Mh Rais unachoniboa ni kujilimbikizia madaraka tuu

Na wewe acha kujikomba, kitu gani kiko sawa. Kuwapiga wati risasi 38 bila uchunguzi, kuwateka watu, yuko wapi Ben Mawazo and many others! You must be short sighted and out of your mind!
Ngoja awanyoshe mlikuwa na pelepeche nyingi.
 
Maamuzi ya Rais yalikuwa mazuri kabisa, kuwanusuru wakulima wetu na bei mbovu na milolongo ya makato na anatoa mpaka jeshi lisaidie usafiri wa kupeleka korosho kwenye maghala. Walioshindwa ni watendaji kuiuza na kutafuta wawekezaji wa viwanda vya kubangua korosho.

Rais kafanya wajib wake kwa Nia njema kabisa. No doubt.
Waziri mwenye dhamana alishawashauri wanaume tule koroshow turutubishe mbegu zetu. So hii ilikuwa moja ya soko kuu la koroshow so mlitaka wazir afanye nn wakati soko lilishapatina
 
Wewe mhaya mpuuzi kweli yote ya tetemeko huyaoni, jinga kabisa wewe. Sijui unatoka Bukoba gani wewe lofa
Propaganda ya tetemeko mliitumia mkaangukia pua. Mbunge wetu mwenyewe ambaye ni chadema alijitenga na ujinga huo na kushirikiana na viongozi kumaliza tatizo ninyi mkiwa mitandaoni. Unapajua bukoba wewe? Hatupendagi akili za kijinga na mihemuko. Watu huko wapo salama.
 
Mhe Rais wangu John Pombe Magufuli hebu niruhusu nitoe ya moyoni kidogo kabisa kama unavyosema kuwa msemakweli ni mpenzi wa Mungu.

Mhe Rais, mambo yote tunakwenda sawa ila kwa hili la kujilimbikizia madaraka unaniboa sana. Haiwezekani kila kitu ufanye wewe, haiwezekani kila kitu ujue wewe, haiwezekani kila kitu uamuwe wewe, n.k.

Hebu ona issue ya koroso lazima uamue wewe?, issue ya kesi mbali mbali uamuwe wewe?, issue za kibunge uamuwe wewe, issue za kiuchumi uamuwe wewe?, n.k.

Naomba nikuulize, hivi wewe upo vizuri kichwani kiasi gani kwa kila sekta?.

Onana sasa madhara yake kwa wasaidizi wako wa sekta hizo, wamebaki wanasubiria ufanye wewe na kusubiria kutumbuliwa tu kwa maamuzi au maelekezo unayofanya ama kuyatoa.

Mfano mdogo unaoeleweka kwa wengi ni kwenye issue ya korosho, maamzi na maelekezo ufanye na kutoa wewe lawama waelekezewe wengine na kutumbuliwa watumbuliwe wengi!.

Acha hizo banah, ukiendelea hivo hao wateule wako watafanya nini kama kila kitu unaamua na kutoa maelekezo wewe?.
Magufuli yupo sahihi kabisa maana wengi aliowaamini kumsaidia wapo wapo tu kama vivuli,maamuzi mengine ya kiwango cha kufanywa na DC yanashindikana hadi Rais aje ndo afanye maamuzi. Hiyo yote inatokana na mazoea ya upigaji tuliokuwa nao, ukiwa ni mla rushwa huwezi kuwa mtoa maamuzi maana unaogopa kumkera yule alokupa rushwa na kuishia kukuumbua kwamba aliwahi kukupa rushwa. Hakuna Mtanzania mgeni wa hayo madudu yaliyokuwepo yanayofanyiwa kazi sasa na Magufuli labda uamue kujitoa akili tu na kuanza kumlaumu Rais
 
