Inaelekea kuna watu hawajui hata maana ya mavuno lakini ndiyo wa kwanza kuanza kujadili. Mgeni rasmi anaweza kuwa mwanasiasa/waziri/mbunge, mfanyabiashara nk bila kujali dini yake. Hi watanzania wamekuaje mpaka kila kitu lazima wakitazame kwa miwani ya udini?
Mavuno yanahitaji mtu wa kuhamasisha, ndo maana wakamuita kamanda. Angeitwa mtu kama Wassira angeshusha morali ya waumini, na hakuna ambacho kingepatikana
Mavuno yanahitaji mtu wa kuhamasisha, ndo maana wakamuita kamanda. Angeitwa mtu kama Wassira angeshusha morali ya waumini, na hakuna ambacho kingepatikana