Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

Umekurupuka...hii ni dalili kuwa yawezekana wewe ndio mweupe zaidi
Neno KUKURUPUKA ni neno ambalo linatumiwa sana na MANGWINI.
Andika Insha isiyopungua maneno 250 kuulezea nini maana ya neno KUKURUPUKA.
 
Waachie waliouhenyea u Eng wajiite hivyo, siku wakiwa wengi relevancy ya kujitofautisha itapotea yenyewe,
And thats a simple fact of life.

Not really, hakuna cha kuhenyea kwenye kuwa Engineer. As with anything in life, hitting above your belt is sure to bring unwanted hardships.

Kinyume na hapo, Engineering ni kama taaluma nyengine. hakuna haja ya chest beating, ni kutokujitambua tu.
 
Titles will remain to be titles, whether achieved through ceremonial achievements or otherwise.
The main purpose here is to distinguish achievers from non achievers.
Kama huko uliko unakaa na non achievers, well, the need to distinguish yourself from the rest of the pack becomes more than necessary.
Kama katika congregation of engineers, it becomes apparent that only that engineer that has surpassed the ordinary will be noted.

Sasa pmoja na titles, I personally would like to be noted for who I am, standing out from a crowd.
If you have no ambition to achieve and later be noted for what you are, buddy, just walk the treadmill!!!

Again, una-confuse Kimweri kutokakupenda Titles kutotumika pasipo na maana na yeye kuwa na wivu wa uwepo wa hizo tittle.
kwa nini una-assume mtu usiyemfahamu, wala usiyejua anachofanya atakuwa na wivu na simple title kama Eng. ?
I am not going to go down listing titles in JF, too old for that. But, you apparently come out as too naive. And if this is the society JK and friends live among, acheni waendeelee kujiita Dr.Dr.Dr, Prof, Eng.Mheshimiwa flani bin flani, I had thought only fools will be impressed by such useless display of titles, apparently they have managed to accumulate enough of them n TZ.
God bless my Nation.
 
Not really, hakuna cha kuhenyea kwenye kuwa Engineer. As with anything in life, hitting above your belt is sure to bring unwanted hardships.

Kinyume na hapo, Engineering ni kama taaluma nyengine. hakuna haja ya chest beating, ni kutokujitambua tu.
Its a fact, tena with world wide acclamation, kuwa Eng in itself is an achievement above normal.
Nyie watu mnaotaka ku belittle hiyo fact mna yenu.
Mtu aki chest thump unaumia nini?
Isnt it out of inferiority?

In actual fact, to make it in life you dont have to be an engineer, just excel over and above the normal, the recognition wil surely follow.

You cannot, will not, and above all huwezi kuwa na jeuri ya kumwona Eng kuwa ni mtu wa kawaida tu, ilhali wewe ulishaamua toka primari kuwa huko ni kwa wale gifted.
 
Mkuu Mimi naona ni chuki binafsi hiyo ni title , ambayo mtu hajiiti Bali taaluma yake , kama ya taaluma yako haina initial tulia tu. Punguza wivu kila kitu na watu wake hatuwez kuwa sawa , usiwachukie engineers wakati ndio wanakuweka mjini , tukiacha title hiyo engineering ina mchango mkubwa sana katika hii dunia kuliko fani yoyote ile

Hivyo huo ushamba , n sababu wamepiga hatua katika kuisaidia jamii , naamin kuna kitu kinakukereketa tu ,ila ukweli ndio huo

Punguza chuki mkuu

Mshamba ni wewe unayeamini Engineer anachangia kuliko mwalimu, anachangia kuliko mwanasheria, anachangia kuliko afisa wa ustawi wa jamii, anachangia kuliko mhasibu n.k, Unaamini Jengo linazuka tu, au barabara inazuka tu bila michango ya taaluma nyengine. Mara ngapi hakuna ujenzi unafanyika bila mikataba ya kisheria kuwekwa sawa?Mara ngapi Makampuni hayatumii technolojia flani bila kukubaliana Patent za matumizi ya technolojia husika?Duniani sasa, watu wengi wanatumia simu na bidhaa za Apple, kwa sababu ya artist mwenye uwezo mzuri wa kuzifanya bidhaa hizo ziwe na "user interface" yenye kuvutia.

