Kweli mambo mengine ni aibu vijana mjipende kijana unakosaje perfume hata ya buku 5...Hii ndo kauli aliyoitoa Dr. Vicensia Shule, mhadhiri wa Chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM)View attachment 1184019
Mhadhiri haja specify.... Labda ni wote!!Kweli mambo mengine ni aibu vijana mjipende kijana unakosaje perfume hata ya buku 5...
Ujana uja Mara moja tu jamani.
Hahahahaha....!! Tatizo ni kuoga au kupulizia perfume?Kweli mambo mengine ni aibu vijana mjipende kijana unakosaje perfume hata ya buku 5...
Ujana uja Mara moja tu jamani.
Kuoga wanaoga tatizo ni vikwapa hapo kama beberuHahahahaha....!! Tatizo ni kuoga au kupulizia perfume?
Luis Vuittonsasa kama wametoka jalalani alitegemea nini?
alitaka wanukie Dolce & Gabbana ........
Ke hao, na hawatokua watoto wa pwaniHawa ni KE au ME? Au wote?
Ukioga, yaani ukatumia sabuni na kujisugua kwa dodoki kwapa haliwezi nuka, hapo ni nyapu na wachambia karatasi ndio wamemkwaza mkufunziKuoga wanaoga tatizi ni vikwapa hapo km beberu
wanajua kuoga na usafi kwa ujumlaWatoto wa pwani kwani wakoje?
wanajua kuoga na usafi kwa ujumla