita jina langu Eng. CHAZA, potelea mbali! Nilivyojipinda maripoti na SEAP mara narudishwa kuwa bado sijaandika kitu, leo hii ERB wamenitambua na kuniambia kuanzia sasa You are entitled to start your name by Initial Eng. CHAZA, ikiwa ni ridhaa toka chombo cha Serikali,wewe ni nani useme ni ushamba?! Kwenda zako huko!

Hongera mkuu

Eng CHAZA

Mimi nachosema na ninachopigania n kuwa title ya mtu katika fani itabaki pale pale
Tatizo ni pale mtu anapoitumia title vibaya pia mkuu naijua adha ya mtu mpaka kuwa injinia ni kazi nzito, au daktari ndio maana nasema sio kwamba tunapenda kujiita Bali n taaluma tulizopata ndio zinatufanya tuitwe hivyo

Tatizo la wachangiaji wengi n kukerwa na hiyo title , either kwa kufahamu au kutofaham au pia chuki tu , lakini ukweli hubaki pale pale , mtu hajiiti injinia Bali Elimu yake ya uhandisi ndio hufanya aitwe hivyo
Pia wanaojiita hivyo bila kutimiza vigezo kiukweli wanaikosea heshima hiyo taaluma ya uhandisi
 
Tanzania ina Engineers 15000 tu. Kati ya hao, Registered Professional Engineers hawazidi 4200 nchi nzima yenye watu 45,000,000!

Sharti la kuanza na neno hilo kwa Tanzania kwa professional Engineers siyo la kujitungia, ni mamlaka inayosimamia ethics ya Engineers yaani ERB inakutambua uitwe hivyo na uandike jina lako hivyo tena kwa barua. Kumbuka ERB ni watchdog ya kuangalia mienendo ya Engineers iliyo chini ya Wizara ya Ujenzi.

Sasa hayo ya Wachina sisi hayatuhusu.
Wapo wahandisi ambao ni Profs, Generals au maafisa wa jeshi nk wengi ninawafahamu na huanza hivi:
Eng. Prof Ninatubu Lema( Chairman ERB, Senior Lecturer UDSM)

Eng. Brig General......! So wenye wivu wajinyonge tu. Big up ERB! Big Up Eng. Stella Manyanya RC- Rukwa!

eng.Chaza tuko pamoja.wameelewa bila shaka wao hudhani kila mtu anaweza kuwa engineer sasa watatia heshima .alafu watu wa fani zingine hawana shida na hii title na ukiona mtu anakijicho jua kabisa physics na math vilimgonga tangu zamani
 
Doh.

Says a guy who does not know what Kimweri does.
What if i were to tell you, i don't really need the titles that you think are so important to you? If you are so insecure about your skills that you may need random people reminded about what you are, then that's an issue.
It seems your world revolves around being called by a tittle that does not add anything of value to your work.

Wewe jiite upendavyo, ila hawa wanasiasa wanalazimisha kila mtu awaite hivyo,kitu ambacho ndio ushamba tunaouzungumzia hapa.

Nakumbuka miaka ya 90 mwanzoni, watu walikuwa wanavaa simu kiunoni, ili kila mtu ajue ana simu ya mkononi, ule ushamba uka-expaya, kwa kuwa kila mtu sasa ana simu. muda si mrefu watanzania watazoea hizi titles wataanza kutazama "substance" na deliverance" ya mwenye title husika.
Mkuu what insecurity are you propounding, Waingereza walienda mbali zaidi na kuwa vyeo kama VC,HMO,DSO,(Victora Cross, Her Majestys Order, Distinguished Service Order etc)

Nyie mliokulia siasa ya ujamaa mwafikiri kila mtu ni sawa
Wstu wana wito na energy tofauti na akitokea mtu kutaka kuimbiwa nyimbo mwimbie hadi akinai!!!
 
eng.Chaza tuko pamoja.wameelewa bila shaka wao hudhani kila mtu anaweza kuwa engineer sasa watatia heshima .alafu watu wa fani zingine hawana shida na hii title na ukiona mtu anakijicho jua kabisa physics na math vilimgonga tangu zamani
Tuko pamoja mkuu( nadhani nawe ni Eng)!
Mtu umekula adha ya Structural Analysis na mahesabu makali chuo. Unarudi uraiani unaambiwa bado lazima ufanye SEAP- Structured Engineers Apprenticeship Program ndipo utambuliwe kama Engineer, unakubali kutoil tena kwa miaka mitatu halafu ukifanikiwa hilo halafu ERB wakakupa title hilo mtu anaona wivu! Nashauri anaeona wivu akasome yeye halafu akimaliza chuo akafanye SEAP hiyo kwa miaka 3! Kupewa title hilo kwa barua siyo kazi rahisi hata kidogo, na mwisho wa siku lazima utume ripoti! Halafu watu wanakuja na wivu wa kijinga, wanafikiri inatolewa tu kama njugu! Lazima ukajifunze kazi baadae utume ripoti zikaguliwe na wabobezi wa fani ya Engineering ndipo utapewa barua kuwa ok umeiva! Tena sharti kuu lazima ukae site, ukae ofisini design work, na pia lazima ukae ofisini ufanye management! Wasio fahamu wanafikiri ni rahisi tu. Hata uwe na PhD, kama hujaandika chochote na kupeleka ERB utaitwa ni CHAZA Eng( au Grad Eng Chaza) badala ya Eng Chaza!

