Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Mbunge wa kigoma kaskazini zito kabwe kesho december 11 atakuwa kanisa Anglican (mt Nikolai) ilala katika sherehe za siku ya mavuno ibadani hapo wote mnakaribishwa kumuunga mkono kamanda wetu , source tangazo kanisani na Clouds fm!