Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

Tunabishana weeee lakini mwisho wa siku tukijibu hoja za mwanzo za uzi, jibu lake ni kwamba mama Stella Manyanya ni Engineer halali kabisa! Ni Registered PE na amekula Oath( Affirmation kwa Waislam)!
 
Ina maaana,ni techncian tu!au

Ni Professional Engineer(PE)!
Hivyo jina lake linaandikwa hivi:-
1. Eng Stella Manyanya
2. Stella Manyanya PEng(T)

Huo ndo mwongozo kwa kila PE!
 
Ni Professional Engineer(PE)!
Hivyo jina lake linaandikwa hivi:-
1. Eng Stella Manyanya
2. Stella Manyanya PEng(T)

Huo ndo mwongozo kwa kila PE!
Eng Stella Manyanya, wa kunyumba, rest assured ma Eng tupo nyuma yake, no sambamba!
Ma penguin wasimbabsishe katika utekelrzaji wa majukumu yake.

Bravo Eng Stella.
 
hayo ni mawazo yako si mawazo ya wana mbinga magharibi . Hakuna anayekuzuia kuongea lakini ukweli utabaki kuwa huyo ndio mrithi wa capt. komba. Hao wengine akina shauri, Maluka , Mwisho wanamsindikiza tu safari yake ya kwenda bungeni dodoma. Wana nyasa hatutaki kumkabidhi mtu jimbo ambaye hata ofisi ya spika haijui .
Unajidanganya ndg yangu na pengine huzijui siasa za nyasa Manyanya kafanya nini katika kipindi chake cha ubunge wa viti maalum zaidi ya kuomba DED akakwae barabara za pale kihagara kwao? hata hile zahanati ya kihagara ni mkopo halmshauri ya mbinga ilikopa kwenye mfuko maalum TAMISEMI unaposema sifa ya manyanya kuwa mbunge wa nyasa ni kuijua ofisi ya spika hivi akili yako inafanya kazi sawasawa? subiri uone nakuhakikishia Manyanya akipitishwa na ccm CHADEMA inashinda asubuhi Manyanya hana ubavu wa kushindana na mgombea wa chadema na wanaccm wanalijua hilo subiri uone
 
Kama Si Eng. ni nani? mwalimu? Muhasibu, fundi mchundo au? na alisha wahi kuwa customers services Eng. pale Tanesco Kinondoni north ? Je hakuwa ana qualify?
 
Unajidanganya ndg yangu na pengine huzijui siasa za nyasa Manyanya kafanya nini katika kipindi chake cha ubunge wa viti maalum zaidi ya kuomba DED akakwae barabara za pale kihagara kwao? hata hile zahanati ya kihagara ni mkopo halmshauri ya mbinga ilikopa kwenye mfuko maalum TAMISEMI unaposema sifa ya manyanya kuwa mbunge wa nyasa ni kuijua ofisi ya spika hivi akili yako inafanya kazi sawasawa? subiri uone nakuhakikishia Manyanya akipitishwa na ccm CHADEMA inashinda asubuhi Manyanya hana ubavu wa kushindana na mgombea wa chadema na wanaccm wanalijua hilo subiri uone

unajidanganya sana mkuu, eng . atapita kwenye kura za maoni na chadema hawana ubavu wa kubeba jimbo hilo kwa mwaka huu . Hamna mwanasiasa wa level ya manyanya pale nyasa. Manyanya ni mwanasiasa wa level ya juu ya kitaifa .
 
