mapipando
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,922
- 3,564
Sijui nae atachangia!ana peruz jamii forum hapo atajiona tu kwa leo
Sijui nae atachangia!ana peruz jamii forum hapo atajiona tu kwa leo
Kiingereza mkuu!Shikamoo kingereza
Yamekufanyaje bidada?haya maisha bana....
haya maisha bana....
Mtoto wa mkulima.
Nimeipenda
Sioni cha kushangaza pale,so long as he has peace of mind hakuna shida,kwa uchumi wa ki-Tanzania picha inamuonyesha akiwa katika hali inayofanana na uchumi wa nchi yake.
maisha yamefanyeje?
Ulitaka umuone kapiga picha akiwa uswis au china?
Yamekufanyaje bidada?