Mh Waziri Mkuu na viatu vya kulalia

Mh Waziri Mkuu na viatu vya kulalia

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,268
11796254_1651814668396300_5264729486741121391_n.jpg
 
nmeipenda sana hii ila anaonekana aiacha uwaziri sijui atakuaje
 
Mtoto wa mkulima akiwa amepumzika kwenye mabanda ya mifugo.
 
Siasa zenyewe za maudhi kama saga la Dr. Slaa na chadema, bora mzer wa watu wewe jipumzikie tu

Kula zako pensheni achana na misuguano ya siasa! Saafi sana pembeni maji, mkononi kula novo! unarelax swafiiiiii
 
tunategemea waziri mkuu afanye maamuzi magumu yeye yuko huku n ng\ombe zake
Siasa zenyewe za maudhi kama saga la Dr. Slaa na chadema, bora mzer wa watu wewe jipumzikie tu

Kula zako pensheni achana na misuguano ya siasa! Saafi sana pembeni maji, mkononi kula novo! unarelax swafiiiiii
 
Sioni cha kushangaza pale,so long as he has peace of mind hakuna shida,kwa uchumi wa ki-Tanzania picha inamuonyesha akiwa katika hali inayofanana na uchumi wa nchi yake.
hakuna cha kushangaza
 
Kumbe madaraka mazuri aisee maana hata ng'ombe wa waziri mkuu naye ni waziri mkuu wa ng'ombe wengine.
Hebu angalia ng'ombe wanaishi kwenye nyumba ya bati wakati hapa kijijini kwetu ni kama robo ya wakazi tu wenye nyumba za bati!
 
Kama nyumba zenu hazina bati miaka 53 ya uhuru,sijui munataka tuwasaidie vipi.Ushauri......... tafuteni nyumba zenye bati muhamie huko.
 
Back
Top Bottom