Nakusikitikia kuwa wewe ni sehemu ambayo wanasiasa wanaendelea kuitumia kujinufaisha na kulahgai wananchi,kuwa title flani inamfanya mtu kuwa bora kuliko wengine.Hivyo kwa kuwa ana hiyo title basi apewe uongozi. Si kweli.

FYI, sichukii injinia,wala taaluma yeyote ile. Hakuna chuki kukueleza kuwa upunguze ushamba, you come out as someone with very limited exposure,and your definition of kwengine duniani, comes from Movies,TV, or those 1 week work trips kuosha macho. Huko Duniani kwa wengine, people have gotten over what you are going through now.

kalagabaho
 
Mshamba ni wewe unayeamini Engineer anachangia kuliko mwalimu, anachangia kuliko mwanasheria, anachangia kuliko afisa wa ustawi wa jamii, anachangia kuliko mhasibu n.k, Unaamini Jengo linazuka tu, au barabara inazuka tu bila michango ya taaluma nyengine. Mara ngapi hakuna ujenzi unafanyika bila mikataba ya kisheria kuwekwa sawa?Mara ngapi Makampuni hayatumii technolojia flani bila kukubaliana Patent za matumizi ya technolojia husika?Duniani sasa, watu wengi wanatumia simu na bidhaa za Apple, kwa sababu ya artist mwenye uwezo mzuri wa kuzifanya bidhaa hizo ziwe na "user interface" yenye kuvutia.

Nakusikitikia kuwa wewe ni sehemu ambayo wanasiasa wanaendelea kuitumia kujinufaisha na kulahgai wananchi,kuwa title flani inamfanya mtu kuwa bora kuliko wengine.Hivyo kwa kuwa ana hiyo title basi apewe uongozi. Si kweli.

FYI, sichukii injinia,wala taaluma yeyote ile. Hakuna chuki kukueleza kuwa upunguze ushamba, you come out as someone with very limited exposure,and your definition of kwengine duniani, comes from Movies,TV, or those 1 week work trips kuosha macho. Huko Duniani kwa wengine, people have gotten over what you are going through now.

kalagabaho

Mkuu unapoengelea taaluma ya engineering , unagusa watu muhimu katika dunia after GOD,
Pia engineering sio kujenga Barabara tu, hiyo ni part tu ndani ya engineering na kiuhalsia civil engineering ni miongoni mwa fani kongwe za engineering duniani lakini zipo fani nyingi za engineering mfano, mechanical engineering,software engineering,electrical engineering,agricultural engineering, bio processing engineering, computer engineering n.k

Hivyo fahamu kuwa duniani , mainjinia ndio wameibadili hii dunia ilivyo sasa,huwez mlinganisha engineer na MHASIBU,mwalimu, mwanasheria na the like , ukweli utabaki pale pale kuwa title itabaki kuwa title ,

Artist , ha ha ha , kudesign hiyo apple ,ungesema architect ningekuelewa kidogo pia kumbuka engineering anasoma hata hiyo design na anasoma vitu ambavyo mwanasheria,MHASIBU, mwalimu, architect n.k lakini hizo fani hawawez soma course za engineering , hivyo uelewe engineer ni kila kitu , na hiyo title hailazimishwi Bali inatokana na fan yenyewe, ukiwa chuoni unaitwa Dr kama unasomea udaktari , utaitwa engineer kama unasomea engineering , utaitwa mwanasheria kama unasomea sheria na utaitwa mwalimu kama unasomea ualimu .
Hizo n title zinakuja kutofautisha carrier ya mtu ,

Mkuu , utabisha lakini ukweli utabaki kuwa ukweli , 'God created the world as it is but engineers change the world that has never ever been'

Hiyo ndio tofauti ya engineering na fani nyingine, engineers wana deal na kutatua matatizo ya jamii,
 