Kama hujui jambo wangeuliza na kupata ufafanuz kabla ya kutokwa na povu!
 
kwa hiyo TZ ina mainjinia? mbona kila kitu kinakuwa chini ya kiwango!!!
 
kwa hiyo TZ ina mainjinia? mbona kila kitu kinakuwa chini ya kiwango!!!

Hakuna!

Nenda Botswana. Iko vizuri na Engineers wengi ni Watanzania!
Tanzania kuna madaktari? Mbona watu wanaenda India?

Lakini nenda Botswana madaktari bingwa ni Watanzania?!

LAPF Towers ghorofa 27 ni design ya Watanzania tena nawafahamu kabisa( UNDI CONSULT GROUP)

RITA TOWERS ni design ya Local Engineers( ghorofa 30- Limejengwa na Wachina na Designers ni UNDI CONSULT GROUP). Mara zote Wachina walikuwa wakipata ufafanuz kutoka kwa Structural Engineers!

PSPF Twin Towers ghorofa 35, limejengwa na ESTIM na Engineers wasimamizi ni local Engineers.

SAM NUJOMA ROAD ni Design ya Local Engineers NIMETA CONSULT tena wako pale Lumumba na Morogoro road. Mjenzi alikuwa Mchina. Design ya barabara ile ilikuwa ngumu maana mfinyanzi ulikuwa na tabaka kubwa.

Nakupa mifano hai ili ujue. Jivunie wataalam ulio nao! Ila wewe fani yako wenzako wamefanya nini chenye manufaa kwa nchi! Kama huna kaaa kimya acha wanaume wafanye yao!
 
Mkuu what insecurity are you propounding, Waingereza walienda mbali zaidi na kuwa vyeo kama VC,HMO,DSO,(Victora Cross, Her Majestys Order, Distinguished Service Order etc)

Nyie mliokulia siasa ya ujamaa mwafikiri kila mtu ni sawa
Wstu wana wito na energy tofauti na akitokea mtu kutaka kuimbiwa nyimbo mwimbie hadi akinai!!!

You make way too many assumptions,then use them as base to justify irrational misuse of professional tittles in audiences that aren't intended to.

Sasa huyo Mjamaa Kimweri, unayemzungumzia anafanya kazi kwa hao waingereza wako, na hakuna mtu anayemuita mwenzie injinia kwenye social circle wala wakiwa kazini. Kila mtu anajiamini kuwa ana sifa za kuwa injinia, hahitaji kukumbushwa kila jina lake linapoitwa.

Usichanganye ceremonial tittles na professional ones.

Kumbuka sikukataza watu kuitana mainjinia, dr, professor kadha wa kadha.., wakikutana mabarabarani. kama huo ushamba wanaona ni jambo jema waendelee nalo,wakistaarabika wataacha.
 
kuna ghorofa zinaanguka!! nikutoe nje ya jiji na hawa wa barabara za wilayani!! mbona mvua ikinyesha tu kosa barabara hovyohovyo!!!
misingi ya nchi imeharibika!!! kila kitu ni chini ya kiwango..
 
Hongera mkuu

Eng CHAZA

Mimi nachosema na ninachopigania n kuwa title ya mtu katika fani itabaki pale pale
Tatizo ni pale mtu anapoitumia title vibaya pia mkuu naijua adha ya mtu mpaka kuwa injinia ni kazi nzito, au daktari ndio maana nasema sio kwamba tunapenda kujiita Bali n taaluma tulizopata ndio zinatufanya tuitwe hivyo

Tatizo la wachangiaji wengi n kukerwa na hiyo title , either kwa kufahamu au kutofaham au pia chuki tu , lakini ukweli hubaki pale pale , mtu hajiiti injinia Bali Elimu yake ya uhandisi ndio hufanya aitwe hivyo
Pia wanaojiita hivyo bila kutimiza vigezo kiukweli wanaikosea heshima hiyo taaluma ya uhandisi


Ushamba tu unawasumbua. hakuna haja ya hamaki ni kitu cha kawaida sana kuwa mshamba.
Hakuna Adha yoyote kuwa injinia wewe, kama ulipata shida kuhitimu na kuwa injinia, labda ulikuwa una "hit" above your belt.
Engineering kama taaluma nyengine ni taaluma, hakuna kitu cha ajabu sana kuwa injinia. Mie binafsi nakerwa na tittle zote za kijinga, pale zinapoitwa au kuwekwa zisipostahili.
 