unajidanganya sana mkuu, eng . atapita kwenye kura za maoni na chadema hawana ubavu wa kubeba jimbo hilo kwa mwaka huu . Hamna mwanasiasa wa level ya manyanya pale nyasa. Manyanya ni mwanasiasa wa level ya juu ya kitaifa .
Nijibu kuhusu alilolifanya Manyanya Nyasa kipindi cha ubunge wake wa viti maalumu, kama ulihudhuria sherehe za miaka 38 ya ccm aliulizwa na wananawake kwa nini kawa mbinafsi ?hapokei simu zao na wala hajibu sms zao na hata wakimshirikisha shughuli zao za kichama haonekani wala kutoa feedback kisa ukuu wa mkoa wamemuambia akaendelee na ukuu wa mkoa na viti maalumu safari hii wamatengo wamesema ni lazima wapewe wao hivyo mgombea wa ccm nyasa atakuwa mwanaume mwenye sifa....kuhusu hao wagombea uliowataja toka ccm Oddo Mwisho hana sifa ya kuwa mbunge, kwa sababu amefeli mengi akiwa mwenyekiti wa halmashauri ya mbinga na kisa nyasa ni mtu aliyewekwa hapo alipo kwa fedha za lowassa kupitia marehemu kwa sababu kabla ya hapo alikuwa ni katibu tu wa mbunge Komba na kwa taarifa yako Mwisho hata udiwani wa chiwanda anajua hataupata na ndio maana anakwenda kugombea kata ya Masumuni mbinga yaliko makazi yake, Allex Shauri alishamaliza nguvu 2010 na hakurudi tena hadi baada ya kifo cha Komba, Maluka angefaa na anazo sifa lakini haijui mifumo ya ccm vizuri nikuambie Nyasa mwaka huu inaenda upinzani Mark my word ndugu
 
Nijibu kuhusu alilolifanya Manyanya Nyasa kipindi cha ubunge wake wa viti maalumu, kama ulihudhuria sherehe za miaka 38 ya ccm aliulizwa na wananawake kwa nini kawa mbinafsi ?hapokei simu zao na wala hajibu sms zao na hata wakimshirikisha shughuli zao za kichama haonekani wala kutoa feedback kisa ukuu wa mkoa wamemuambia akaendelee na ukuu wa mkoa na viti maalumu safari hii wamatengo wamesema ni lazima wapewe wao hivyo mgombea wa ccm nyasa atakuwa mwanaume mwenye sifa....kuhusu hao wagombea uliowataja toka ccm Oddo Mwisho hana sifa ya kuwa mbunge, kwa sababu amefeli mengi akiwa mwenyekiti wa halmashauri ya mbinga na kisa nyasa ni mtu aliyewekwa hapo alipo kwa fedha za lowassa kupitia marehemu kwa sababu kabla ya hapo alikuwa ni katibu tu wa mbunge Komba na kwa taarifa yako Mwisho hata udiwani wa chiwanda anajua hataupata na ndio maana anakwenda kugombea kata ya Masumuni mbinga yaliko makazi yake, Allex Shauri alishamaliza nguvu 2010 na hakurudi tena hadi baada ya kifo cha Komba, Maluka angefaa na anazo sifa lakini haijui mifumo ya ccm vizuri nikuambie Nyasa mwaka huu inaenda upinzani Mark my word ndugu

Hamna kitu kama hicho hilo jimbo haliwezi kwenda upinzani nakuhakikishia 100% upinzani bado sana nyasa isipokuwa kuna baadhi tu ya maeneo tena machache sana. Maeneo yote ya tarafa ya mpepo chadema hawapo kabisa kuanzia liparamba, luhangarasi kingerikiti na tingi . huko chadema waliwahi pata kuwa na mwenyekiti wa kingerikiti lakini mwaka jana wamekabidhi ccm. Mark my word manyanya ndio mrithi wa komba oktoba sio mbali. Hakuna mwenye sifa ya kupambana na manyanya kule nyasa , hao wanawake unaosema walikuwa wanalalamika ni njaa tu pengine na yy alikuwa anawapuuza alishajua hagombei tena viti maalum labda alishajipanga kuingia kwenye jimbo ndio maana akaona hao hawana manufaa kwake akawa anawapotezea . Maluka bado siasa za ccm hazijui afadhari angeingilia mlango wa chadema kidogo angeleta changamoto lakini si mlango huo wa ccm alioingilia atapoteza fedha zake bure kama shauri 2010 akaishia kuwa na madeni kibao. Halafu suala la kusema kafanya nini nyasa yeye hakuwa mbunge wa nyasa alikuwa mbunge wa mkoa (viti maalum) na wala fedha za mfuko wa jimbo ambazo zina gear up maendeleo hakabidhiwi yeye anakabidhiwa mbunge wa jimbo sasa wewe ulitaka atumie fedha za mshahara wake kuhudumia jimbo ambalo lilikuwa na mbunge tayari john komba . Mbunge hatumii fedha zake kuhudumia jimbo
 