Mkuu unapoengelea taaluma ya engineering , unagusa watu muhimu katika dunia after GOD,
Pia engineering sio kujenga Barabara tu, hiyo ni part tu ndani ya engineering na kiuhalsia civil engineering ni miongoni mwa fani kongwe za engineering duniani lakini zipo fani nyingi za engineering mfano, mechanical engineering,software engineering,electrical engineering,agricultural engineering, bio processing engineering, computer engineering n.k

Hivyo fahamu kuwa duniani , mainjinia ndio wameibadili hii dunia ilivyo sasa,huwez mlinganisha engineer na MHASIBU,mwalimu, mwanasheria na the like , ukweli utabaki pale pale kuwa title itabaki kuwa title ,

Artist , ha ha ha , kudesign hiyo apple ,ungesema architect ningekuelewa kidogo pia kumbuka engineering anasoma hata hiyo design na anasoma vitu ambavyo mwanasheria,MHASIBU, mwalimu, architect n.k lakini hizo fani hawawez soma course za engineering , hivyo uelewe engineer ni kila kitu , na hiyo title hailazimishwi Bali inatokana na fan yenyewe, ukiwa chuoni unaitwa Dr kama unasomea udaktari , utaitwa engineer kama unasomea engineering , utaitwa mwanasheria kama unasomea sheria na utaitwa mwalimu kama unasomea ualimu .
Hizo n title zinakuja kutofautisha carrier ya mtu ,

Mkuu , utabisha lakini ukweli utabaki kuwa ukweli , 'God created the world as it is but engineers change the world that has never ever been'

Hiyo ndio tofauti ya engineering na fani nyingine, engineers wana deal na kutatua matatizo ya jamii,

Umebakwa "fikra"
 
Mkuu unapoengelea taaluma ya engineering , unagusa watu muhimu katika dunia after GOD,
Pia engineering sio kujenga Barabara tu, hiyo ni part tu ndani ya engineering na kiuhalsia civil engineering ni miongoni mwa fani kongwe za engineering duniani lakini zipo fani nyingi za engineering mfano, mechanical engineering,software engineering,electrical engineering,agricultural engineering, bio processing engineering, computer engineering n.k

Hivyo fahamu kuwa duniani , mainjinia ndio wameibadili hii dunia ilivyo sasa,huwez mlinganisha engineer na MHASIBU,mwalimu, mwanasheria na the like , ukweli utabaki pale pale kuwa title itabaki kuwa title ,

Artist , ha ha ha , kudesign hiyo apple ,ungesema architect ningekuelewa kidogo pia kumbuka engineering anasoma hata hiyo design na anasoma vitu ambavyo mwanasheria,MHASIBU, mwalimu, architect n.k lakini hizo fani hawawez soma course za engineering , hivyo uelewe engineer ni kila kitu , na hiyo title hailazimishwi Bali inatokana na fan yenyewe, ukiwa chuoni unaitwa Dr kama unasomea udaktari , utaitwa engineer kama unasomea engineering , utaitwa mwanasheria kama unasomea sheria na utaitwa mwalimu kama unasomea ualimu .
Hizo n title zinakuja kutofautisha carrier ya mtu ,

Mkuu , utabisha lakini ukweli utabaki kuwa ukweli , 'God created the world as it is but engineers change the world that has never ever been'

Hiyo ndio tofauti ya engineering na fani nyingine, engineers wana deal na kutatua matatizo ya jamii,

Safi sana mkuu, coulnt have said it better,hawa manguini wana matatizo sana.
Wivu na kiroho kinataka kuwatokea kooni akitokea Eng

Wanafikiri hiyo title imekuja kwa kampeni za uchaguzi.
 