Hakuna!

Nenda Botswana. Iko vizuri na Engineers wengi ni Watanzania!
Tanzania kuna madaktari? Mbona watu wanaenda India?

Lakini nenda Botswana madaktari bingwa ni Watanzania?!

LAPF Towers ghorofa 27 ni design ya Watanzania tena nawafahamu kabisa( UNDI CONSULT GROUP)

RITA TOWERS ni design ya Local Engineers( ghorofa 30- Limejengwa na Wachina na Designers ni UNDI CONSULT GROUP). Mara zote Wachina walikuwa wakipata ufafanuz kutoka kwa Structural Engineers!

PSPF Twin Towers ghorofa 35, limejengwa na ESTIM na Engineers wasimamizi ni local Engineers.

SAM NUJOMA ROAD ni Design ya Local Engineers NIMETA CONSULT tena wako pale Lumumba na Morogoro road. Mjenzi alikuwa Mchina. Design ya barabara ile ilikuwa ngumu maana mfinyanzi ulikuwa na tabaka kubwa.

Nakupa mifano hai ili ujue. Jivunie wataalam ulio nao! Ila wewe fani yako wenzako wamefanya nini chenye manufaa kwa nchi! Kama huna kaaa kimya acha wanaume wafanye yao!


  1. Sidhani kama kuna anayedharau taaluma ya uhandisi
  2. Sidhani kama hiyo mifano uliyoitoa ina uhusiano wowote na quality na strength ya Tanzanian Engineers.
  3. Kwa hayo Majengo uliyoyataja, na hayo makampuni,ukilinganisha na wahandisi wa nchi zilizoendelea ni vitu vya kawaida. Kwa Tanzania ni hatua nzuri, ila ukweli unabaki kuwa, tuko nyuma sana. Ndio maana tunatakiwa kutilia mkazo masomo ya sayansi kwenye mashule yetu.
  4. Kitu kizuri kuhusu Utaalamu wowote, ni kuwa ukipewa nafasi matokeo mazuri huweza onekana, tabu iko zikija siasa mbovu , na uongozi mbaya.
 
Doh.

Says a guy who does not know what Kimweri does.
What if i were to tell you, i don't really need the titles that you think are so important to you? If you are so insecure about your skills that you may need random people reminded about what you are, then that's an issue.
It seems your world revolves around being called by a tittle that does not add anything of value to your work.

Wewe jiite upendavyo, ila hawa wanasiasa wanalazimisha kila mtu awaite hivyo,kitu ambacho ndio ushamba tunaouzungumzia hapa.

Nakumbuka miaka ya 90 mwanzoni, watu walikuwa wanavaa simu kiunoni, ili kila mtu ajue ana simu ya mkononi, ule ushamba uka-expaya, kwa kuwa kila mtu sasa ana simu. muda si mrefu watanzania watazoea hizi titles wataanza kutazama "substance" na deliverance" ya mwenye title husika.
A poor argument indeed.
Mkuu uinjinia haupigiwi kura, ni wale wenye uwezo wa kuupata tu ndio wanatunukiwa.
Tatizo lako laweza kuwa si tu lack of achievent kufikia hapo, lakini donge vile vile,
Mtu akiitwa Eng wewe unaumia nini?
Na jitahidi kufuatilia sheria ya usajili wa mainjinia upate kuelimika.
 
  1. Sidhani kama kuna anayedharau taaluma ya uhandisi
  2. Sidhani kama hiyo mifano uliyoitoa ina uhusiano wowote na quality na strength ya Tanzanian Engineers.
  3. Kwa hayo Majengo uliyoyataja, na hayo makampuni,ukilinganisha na wahandisi wa nchi zilizoendelea ni vitu vya kawaida. Kwa Tanzania ni hatua nzuri, ila ukweli unabaki kuwa, tuko nyuma sana. Ndio maana tunatakiwa kutilia mkazo masomo ya sayansi kwenye mashule yetu.
  4. Kitu kizuri kuhusu Utaalamu wowote, ni kuwa ukipewa nafasi matokeo mazuri huweza onekana, tabu iko zikija siasa mbovu , na uongozi mbaya.

Namba tatu: Nchi zilizoendelea! Sijataka tena kusoma makala yako! Maana unajua zilizoendelea. Hao wanatuzidi kwa kila kitu,siyo Uhandisi tu, hata kuvua, kulima nk! Sioni hoja yako hapa ni nini?
 
Back
Top Bottom