Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

Mhandisi/Mwanasiasa Stella Manyanya

tuacheni izo publications alizo fanya nizakihandisi kwli? mbona tunachekeshana wakati watu tunataka tuwe siriasi ili tukomboe nchi. anaujuzi gani wa ujasiriamali hadi kupublish paper ya ujasiriamali? au ametuandikia aliyokuwa akiandika kwenye magazeti sehemu ya barua za wasomaji? kama ni hivyo wakina kubenea na MMK wanaweza jaza server nzima ya jf kwa kulist mambo waliyoandika. sometimes jf inanifanya niwe na hasira!! ngoja niende kwenye jokes na MMU

Hizo siyo publication ila ni barua za wasomaji........... mbona nimetafuta hata moja kwenye maktaba za vyou sijaonaaaa?? ngoja nikalale maana inanichefua sana kuwa na Kihiyo kama huyu Graduate Technician Engineer aka Fundi Mchundo
 
Makubwa:

Publications 40, lakini mbona zimekuwa pasted mara nne. Tatizo ni nini hasa? au anataka aonekane ame chambisha sana hizo articles.

This must be shakula ya mikubwa.
 
Ukui wa mkoa unamwanhamiza manyanya, yupo tayari kufanywa na kifanya lolote atakaloambiwa.

Ni vema kujadili jambo kwa mtazamo uliodhahiri na sio kutumia hisia na jazba za ushabiki.

Manyanya ameikosea jamii kwa kutoa kauli za hovyo ndani ya Bunge na mbele ya wananchi wa Tanzania kwa kumuhukumu Dr. Ulimboka kuwa ni Hitler wakati hakuliangalia hilo jambo kwa urefu na mapana yake. Kwa tukio hilo Manyanya amefanya kosa la kuhukumu wenzie kwa masilahi yake binafsi na chama chake cha Nyinyiem!

Tukija kwenye suala la CV yake, hilo nitalieleza ifuatavyo:

Katika mfumo wetu wa elimu tunaweza kupata wahandisi kwa njia mbili, moja ni kupitia Form4, Form6, BSc. Engg. Na njia ya pili ni Form4, FTC, Adv.Diploma.

Wote waliomaliza kozi zao ktk mfumo huo wanaitwa wahandisi kwa mujibu wa sheria ya ERB ya 1997 na mabadiliko madogo yaliyofanyika mwaka 2007. Ndani ya hiyo kuna madaraja ya wahandisi ikianza na wahandisi wahitimu mpaka wahandisi washauri. Kwa ujumla wake wote ni wahandisi.
 
engineer lazima uwe registered na ERB vp,Manyanya kasajiliwa mpaka anajiita Engineer?
Du I now know why she had to speak what she spoke about Dr Ulimboka. She has adopted a title she didn't earn in school. Advance diploma taken foe five years is quite astonishing...any way She will remain Findi mchundo with advance diploma to me
 
Mimi nadhani Fundi mchundo ni yule mwenye Full Technician Certificate peke yake, huyu naona ana Advanced Diploma In Electrical Engineering kwa maana hiyo ni Engineer huyu!.

Jamani kwanini watanzania ni malimbukeni? Kupenda sana kutumia title za taaluma hata pasipo na umuhimu. Kukitokea mbunge rubani naye atajiita Pilot fulani.
 
Maji Marefu mbona hatumii title yake ya uganga wa kichawi?
 
That why we are not developing anymore bse our leaders fail to be 'objective' alwys their mind and judgmental is purely 'subjective'
 
Publications hizo ndio balaa!!!!!!!!!!!!!!!! Yaani ameweka hata 'vi-makala ambavyo alivituma kwenye magazeti'! Hii kali.wenzie wanadeal na publications seriously kwenye journals.hapa tumedanganywa. Ina maana kila anayepeleka makala gazetini na ikatoka ndio aweke kwenye cv yake eti amefanya publication! Ni prof. Or dr gani amepitia kazi hiyo kupima viwango vya kitaaluma? Kazi kweli kweli.
 
Mimi natamani wale ma-engineer wa kweli wangelaani mtu kujibambikiza cheo na kuitwa Engineer wakati ni mbumbumbu mzungu wa reli. watu wanapenda title wakati umande waliukimbia. She is a disgrace to all engineers! Alivyokuwa anaongea alinitia kichefuchefu. Sasa naelewa kwa nini hata ile tume ya richmond ilikuwa imepinda!
 
Kama sikosei alisema huku rukwa wafanyakazi wanaletwa kama tumeharibu sehemu zingine ndo maana hakuna utendaji mzuri wa kazi.she too belong to those enneficiency proffessional who who are posted in the same region for the same reason.Being RC IS A LEADER OF INNEFFICIENCY workers
 
Naona ndo amekula kiapo cha uhandisi sasa hivi. Kwqa hiyo kishasajiliwa kwa wale waliokuwa na maswali. I think miaka mitatu ya DIT na postgraduate diploma ya UD ana qualify kuwa engineer.
 
Mtoa mada Post Graduate unyoimaanisha ni post graduate ya somo/fani ipi?
Maana hata wewe huelekei kujua.
 
Sasa hiyo title ni ceremonial au ya kuifanya hiyo kazi?
 
Mnamjadili mtu wakati yake yanaenda nyie mnabaki na vikao jadilini maendeleo yako na familia yako na sio ya mtu au watu, mwisho siku zinaenda unabaki vivyo hivyo. Fikiria maendeleo yako na sio ya mwenzako. Awe injinia au sio injinia wewe itakusaidia nn au yeye atakusaidia nini tuache masufuria na majungu fanyeni yenu nae afanye yake
 
Back
Top Bottom