Tumeona kwenye CV yake ana Advanced Diploma ya engineering equivalent to Bachelor of Engineering , hivyo ni engineer kwa sababu ili uitwe Engineer ni lazima uwe na shahada au Stashahada ya juu ya uhandisi
 
Kuna mwenye akili mmoja kasema kwenye tovuti ya ERB jina la Stella Manyanya halimo sasa nyinyi mnakuwa na maelezo mengiiii
Tovuti ya ERB haitunzi majina ya wahandisi wote, bali waliosajiliwa mara ya mwisho, ambao nao majina yao yataondolewa watakaposajiliwa wapya. ERB husajili kila baada ya miezi mitatu, yaani mara nne kwa mwaka. Huyo aliyesema jina la SM halipo kwenye website alikurupuka akidhani kila aliyesajiliwa atakuwepo. Tutofautishe kati ya website na database, ndio maana huwezi kulikuta tangazo la kazi la mwaka juzi kwenye website ya Utumishi, ila database yao (ambayo si lazima kila mtu aione) ina kila nafasi ya kazi iliyotangazwa na watu walioajiriwa!
 
Mkuu unapoengelea taaluma ya engineering , unagusa watu muhimu katika dunia after GOD,
Pia engineering sio kujenga Barabara tu, hiyo ni part tu ndani ya engineering na kiuhalsia civil engineering ni miongoni mwa fani kongwe za engineering duniani lakini zipo fani nyingi za engineering mfano, mechanical engineering,software engineering,electrical engineering,agricultural engineering, bio processing engineering, computer engineering n.k

Hivyo fahamu kuwa duniani , mainjinia ndio wameibadili hii dunia ilivyo sasa,huwez mlinganisha engineer na MHASIBU,mwalimu, mwanasheria na the like , ukweli utabaki pale pale kuwa title itabaki kuwa title ,

Artist , ha ha ha , kudesign hiyo apple ,ungesema architect ningekuelewa kidogo pia kumbuka engineering anasoma hata hiyo design na anasoma vitu ambavyo mwanasheria,MHASIBU, mwalimu, architect n.k lakini hizo fani hawawez soma course za engineering , hivyo uelewe engineer ni kila kitu , na hiyo title hailazimishwi Bali inatokana na fan yenyewe, ukiwa chuoni unaitwa Dr kama unasomea udaktari , utaitwa engineer kama unasomea engineering , utaitwa mwanasheria kama unasomea sheria na utaitwa mwalimu kama unasomea ualimu .
Hizo n title zinakuja kutofautisha carrier ya mtu ,

Mkuu , utabisha lakini ukweli utabaki kuwa ukweli , 'God created the world as it is but engineers change the world that has never ever been'

Hiyo ndio tofauti ya engineering na fani nyingine, engineers wana deal na kutatua matatizo ya jamii,

You are a disgrace to the entire field of Engineering.

I have learned from what you have written here,achieving the engineering tittle is your lifetime achievement. What a waste of space.

Wewe na kwenye field ya Engineering ni sawa na mshika dini "extremist", knows little but make most noise. Now Injinia stella manyanya makes sense, kama wafanyakazi walioko chini yake ndio watu wa sampuli hizi, acheni mkw*re aendelee kuitwa Dr.Dr.Dr Prof etc
 
Kama sikosei alisema huku rukwa wafanyakazi wanaletwa kama tumeharibu sehemu zingine ndo maana hakuna utendaji mzuri wa kazi.she too belong to those enneficiency proffessional who who are posted in the same region for the same reason.Being RC IS A LEADER OF INNEFFICIENCY workers










kumbe Engineer siyo issue ,maana kuna watu hawana hiyo Degree ila wanna gonga kazi zote zinazohusu Building construction ktk level ya 1 ,sasa kumbe huu Mama yenu anaweka CV ya ameiremba kumbe. hats firm 4-6 wote ni Engineer
tupa kapuni kule
 
You are a disgrace to the entire field of Engineering.

I have learned from what you have written here,achieving the engineering tittle is your lifetime achievement. What a waste of space.

