Mh Waziri Mkuu na viatu vya kulalia

Mh Waziri Mkuu na viatu vya kulalia

Mkuu viatu vya kulalia ndo viatu gani? Mwacheni mtoto wa mkulima ajipumzikie
ina maana huvioni mkuu? saa ya kupumzika bado sema hapo amelazimisha kujipoza tu........
 
viatu vya kulali ni kama tunavyovaa wakati wa kulala period
 
natafakari tu baada ya siasa huyu mzee anarudi uraiani kama siye tu....mbwembwe zote kwishney..japokua wakiwaga kwenye nafasi zao wanajiona mungu mtu
Mwache na yeye aje apigwe tu maana tushachoka kila siku tupigwe sie tu.
 
Hupaswi kukubali kirahisi mkuu,hapa hapigwi mtu wala goli la mkono.
Watapiga mbizi wenyewe nchi kavu tena paleeeee mtaa Lumumba.
nilisahau kumbe kuna ngangari ndani ya UKAWA
 
Back
Top Bottom