ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 10,292
- 4,967
Labda hilo jina Injinia ni lake la kinyumbani kama vile "Jenerali" Ulimwengu. Sasa watu wanakosea na kuliita Engineer bada ya Injinia. Ni mawazo tuu.
au generali defao
Labda hilo jina Injinia ni lake la kinyumbani kama vile "Jenerali" Ulimwengu. Sasa watu wanakosea na kuliita Engineer bada ya Injinia. Ni mawazo tuu.
Dr. Marry Nagu je?
Sijakataa, nimezungumzia kuhusu category aliyoanzia, na si aliyo nayo. Pia sikujikita kwa SM pekee, niliwatetea wote wenye Advanced Diploma za Engineering kuondoa mtazamo wa baadhi ya watu akiwemo muanzisha mada kwamba hawawezi kuwa Engineers. Hata kabla sijaona registration number, qualifications zake zinatosha kumuita Engineer, bila kujali category!Soma hapo juu..Stella Manyanya ni Proffessional Engineer mwenye ERB Registration namba PE1656.
Sijakataa, nimezungumzia kuhusu category aliyoanzia, na si aliyo nayo. Pia sikujikita kwa SM pekee, niliwatetea wote wenye Advanced Diploma za Engineering kuondoa mtazamo wa baadhi ya watu akiwemo muanzisha mada kwamba hawawezi kuwa Engineers. Hata kabla sijaona registration number, qualifications zake zinatosha kumuita Engineer, bila kujali category!
miaka ya nyuma vyuo vingi vilikuwa vinatoa advanced diploma. Dit, uclas, mbeya tech,cbe, mzumbe-idm et al. Sasa kwa wale wahitimu wa engineering kutoka vyuo hivyo nje ya udsm ambayo pekee ilitoa degree, walitambuliwa na erb kama technician engineers na wale wa degree kama engineers(graduate engineer) ukifanya seap na kuandika report erb unakuwa professional engineer, lakini kwa wale wa advanced walikuwa wanafanya mitihani ya bodi- erb, na hivyo kuwa professional engineer.
Likewise pale uclas wengi walisoma advanced diploma in building economics,wengine survey na geormatic et al. Quantity surveyors wengi tulio nao ambao ni age ya miaka kama45-50 na kuendelea wote hao ni advanced diploma kwani pale uclas degree ilianzishwa baadae. They are all qs bila kujali ni advanced au degree.
Baadae vyuo vingi viliamua ku phase out advanced diploma na kuweka degree, watu wa mwanzo mwanzo wakiwa ni mzumbe,uclas- ardhi university, baadae dit, must na baadae cbe, tia na ifm
hivyo namalizia kwa kusema kama mama stella alimaliza advance na kupata cheti na baadae kujisalimisha erb, huyo ni engineer halali na inapaswa nimelize kwa kusema honger eng. Stella manyanya!
Body ya wahandisi hutoa barua kwa muhusika kumueleza kuwa kuanzia sasa jina lako litaanzia na initial eng. Mwanzoni au mwiahoni kama hivi:-
1. Eng invisible
2. Bujibuji peng( t)
3. Faiza foxy grad eng( hii ni kwa muhandisi ambae ni fresh from school, au ambae siyo professional, au ambae hajaandika report ya kuomba kuwa professional, bila kujali kakaa miaka mingapi au ni profesa au bachelor)
kama hujapewa barua kufanya hivyo hauruhusiwi kujiita engineer
Amekuwa akijitaja na kutajwa;kujiita na kuitwa kuwa ni Injinia/Mhandisi/Engineer. Kiukweli,kada huyu mkongwe wa CCM,mbunge mtarajiwa wa Mbinga Magharibi na mkuu wa mkoa wa Rukwa,si injinia.
Nyaraka za kitaaluma za Stella Manyanya zinaonesha kuwa Manyanya ana Stashahada ya Juu ya Uhandisi toka Dar Tech ambayo kitaaluma haimfanyi kuwa injinia. Hajawahi kupata shahada ya uhandisi popote pale.
This year,we call a spade a spade,not a big spoon!
Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam
Amekuwa akijitaja na kutajwa;kujiita na kuitwa kuwa ni Injinia/Mhandisi/Engineer. Kiukweli,kada huyu mkongwe wa CCM,mbunge mtarajiwa wa Mbinga Magharibi na mkuu wa mkoa wa Rukwa,si injinia.
Nyaraka za kitaaluma za Stella Manyanya zinaonesha kuwa Manyanya ana Stashahada ya Juu ya Uhandisi toka Dar Tech ambayo kitaaluma haimfanyi kuwa injinia. Hajawahi kupata shahada ya uhandisi popote pale.
This year,we call a spade a spade,not a big spoon!
Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam
Stashada ni Advancd Diploma which is equivalent to a bachelor degree. Hawezi kusoma bachelor degree tena kwa vile ana advanced diploma bali anatakiwa kusoma Master Degree in Engineering. Huyo ni Engineer period.
Hapo ndipo pa muhimu kujua. Lakini nasikia Kamata naye karuka kutoka certificate hadi mastersAnatambulika na bodi ya wahandisi?
Usikurupuke kuamini kila unachosoma humu...hatujuani humu..yawezekane wengine na machizi wamekutoroka hospital.Hivyo kuwa mwangalifu kabla hujaamini ulichokisoma humu.Huwezi jua u injinia anaomaanisha mwenzenu jaribu kuwa nae karibu huenda akawanong'oneza kuwa......uinjinia wangu ni ule wa wakati wa...............
Ila aisee ungetuwekea na ka CV kake, dah ingekuwa imekaa poa sana aisee.Amekuwa akijitaja na kutajwa;kujiita na kuitwa kuwa ni Injinia/Mhandisi/Engineer. Kiukweli,kada huyu mkongwe wa CCM,mbunge mtarajiwa wa Mbinga Magharibi na mkuu wa mkoa wa Rukwa,si injinia.
Nyaraka za kitaaluma za Stella Manyanya zinaonesha kuwa Manyanya ana Stashahada ya Juu ya Uhandisi toka Dar Tech ambayo kitaaluma haimfanyi kuwa injinia. Hajawahi kupata shahada ya uhandisi popote pale.
This year,we call a spade a spade,not a big spoon!
Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam
Dah! hata mimi nilikuwa nashangaa sana, Mhandisi gani mweupe hivi. Yaani akiwa anaongea na MANGWINI, Mangwini wanamuacha mbali sana, sasa nikawa najiuliza huyu kweli ni Mhandisi, mbona mweupe hivi?
Sasa nimejua kuwa ni Ngwini tu yule.
Ila aisee ungetuwekea na ka CV kake, dah ingekuwa imekaa poa sana aisee.
Pamoja na hilo naambatanisha na ombi la CV ya ASUMPTA MSHAMA. Naomba iwekwe jamvini.