Propaganda ya tetemeko mliitumia mkaangukia pua. Mbunge wetu mwenyewe ambaye ni chadema alijitenga na ujinga huo na kushirikiana na viongozi kumaliza tatizo ninyi mkiwa mitandaoni. Unapajua bukoba wewe? Hatupendagi akili za kijinga na mihemuko. Watu huko wapo salama.
Kwa akili zenu mtatawalia kwa mkono wa chuma mpaka kiama mm jitu linanikera likiwa liaunga mkono UNYAMA wanaofanyiwa binaural mwezake kwa sababu tu hajatekwa baba yake,hajapotezwa mjomba wake,hajatishiwa kipewa vichapo shangazi zake kule kijijini.
Hajali wala hahoji mamilioni yanayoliwa,hajali wala haoni jinsi CHATO inavyotayarishwa kuwa JIJI KUU LA KIBIASHARA.
Hajali wala haoni punge lilivyoporwa majukumu yake na kutelekezwa GIZANI

Kuna siku moja kati ya haya litakugusa wewe mwenyewe au familia yako hapo ndio utajua UMUHIMU WA WATU KUTAWALIWA KWA MUJIBU WA SHERIA
 
Kwa akili zenu mtatawalia kwa mkono wa chuma mpaka kiama mm jitu linanikera likiwa liaunga mkono UNYAMA wanaofanyiwa binaural mwezake kwa sababu tu hajatekwa baba yake,hajapotezwa mjomba wake,hajatishiwa kipewa vichapo shangazi zake kule kijijini.
Hajali wala hahoji mamilioni yanayoliwa,hajali wala haoni jinsi CHATO inavyotayarishwa kuwa JIJI KUU LA KIBIASHARA.
Hajali wala haoni punge lilivyoporwa majukumu yake na kutelekezwa GIZANI

Kuna siku moja kati ya haya litakugusa wewe mwenyewe au familia yako hapo ndio utajua UMUHIMU WA WATU KUTAWALIWA KWA MUJIBU WA SHERIA
Tunahitaji walimu wa kiswahili kwenda Sudani Kusini. Kwa uandishi huu kweli unaweza pata nafasi hiyo? Kajifunze kuandika huko la sivyo mtaishia domo fursa zinapita tuu. Very uncouth.
 
Na nyie kwa Kiengereza cha intaprenuwaa mnafikili mnaweza kulifikisha Taifa ktk uchumi wa Viwanda kweli???
Tunahitaji walimu wa kiswahili kwenda Sudani Kusini. Kwa uandishi huu kweli unaweza pata nafasi hiyo? Kajifunze kuandika huko la sivyo mtaishia domo fursa zinapita tuu. Very uncouth.
 
Magufuli yupo sahihi kabisa maana wengi aliowaamini kumsaidia wapo wapo tu kama vivuli,maamuzi mengine ya kiwango cha kufanywa na DC yanashindikana hadi Rais aje ndo afanye maamuzi. Hiyo yote inatokana na mazoea ya upigaji tuliokuwa nao, ukiwa ni mla rushwa huwezi kuwa mtoa maamuzi maana unaogopa kumkera yule alokupa rushwa na kuishia kukuumbua kwamba aliwahi kukupa rushwa. Hakuna Mtanzania mgeni wa hayo madudu yaliyokuwepo yanayofanyiwa kazi sasa na Magufuli labda uamue kujitoa akili tu na kuanza kumlaumu Rais
Fact
 
Kabudi kamuabisha sana mke wake, watoto wake na wajukuu zake.
Napata shida sana kusema kaaibisha mpaka wenzake wagogo. Kwa sababu nikiangalia wagogo wengine kama Ndugai naona yaleyale, Lusinde yaleyale. Sasa jee ndivyo walivyo?
 
Jamani watanzania daima tuyakumbuke mawazo ya baba wa taifa aliyesema madaraka ya raisi yaliyomo kwenye katiba hii ni kama ya mfalme,Kaiba tuliyonayo ndio inampa madaraka hayo tusilalamike.Tulipopewa nafasi ya kutoa maoni na kubadilisha katiba wapo waliobeza katiba ya Warioba na Marehemu Adrian Mvungi na hata sasa wapo wasiotaka mabadiliko ya katiba wanataka ku maintain status quo pasiwepo na mabadiliko yoyote.Nguo uliyoivaa ukiwa mtoto au kijana na sasa wewe ni pade la baba imesha kubana kila mtu atakuona kuwa imesha kubana unahitaji ushone nguo nyingine ili upendeze otherwise utapoteza credibility.
 