Hamna kitu kama hicho hilo jimbo haliwezi kwenda upinzani nakuhakikishia 100% upinzani bado sana nyasa isipokuwa kuna baadhi tu ya maeneo tena machache sana. Maeneo yote ya tarafa ya mpepo chadema hawapo kabisa kuanzia liparamba, luhangarasi kingerikiti na tingi . huko chadema waliwahi pata kuwa na mwenyekiti wa kingerikiti lakini mwaka jana wamekabidhi ccm. Mark my word manyanya ndio mrithi wa komba oktoba sio mbali. Hakuna mwenye sifa ya kupambana na manyanya kule nyasa , hao wanawake unaosema walikuwa wanalalamika ni njaa tu pengine na yy alikuwa anawapuuza alishajua hagombei tena viti maalum labda alishajipanga kuingia kwenye jimbo ndio maana akaona hao hawana manufaa kwake akawa anawapotezea . Maluka bado siasa za ccm hazijui afadhari angeingilia mlango wa chadema kidogo angeleta changamoto lakini si mlango huo wa ccm alioingilia atapoteza fedha zake bure kama shauri 2010 akaishia kuwa na madeni kibao. Halafu suala la kusema kafanya nini nyasa yeye hakuwa mbunge wa nyasa alikuwa mbunge wa mkoa (viti maalum) na wala fedha za mfuko wa jimbo ambazo zina gear up maendeleo hakabidhiwi yeye anakabidhiwa mbunge wa jimbo sasa wewe ulitaka atumie fedha za mshahara wake kuhudumia jimbo ambalo lilikuwa na mbunge tayari john komba . Mbunge hatumii fedha zake kuhudumia jimbo
Aisee kijana unapotoka na unaleta hoja za kihalisia kazi ya mbunge sio kutoa fedha kazi yake ni kuhakikisha fedha zinazotelewa na serikali zinafanya kazi iliyokusudiwa aangalie kaba mpango wa bajeti wa halmashauri unaendana na vipaumbele vya halmashauri zana awepo kwenye vikao vya maamuzikwa ratiba kama hutaki basi ni tatizo lako kuhusu upinzani nyasa usijidanganye na matokeo ya December usiyafanyie conclusion kwenye tathmini ya kisiasa nyasa angalia uwingi wa wapiga kura katika maeneo chadema wameshinda na angalia pia margin ya ushindi wa ccm kwenye maeneo waliyo shinda kasha jumlisha idadi ya kura zote za ccm na chadema kasha ufanye hitimisho ni kweli milimani chadema hawakuelekeza nguvu kubwa lakini ukumbuke kutokana na mapingamizi chadema ilisimamisha wagombea wane tu katika vijiji vya Tingi, Liparamba, Ukuli na Kingerikiti. Hapo Kingerikiti unapopasema Chadema Imepata vitongoji 2 na Ukuli kitongoji 1. Hivi kwa akili yako chadema wangeweka wagombea Dar pori na vijiji vya Liparamba ukiondoa kijiji cha Ndondo wangekosa? kuhusu Manyanya subiri Oktoba nakuambia hata ndani ya chama hapiti jaribu kuzungumza na wanaccm wa huko nakuambia kwa sababu Manyanya ni Binamu yangu wa damu
 
Aisee kijana unapotoka na unaleta hoja za kihalisia kazi ya mbunge sio kutoa fedha kazi yake ni kuhakikisha fedha zinazotelewa na serikali zinafanya kazi iliyokusudiwa aangalie kaba mpango wa bajeti wa halmashauri unaendana na vipaumbele vya halmashauri zana awepo kwenye vikao vya maamuzikwa ratiba kama hutaki basi ni tatizo lako kuhusu upinzani nyasa usijidanganye na matokeo ya December usiyafanyie conclusion kwenye tathmini ya kisiasa nyasa angalia uwingi wa wapiga kura katika maeneo chadema wameshinda na angalia pia margin ya ushindi wa ccm kwenye maeneo waliyo shinda kasha jumlisha idadi ya kura zote za ccm na chadema kasha ufanye hitimisho ni kweli milimani chadema hawakuelekeza nguvu kubwa lakini ukumbuke kutokana na mapingamizi chadema ilisimamisha wagombea wane tu katika vijiji vya Tingi, Liparamba, Ukuli na Kingerikiti. Hapo Kingerikiti unapopasema Chadema Imepata vitongoji 2 na Ukuli kitongoji 1. Hivi kwa akili yako chadema wangeweka wagombea Dar pori na vijiji vya Liparamba ukiondoa kijiji cha Ndondo wangekosa? kuhusu Manyanya subiri Oktoba nakuambia hata ndani ya chama hapiti jaribu kuzungumza na wanaccm wa huko nakuambia kwa sababu Manyanya ni Binamu yangu wa damu

