Mh. Zitto Kabwe mgeni Rasmi siku ya mavuno kanisa katoliki Ilala

ANGALIZO:
Ni kanisa la Anglican la Mt. Nikolai na Mashahidi wa Afrika, Ilala, ambako Zitto atakuwa Mgeni rasmi na SIO ktk kanisa la Roman Catholic.
 
Inaelekea kuna watu hawajui hata maana ya mavuno lakini ndiyo wa kwanza kuanza kujadili. Mgeni rasmi anaweza kuwa mwanasiasa/waziri/mbunge, mfanyabiashara nk bila kujali dini yake. Hi watanzania wamekuaje mpaka kila kitu lazima wakitazame kwa miwani ya udini?

Wapi orijini yako mkubwa??
 
Jabulani umenichekesha! Wasira angeweza kusinzia kabisa wakati zoezi linaendelea.

Mavuno yanahitaji mtu wa kuhamasisha, ndo maana wakamuita kamanda. Angeitwa mtu kama Wassira angeshusha morali ya waumini, na hakuna ambacho kingepatikana
 
Mbwa akimng'ata mtu it doesnt make a headline bt mtu anapomng'ata mbwa it wil make headline.
 
Pinde si pundd tutakuwa kama Kenya. Kenya kiongozi wa kisiasa akienda kanisani anapewa nafasi ya kutoa neno, neno lenyewe huwa la kisiasa! Karibia tutasikia matamko toka makanisani!
 
Ninasikitika sana kwamba JF sasa imejaa wapumbavu wa kila namna, naomba wana JF mfahamu hili ni kwamba hawa watu ambao huwa wanaalika wanasiasa kwenye matukio yao ni kwamba wanahitaji wapate pesa nyingi kutokana na umaarufu wa yule mwanasiasa wanaemualika kwenye shughuli yao na si vinginevyo.
Zitto hana sifa ya kuwa mgombea urais kwa chama chochote kile kwa katiba ya sasa kwani mpaka mwaka 2015 atakuwa hajafikisha miaka 40. pls naomba tutumie ubongo kufikiri na sio vijambio.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom