idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,306
wakuu nipo makambako kwa dakika kadhaa kabla ya kuendelea na safari yangu kurudi tunduma.kumbe leo makamanda wapo hapa, mji mdogo wa makambako umechafuka bendera za chadema ni kama ccm haipo..naona sasa wenyeviti pamoja na viongozi mbalimbali wa matawi wanatambulishwa kwa wananchi kabla kikosi cha anga hakijafika kushambulia. Naambiwa muda sio mrefu watafika.!