Wewe na kwenye field ya Engineering ni sawa na mshika dini "extremist", knows little but make most noise. Now Injinia stella manyanya makes sense, kama wafanyakazi walioko chini yake ndio watu wa sampuli hizi, acheni mkw*re aendelee kuitwa Dr.Dr.Dr Prof etc

Ni maoni yako mkuu
Nachosimamia ni ukweli

Na hiyo ndio humweka mtu huru,hizo kelele n zako uzuri naongelea field nayoijua na niliyosomea na iliyoshinda wengi na ndio maana huchukizwa na hiyo title , nilikwambia na nitasisitiza sio kwamba tunapenda tu kujiita Bali masomo na fani tuliyosomea ndio mwishoni huwafanya watu watuite hivyo

Hivyo ukubali ukatae ukweli ndio huo, na ukitaka twende mbali zaidi utaona tunajisifia kumbe ndio uhalsia
 
Tanzania kuna engineer? Hawa wa ku copy and paste?? Mpaka leo tunatumia jembe la mkono, hatuna maji safi, tuna miti hata toothpick tunaagiza China. Juzi hapa waziri mkuu bila aibu anasema eti waholanzi wanakuja kutujengea maghala ya kuhifadhi mazao! Nyie endeleeni kubishana tuu humu JF.... ndio miafrika tulivyo kujikweza tuu mimi ni zaidi mimi ni zaidi ya wewe! WTF!
 
Tanzania kuna engineer? Hawa wa ku copy and paste?? Mpaka leo tunatumia jembe la mkono, hatuna maji safi, tuna miti hata toothpick tunaagiza China. Juzi hapa waziri mkuu bila aibu anasema eti waholanzi wanakuja kutujengea maghala ya kuhifadhi mazao! Nyie endeleeni kubishana tuu humu JF.... ndio miafrika tulivyo kujikweza tuu mimi ni zaidi mimi ni zaidi ya wewe! WTF!

Engineers wapo wengi na wana uwezo mkubwa , tatizo ni serikali ukiwemo na wewe kutothamini mchango wao lakini wanafanya vitu vikubwa sana

Kwa ushahidi Mdogo ,nenda Botswana uone wahandisi toka Tanzania wanavyofanya kazi kubwa na ya kuaminika pia kumbuka hatuwez kufanya kama serikali haijaweka pesa ya kutosha COSTECH
 
You are a disgrace to the entire field of Engineering.

I have learned from what you have written here,achieving the engineering tittle is your lifetime achievement. What a waste of space.

Wewe na kwenye field ya Engineering ni sawa na mshika dini "extremist", knows little but make most noise. Now Injinia stella manyanya makes sense, kama wafanyakazi walioko chini yake ndio watu wa sampuli hizi, acheni mkw*re aendelee kuitwa Dr.Dr.Dr Prof etc
At least unaonyesha ku concede kuwa katika field ya engineering waachie wanaume.
You dont know that you dont know, na arguments zako dhifi ya hii field haziko informed na hazina substance.

Wewe ni tosha kuwapigia debe wale waliokutuma kwa kile unachokifahamu tu.
Narudia tena , hii field waachie vichwa.
 
Wanafanya vitu vikubwa viko wapi? Ku copy? Nchi imejaa wachina, wa philipino, vietman. Wazalendo wako wapi au ndio wote wamekimbilia Botswana?

Engineers wapo wengi na wana uwezo mkubwa , tatizo ni serikali ukiwemo na wewe kutothamini mchango wao lakini wanafanya vitu vikubwa sana

Kwa ushahidi Mdogo ,nenda Botswana uone wahandisi toka Tanzania wanavyofanya kazi kubwa na ya kuaminika pia kumbuka hatuwez kufanya kama serikali haijaweka pesa ya kutosha COSTECH
 
Engineers wapo wengi na wana uwezo mkubwa , tatizo ni serikali ukiwemo na wewe kutothamini mchango wao lakini wanafanya vitu vikubwa sana

Kwa ushahidi Mdogo ,nenda Botswana uone wahandisi toka Tanzania wanavyofanya kazi kubwa na ya kuaminika pia kumbuka hatuwez kufanya kama serikali haijaweka pesa ya kutosha COSTECH

Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China imekubali kujenga Maghala saba kwa ajili ya Hifadhi ya Chakula chini ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula, NFRA.

Balozi wa CHINA nchini LU YOUFING ametoa kauli hiyo mbele ya Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika STEPHEN WASSIRA wakati Balozi huyo alipokagua ubora na njia zinazotumika za kuhifadhi Chakula katika maghala ya NFRA yaliyoko eneo la KIZOTA nje kidogo ya mji wa DODOMA.

