Mh Waziri Mkuu na viatu vya kulalia

Mh Waziri Mkuu na viatu vya kulalia

yaani utadhani JOSHO LA KITAIFA
Kumbe madaraka mazuri aisee maana hata ng'ombe wa waziri mkuu naye ni waziri mkuu wa ng'ombe wengine.
Hebu angalia ng'ombe wanaishi kwenye nyumba ya bati wakati hapa kijijini kwetu ni kama robo ya wakazi tu wenye nyumba za bati!
 
Mzee pinda ni mmoja kati ya viongozi ambao wana uwezo mkubwa wa kusikiliza na kuelewa maoni ya watu.
 
Huyu ameacha viwanda vya sukari vinakufa wakulima wa miwa watakosa pa kuuza, kaondoka na ten percent ya sukari inayoingizwa nchini bila kodi. Kibongo bongo hata akiendelea kulala hela atapata
 
mi nataka kujua nani kamuuzi? mbona kakunja sura?
 
Mzee pinda ni mmoja kati ya viongozi ambao wana uwezo mkubwa wa kusikiliza na kuelewa maoni ya watu.
Kwa uelewa na usikivu wake huo huo ndio maana aliamuru wapigwe tuu maana kachoka.
 
Kumbe madaraka mazuri aisee maana hata ng'ombe wa waziri mkuu naye ni waziri mkuu wa ng'ombe wengine.
Hebu angalia ng'ombe wanaishi kwenye nyumba ya bati wakati hapa kijijini kwetu ni kama robo ya wakazi tu wenye nyumba za bati!

nasikia hata mbwa wa kawaida wakiwaona wale wa polisi hujisemea daaah huu umeshakua msala,, hawa mamwela wamenikuta hapa leo!!
 
Kumbe madaraka mazuri aisee maana hata ng'ombe wa waziri mkuu naye ni waziri mkuu wa ng'ombe wengine.
Hebu angalia ng'ombe wanaishi kwenye nyumba ya bati wakati hapa kijijini kwetu ni kama robo ya wakazi tu wenye nyumba za bati!

Ha ha ha
 
Back
Top Bottom