Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,858
- 7,846
Hahahahaha.....!! Nadhani mtu akiwa amanuka huitaji kumnusa kujua kuwa ananuka!!Prof anawanusa wanafunzi ?
Hahahahaha.....!! Nadhani mtu akiwa amanuka huitaji kumnusa kujua kuwa ananuka!!Prof anawanusa wanafunzi ?
HUYUUU MDADA AJUI KUPINDAAA AISEEEMimi nafundisha pale chuoni asilimia kubwa ya wanafunzi hawajui kuoga, nafundisha masomo ya kuigiza pale mwanafunzi utakuta ananuka mpaka aibu.
Dkt. Shule alishawahi kuwatetea mabinti vyuoni wanaoombwa rushwa ya ngono na wahadhiri Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Soma
Mhadhiri Vicensia Shule: Rushwa ya Ngono inatawala Chuo Kikuu DSM
Mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) ameandika katika ukurasa wake wa twitter kuhusu kukithiri kwa rushwa ya ngono chuoni hapo Baba @MagufuliJP umeingia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kufungua maktaba ya kisasa. Rushwa ya ngono imekithiri mno UDSM. Nilitamani nikupokee kwa bango langu...www.jamiiforums.com
Dr. Vicensia Shule, Mhadhiri aliyeandika ujumbe wa wazi kwa Rais Magufuli ahojiwa na Kamati ya Maadili UDSM
Hapa Pia Kuna Ukweli MkuuNi mala chache sana wanaopatwa na mikasa hiyo kuwa ni wasichana wenye akili na wanaojituma. Wengi wa wahanga ni wale wenye kupenda vya mtelezo na kujirusha sanaaaaaaa huku wakisubili busara za lecturers ziwaokoe. Wengi wao huwa wamefeli na hujipeleka wenyewe kulia lia...www.jamiiforums.com
Ndiyo huyo pichani? Mbona naye anaonekana kama hajui kuoga vile!Mimi nafundisha pale chuoni asilimia kubwa ya wanafunzi hawajui kuoga, nafundisha masomo ya kuigiza pale mwanafunzi utakuta ananuka mpaka aibu.
Dkt. Shule alishawahi kuwatetea mabinti vyuoni wanaoombwa rushwa ya ngono na wahadhiri Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Soma
Mhadhiri Vicensia Shule: Rushwa ya Ngono inatawala Chuo Kikuu DSM
Mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) ameandika katika ukurasa wake wa twitter kuhusu kukithiri kwa rushwa ya ngono chuoni hapo Baba @MagufuliJP umeingia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kufungua maktaba ya kisasa. Rushwa ya ngono imekithiri mno UDSM. Nilitamani nikupokee kwa bango langu...www.jamiiforums.com
Dr. Vicensia Shule, Mhadhiri aliyeandika ujumbe wa wazi kwa Rais Magufuli ahojiwa na Kamati ya Maadili UDSM
Hapa Pia Kuna Ukweli MkuuNi mala chache sana wanaopatwa na mikasa hiyo kuwa ni wasichana wenye akili na wanaojituma. Wengi wa wahanga ni wale wenye kupenda vya mtelezo na kujirusha sanaaaaaaa huku wakisubili busara za lecturers ziwaokoe. Wengi wao huwa wamefeli na hujipeleka wenyewe kulia lia...www.jamiiforums.com
Kwa nature ya masomo anayofundisha, Daktari ana nafasi kubwa zaidi ya kuwa anawafanyia namna kama ya counselling pindi anapokumbana nao wakiwa katika hali hiyo, kama kweli ipo, badala ya kusambaza taarifa hizi kwenye mitandao ya jamii. Yeye kama mlezi wao, kama anakuwa mkweli kiasi hiki kwenye mitandao, inabidi awe mkweli na kwao pia, na awashauri kwa hilo. Akumbuke pia kuwa hawa nao ni watoto wake sawa tu na wale ambao huwa anawaacha nyumbani asubuhi anapotoka kwenda kaziniMimi nafundisha pale chuoni asilimia kubwa ya wanafunzi hawajui kuoga, nafundisha masomo ya kuigiza pale mwanafunzi utakuta ananuka mpaka aibu.
Dkt. Shule alishawahi kuwatetea mabinti vyuoni wanaoombwa rushwa ya ngono na wahadhiri Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Soma
Mhadhiri Vicensia Shule: Rushwa ya Ngono inatawala Chuo Kikuu DSM
Mhadhiri aliyeandika ujumbe wa wazi kwa Rais Magufuli ahojiwa na Kamati ya Maadili UDSM
Ndiyo huyo pichani? Mbona naye anaonekana kama hajui kuoga vile!
ChangaluchaNdiyo huyo pichani? Mbona naye anaonekana kama hajui kuoga vile!
Tena Kama unakaa Hall 3... Utembee kwa mguu Hadi huko Fine and performing arts...anakofundisha huyo mwalimu..ukichanga na joto na jasho.. lazima harufu ikutoke hata Kama umeogaSiyo kujua kuoga. Ukweli ni kwamba wanafunzi wanatembea umbali mrefu juani. Wakifika chuo wanakuwa wananuka jasho. Yeye anayesema hayo ana gari. Analipaki chini ya mti na kuingia darasani.
Daa!! Inabidi sasa kabla ya kuingia lecture rooms kuwe na assembly ya kukaguliwa usafi: kucha, meno, kusuguliwa shingoni juu ya mabega kwa kidole gumba kama umeoga, na bendi ya ngoma kwa pembeni- Tii!! chachaa tii chaa tii chachaa tii chachaa (enzi hizo bwanaa!! raha tupu)Mimi nafundisha pale chuoni asilimia kubwa ya wanafunzi hawajui kuoga, nafundisha masomo ya kuigiza pale mwanafunzi utakuta ananuka mpaka aibu.
Dkt. Shule alishawahi kuwatetea mabinti vyuoni wanaoombwa rushwa ya ngono na wahadhiri Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Soma
Mhadhiri Vicensia Shule: Rushwa ya Ngono inatawala Chuo Kikuu DSM
Mhadhiri aliyeandika ujumbe wa wazi kwa Rais Magufuli ahojiwa na Kamati ya Maadili UDSM
Hajamaanisha kulamba kwa mdomo, anamaanisha kugonga!Hakikisha wanasafisha kabla....Epuka midonda ya koo