Mh Rais unachoniboa ni kujilimbikizia madaraka tuu

DOMBWELA

JF-Expert Member
Jan 18, 2014
757
842
Mhe Rais wangu John Pombe Magufuli hebu niruhusu nitoe ya moyoni kidogo kabisa kama unavyosema kuwa msemakweli ni mpenzi wa Mungu.

Mhe Rais, mambo yote tunakwenda sawa ila kwa hili la kujilimbikizia madaraka unaniboa sana. Haiwezekani kila kitu ufanye wewe, haiwezekani kila kitu ujue wewe, haiwezekani kila kitu uamuwe wewe, n.k.

Hebu ona issue ya koroso lazima uamue wewe?, issue ya kesi mbali mbali uamuwe wewe?, issue za kibunge uamuwe wewe, issue za kiuchumi uamuwe wewe?, n.k.

Naomba nikuulize, hivi wewe upo vizuri kichwani kiasi gani kwa kila sekta?.

Onana sasa madhara yake kwa wasaidizi wako wa sekta hizo, wamebaki wanasubiria ufanye wewe na kusubiria kutumbuliwa tu kwa maamuzi au maelekezo unayofanya ama kuyatoa.

Mfano mdogo unaoeleweka kwa wengi ni kwenye issue ya korosho, maamzi na maelekezo ufanye na kutoa wewe lawama waelekezewe wengine na kutumbuliwa watumbuliwe wengi!.

Acha hizo banah, ukiendelea hivo hao wateule wako watafanya nini kama kila kitu unaamua na kutoa maelekezo wewe?.
 
Huwezi kusema JPM Ni mbaya kwa Kila kitu NO. so mleta mada kwa upande wake yapo mazuri na hivyo ndivyo kwangu... Ili kufanya kazi na huyu bwana nawashauri wateule wafanye haya.

1. Kuwa mbunifu hapa fatilia Kila analo liongea kuhusu wizara yako na lifanyie kazi ikiwemo matamko yake Mana analoliongea ndilo analoliona na anakua na taarifa nyingi kuhusu Hilo.

2. Ukimjua mtu ishi anavyo taka.. hapa mfanye awe kiranja wako kuwa Kama unafanya research unamfanya supervisor anakua rafiki Kuna wakati ama kwa bahati mbaya ama kukosa namna atakua anajisahisha mwenyewe.
Namaanisha bila kujali matusi wasiliana nae fanya vikao visivyo rasmi vya namna ya kufanya maamuzi kwenye baadhi ya mambo kisha fanya atakavyo shauri yeye na usiogope kuwa honest katika Kila gumu, mpe option unazoziona Kisha msikie atareact vipi kwa Kila option.

Kama ukitumbuliwa basi itakua ni kusaliti maamuzi yake Ila Cha msingi zake changanya na zako
 
Huwezi kusema JPM Ni mbaya kwa Kila kitu NO. so mleta mada kwa upande wake yapo mazuri na hivyo ndivyo kwangu... Ili kufanya kazi na huyu bwana nawashauri wateule wafanye haya.

1. Kuwa mbunifu hapa fatilia Kila analo liongea kuhusu wizara yako na lifanyie kazi ikiwemo matamko yake Mana analoliongea ndilo analoliona na anakua na taarifa nyingi kuhusu Hilo.

2. Ukimjua mtu ishi anavyo taka.. hapa mfanye awe kiranja wako kuwa Kama unafanya research unamfanya supervisor anakua rafiki Kuna wakati ama kwa bahati mbaya ama kukosa namna atakua anajisahisha mwenyewe.
Namaanisha bila kujali matusi wasiliana nae fanya vikao visivyo rasmi vya namna ya kufanya maamuzi kwenye baadhi ya mambo kisha fanya atakavyo shauri yeye na usiogope kuwa honest katika Kila gumu, mpe option unazoziona Kisha msikie atareact vipi kwa Kila option.

Kama ukitumbuliwa basi itakua ni kusaliti maamuzi yake Ila Cha msingi zake changanya na zako
wewe lazima utakuwa na vinasaba vya jalalani! hivi shuleni huwa mnaendaga kusomea ujinga?? (in FaizaFoxy s voice). haiwezekani mawazo ya takataka kama haya yakatoka kwenye mtu mwenye akili timamu! lazima utakuwa umelogwa wewe! full stop
 
Mhe Rais wangu John Pombe Magufuli hebu niruhusu nitoe ya moyoni kidogo kabisa kama unavyosema kuwa msemakweli ni mpenzi wa Mungu.

Mhe Rais, mambo yote tunakwenda sawa ila kwa hili la kujilimbikizia madaraka unaniboa sana. Haiwezekani kila kitu ufanye wewe, haiwezekani kila kitu ujue wewe, haiwezekani kila kitu uamuwe wewe, n.k.

