Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
Mimi nafundisha pale chuoni asilimia kubwa ya wanafunzi hawajui kuoga, nafundisha masomo ya kuigiza pale mwanafunzi utakuta ananuka mpaka aibu.
Dkt. Shule alishawahi kuwatetea mabinti vyuoni wanaoombwa rushwa ya ngono na wahadhiri Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Soma
Mhadhiri Vicensia Shule: Rushwa ya Ngono inatawala Chuo Kikuu DSM
Mhadhiri aliyeandika ujumbe wa wazi kwa Rais Magufuli ahojiwa na Kamati ya Maadili UDSM
Soma
Mhadhiri Vicensia Shule: Rushwa ya Ngono inatawala Chuo Kikuu DSM
Mhadhiri aliyeandika ujumbe wa wazi kwa Rais Magufuli ahojiwa na Kamati ya Maadili UDSM