Katika kukabiliana na aina hiyo ya Hifadhi ya Chakula isiyoridhisha, Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imekubaliana na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China ili kujengewa Maghala aina ya Sillos ambazo zitaweza kuhifadhi Mahindi yote yanayonunuliwa na kuhifadhiwa na NFRA kwa ajili ya Hifadhi ya Taifa,

Kwa upande wake, Balozi wa China nchini, LU YOUFING ameahidi kuwa mbali na kujenga maghala kwa ajili ya Hifadhi ya Chakula, nchi yake itatuma Wataalam ili kuangalia uwezekano wa kuanzisha Kilimo cha Mpunga unaostahili Ukame baada ya kupatikana aina hiyo ya Mbegu ili kuinua kiwango cha Usalama wa Chakula nchini.

Chanzo:TBC
 
Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China imekubali kujenga Maghala saba kwa ajili ya Hifadhi ya Chakula chini ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula, NFRA.

Balozi wa CHINA nchini LU YOUFING ametoa kauli hiyo mbele ya Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika STEPHEN WASSIRA wakati Balozi huyo alipokagua ubora na njia zinazotumika za kuhifadhi Chakula katika maghala ya NFRA yaliyoko eneo la KIZOTA nje kidogo ya mji wa DODOMA.

Katika kukabiliana na aina hiyo ya Hifadhi ya Chakula isiyoridhisha, Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imekubaliana na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China ili kujengewa Maghala aina ya Sillos ambazo zitaweza kuhifadhi Mahindi yote yanayonunuliwa na kuhifadhiwa na NFRA kwa ajili ya Hifadhi ya Taifa,

Kwa upande wake, Balozi wa China nchini, LU YOUFING ameahidi kuwa mbali na kujenga maghala kwa ajili ya Hifadhi ya Chakula, nchi yake itatuma Wataalam ili kuangalia uwezekano wa kuanzisha Kilimo cha Mpunga unaostahili Ukame baada ya kupatikana aina hiyo ya Mbegu ili kuinua kiwango cha Usalama wa Chakula nchini.

Chanzo:TBC
Tatizo la nchi za kiafrika ni rushwa na ufisadi tu kinachoangaliwa. Mambo mengi tu yanaweza kufanywa na professional wazalendo ila issue ni kwamba mzalendo atafanya kwa bei ya chini kiasi kwamba kile cha juu hakitakuwa cha kutosha! Project nyingi kwa nchi za afrika ni za serikali hivyo ili mzalendo upate tenda lazima utoe jasho wakikupenda sana wanakwambia weka bei mara mbili ila cha juu ni cha kwao halafu bado lazima utoe 20-30% tena kabla hata ya kulipwa!
Mazingira ya professionals kufanya vitu kwa afrika ni ngumu ingawa hawahawa ukienda ulaya na marekani ndo watu wanaotegemewa na makampuni ya kule. Nchi zetu siasa ndo professional nzuri kwani ukiwa mwanasiasa hata ukiwa na kijikampuni chako ni rahisi kupata tenda maana ni wenzako. Hivyo Engineers,wahasibu,wanasheria nak huingia kwenye siasa ili mambo yao yapite kwa urahisi.

Hivyo sio kweli kwamba Engineers wetu hawawezi kujenga maghara ila hawawezi kupewa hizo nafasi kwa sababu wanaotoa hiyo tenda nia yao siyo kujenga maghara ila ni kupitia huo mradi wapate hela yao. They don't care how those maghara will be built, what matters ni cha juu chao period!
 
You are a disgrace to the entire field of Engineering.

I have learned from what you have written here,achieving the engineering tittle is your lifetime achievement. What a waste of space.

Wewe na kwenye field ya Engineering ni sawa na mshika dini "extremist", knows little but make most noise. Now Injinia stella manyanya makes sense, kama wafanyakazi walioko chini yake ndio watu wa sampuli hizi, acheni mkw*re aendelee kuitwa Dr.Dr.Dr Prof etc

Kimweri
You are fighting the mindset! That is the mindset there. Forgive and forget!!
 
Back
Top Bottom