mkuu kura za maoni julai si mbali, na uchaguzi mkuu oktoba si mbali ila mark my word . Kwa kuanzia tu na ujumbe wa NEC ambapo uchaguzi wake utafanyika si muda mrefu ili kuziba nafasi hiyo ya komba utaona majibu yake halide nitakuuliza . Hao wana ccm wanaosema hawamtaki ni waongo njaa tu zinawasumbua, kama kudondoka angedondoka 2010 viti maalum malalamiko yalikuwa hayo hayo lakini akawa mshindi wa kwanza kati ya wagombea 16. wanaccm wanafiki sana , wanasema huyu hawamtaki halafu utashangaa anapita . Hata huyu Lowasa wanaesema hawamtaki utashangaa anapita .
 
Kama Si Eng. ni nani? mwalimu? Muhasibu, fundi mchundo au? na alisha wahi kuwa customers services Eng. pale Tanesco Kinondoni north ? Je hakuwa ana qualify?

Ilishajibiwa humu kuwa Mama Stella Manyanya ni Engineer registered. Achana na porojo za makusudi za watu humu wanaorefusha uzi kwa jambo ambalo liko clear kabisa!

Ama hayo yanayohusu siasa na madaraka yake nawaachia. Lakini kuhusu professionalism, mama ni Eng. Stella Manyanya, full stop!
 
jf tulipata kuwa na member akiitwa Fundi Mchundo. huyu angeweza kutueleza
ukweli juu ya uinjinia wa mh. manyanya

Tulipata? Mimi bado ni mwanachama, sijajiengua bado.
Tafsiri ya Fundi Mchundo ni Technician. Nadhari kilichokuwa kikidaiwa ni kuwa huyu mama ni Technician na sio Engineer.

Amandla.......
 
Tulipata? Mimi bado ni mwanachama, sijajiengua bado.
Tafsiri ya Fundi Mchundo ni Technician. Nadhari kilichokuwa kikidaiwa ni kuwa huyu mama ni Technician na sio Engineer.

Amandla.......

dah! kiongozi chimbo ulilojificha ni kali maana kimyaa. umepotea kama game theory hahahaha
nashukuru kama bado upo jf
 
dah! kiongozi chimbo ulilojificha ni kali maana kimyaa. umepotea kama game theory hahahaha
nashukuru kama bado upo jf

Hili Jukwaa la siku hizi siliwezi. Naona heri nibaki mtazamaji tu na kuchangia mara moja moja. Lugha zinazotumika mara nyingi zinapitiliza na kugeuza mijadala kuwa vita vya hadi afe mtu. Sisi watu wazima hayo hatuyawezi.

Amandla.....
 
Hili Jukwaa la siku hizi siliwezi. Naona heri nibaki mtazamaji tu na kuchangia mara moja moja. Lugha zinazotumika mara nyingi zinapitiliza na kugeuza mijadala kuwa vita vya hadi afe mtu. Sisi watu wazima hayo hatuyawezi.

Amandla.....

kwa hilo tupo pamoja sana. lakini ndio damu mpya hizo kwani bado zinachemka na zinataka kwenda kwa kasi.
hivyo basi mara nyingine jazba inatawala. hata hivyo mara nyingine malengo yanafikiwa.
 
Babu nadhani umevamia mada bila kujua ni nini hasa kinachojadiliwa,hujasema lolote zaidi ya kujitangaza ni engineer, for my side wakati nachukua my first degree pale mlimani B.sc in electro-mechanical engineering vilaza wengi walikua na tabia ya kuji advertise kila mahali anataka aitwe mhandisi,mhandisi wa kweli lazima uwe umefanya vitu vinavyo onekana angalia europe tofauti na sisi watanzania tunafikiri ukisha graduate basi ni mhandisi.umenisoma, i think your thinking ability is very low.

Tupatie project yako au ume patent kitu gani tuone akili yako iko vipi?
 
Back
Top Bottom