Hebu ona issue ya koroso lazima uamue wewe?, issue ya kesi mbali mbali uamuwe wewe?, issue za kibunge uamuwe wewe, issue za kiuchumi uamuwe wewe?, n.k.

Naomba nikuulize, hivi wewe upo vizuri kichwani kiasi gani kwa kila sekta?.

Onana sasa madhara yake kwa wasaidizi wako wa sekta hizo, wamebaki wanasubiria ufanye wewe na kusubiria kutumbuliwa tu kwa maamuzi au maelekezo unayofanya ama kuyatoa.

Mfano mdogo unaoeleweka kwa wengi ni kwenye issue ya korosho, maamzi na maelekezo ufanye na kutoa wewe lawama waelekezewe wengine na kutumbuliwa watumbuliwe wengi!.

Acha hizo banah, ukiendelea hivo hao wateule wako watafanya nini kama kila kitu unaamua na kutoa maelekezo wewe?.
Tanzania katiba yetu inampa madaraka makubwa rais. Na rais inatakiwa afanye maamuzi.

Sijaona maamuzi mabaya ya wazi (labda yale ambayo hatuyaoni, siwezi kujuwa) anayoyafanya rais. Ninachoona ni utendaji mbovu wa watendaji wake.

Na kwa hilo na jinsi elimu yetu ya Tanzania ilivyo kwa sasa (ya kusomea ujinga), tutegemee wengi kutumbuliwa kila kukicha.

Rais anahitaji "professionals" wakati Tanzania inazalisha "amateurs".
 
Tanzania katiba yetu inampa madaraka makubwa rais. Na rais inatakiwa afanye maamuzi.

Sijaona maamuzi mabaya ya wazi (labda yale ambayo hatuyaoni, siwezi kujuwa) anayoyafanya rais. Ninachoona ni utendaji mbovu wa watendaji wake.

Na kwa hilo na jinsi elimu yetu ya Tanzania ilivyo kwa sasa (ya kusomea ujinga), tutegemee wengi kutumbuliwa kila kukicha.

Rais anahitaji "professionals" wakati Tanzania inazalisha "amateurs".
Raisi yupo kama wewe FaizaFoxy .. Ujuaji mwingi na kukosoa watu
 
Tanzania katiba yetu inampa madaraka makubwa rais. Na rais inatakiwa afanye maamuzi.

Sijaona maamuzi mabaya ya wazi (labda yale ambayo hatuyaoni, siwezi kujuwa) anayoyafanya rais. Ninachoona ni utendaji mbovu wa watendaji wake.

Na kwa hilo na jinsi elimu yetu ya Tanzania ilivyo kwa sasa (ya kusomea ujinga), tutegemee wengi kutumbuliwa kila kukicha.

Rais anahitaji "professionals" wakati Tanzania inazalisha "amateurs".
koroshow
 
Weka mifano hai wacha porojo. Siyo wakati wake huu.
Alafu huwezi kuwa muislamu na kwa muda huo huo ushabikie siasa.. Dini ya kiislamu inapinga maswala ya democracy na mfumo wa kibepari.. Najua hili unalijua kwa undani lakini kutokana na tabia yako ya kujifanya mjuaji, bado utapinga..

Samahani bibi
 
Maamuzi ya Rais yalikuwa mazuri kabisa, kuwanusuru wakulima wetu na bei mbovu na milolongo ya makato na anatoa mpaka jeshi lisaidie usafiri wa kupeleka korosho kwenye maghala. Walioshindwa ni watendaji kuiuza na kutafuta wawekezaji wa viwanda vya kubangua korosho.

Rais kafanya wajib wake kwa Nia njema kabisa. No doubt.
 
Tanzania katiba yetu inampa madaraka makubwa rais. Na rais inatakiwa afanye maamuzi.

Sijaona maamuzi mabaya ya wazi (labda yale ambayo hatuyaoni, siwezi kujuwa) anayoyafanya rais. Ninachoona ni utendaji mbovu wa watendaji wake.

Na kwa hilo na jinsi elimu yetu ya Tanzania ilivyo kwa sasa (ya kusomea ujinga), tutegemee wengi kutumbuliwa kila kukicha.

Rais anahitaji "professionals" wakati Tanzania inazalisha "amateurs".
Malizia kwa kusema suluhisho ya matatizo yote hayo ni KATIBA IMARA vyenginevyo hapana tutakapofika kila kiongozi anaekuja atakua na interest zake kama tunaona jinsi miradi inavyopelekwa CHATO bila aibu wala kimeme
 
Back
Top Bottom