Mhe Rais wangu John Pombe Magufuli hebu niruhusu nitoe ya moyoni kidogo kabisa kama unavyosema kuwa msemakweli ni mpenzi wa Mungu.

Mhe Rais, mambo yote tunakwenda sawa ila kwa hili la kujilimbikizia madaraka unaniboa sana. Haiwezekani kila kitu ufanye wewe, haiwezekani kila kitu ujue wewe, haiwezekani kila kitu uamuwe wewe, n.k.

Hebu ona issue ya koroso lazima uamue wewe?, issue ya kesi mbali mbali uamuwe wewe?, issue za kibunge uamuwe wewe, issue za kiuchumi uamuwe wewe?, n.k.

Naomba nikuulize, hivi wewe upo vizuri kichwani kiasi gani kwa kila sekta?.

Onana sasa madhara yake kwa wasaidizi wako wa sekta hizo, wamebaki wanasubiria ufanye wewe na kusubiria kutumbuliwa tu kwa maamuzi au maelekezo unayofanya ama kuyatoa.

Mfano mdogo unaoeleweka kwa wengi ni kwenye issue ya korosho, maamzi na maelekezo ufanye na kutoa wewe lawama waelekezewe wengine na kutumbuliwa watumbuliwe wengi!.

Acha hizo banah, ukiendelea hivo hao wateule wako watafanya nini kama kila kitu unaamua na kutoa maelekezo wewe?.
Umelenga bull, hilo ndio linalotukwamisha, maana watendaji wamepigwa na kigugumizi cha kudumu, wakiamua wataitwa wapumbavu, wasipoamua na kusubiri maelekezo pia wataitwa wapumbavu; wamebaki hohehae kama wafiwa wakisubiri kutumbuliwa tu masikini na kudhalilishwa hadharani WAPUMBAVU!!
 
wewe lazima utakuwa na vinasaba vya jalalani! hivi shuleni huwa mnaendaga kusomea ujinga?? (in FaizaFoxy s voice). haiwezekani mawazo ya takataka kama haya yakatoka kwenye mtu mwenye akili timamu! lazima utakuwa umelogwa wewe! full stop
Nimetoa ushauri kwa wachumia tumbo full stop
 
Hivyo ndivyo alivyo jiwe ,hajui kabisa delegation of power ,mbaya hajajua kwamba yeye ndio tatizo .Karne ya 21 yeye anatumia mbinu za karne ya 19 kutawala na kuongoza ,kuna kitu sasa atafukuza , teua ,tengua mpaka achoke ,gain hakuna .
 
wewe lazima utakuwa na vinasaba vya jalalani! hivi shuleni huwa mnaendaga kusomea ujinga?? (in FaizaFoxy s voice). haiwezekani mawazo ya takataka kama haya yakatoka kwenye mtu mwenye akili timamu! lazima utakuwa umelogwa wewe! full stop
Punguza ukali wa maneno mkuu!
 
Nilikuwa sijui kumbe Rais wa nchi yetu kwa katiba hii ni Mungu mtu.

Hii mnayoita eti MIHIMILI yaani inafuata Rais anachotaka!!
 
Maamuzi ya Rais yalikuwa mazuri kabisa, kuwanusuru wakulima wetu na bei mbovu na milolongo ya makato na anatoa mpaka jeshi lisaidie usafiri wa kupeleka korosho kwenye maghala. Walioshindwa ni watendaji kuiuza na kutafuta wawekezaji wa viwanda vya kubangua korosho.

Rais kafanya wajib wake kwa Nia njema kabisa. No doubt.

Nani alimtuma jiwe kuingilia ngoma asiyoiweza? In short inaweza kuwa hajui lipi analiweza na lipi haliwezi, ni hatari sana kuwa na kiongozi wa nama hii, maamuzi yake yamegharimu wakulima na ajira za watu, yeye kanyuti kimya zigo anawaangushia wengine
 
Back
Top Bottom