MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 7,216
- 13,540
"Ghost fans" wala siyo wa kuwaamini,subiri muda utaongea!Vigumu sana kwani polepole ana watu huko na ccm wengi wapo nae kimya kimya
Wakuu wa majeshi wanapata pension Nono, wanajengewa nyumba, wanapewa V8 kama zawadi ya kustaafu.
Hii ni hongo inayokwenda kwa 5% ya top cream jeshini. MkiSubiri jeshi lichukue nchi mtasubiri sana. Hawa wakubwa wanalinda hongo zao.
Polisi wetu wasivyo na akili na wanavyo jua kutumia nguvu kuliko akili utakuta kesho hilo sanamu limetekwa halipo hapo likawaeleze polepole aliko maana mara ya mwisho alionekana kwakeBongo ni full burudani ukifa kwa stress utakuwa umejitakia 😀
Unasema weweDrama... Auawe ili mseme kifo ni kifo?
Kwani wengine waliuawa na nani?Unasema wewe
Nani amuue ??
Akina nani?Kwani wengine waliuawa na nani?
Kama hujui maana huambiwi maana!!Akina nani?
Tutaona.Wanam-zoom tu jamaa! Atajaa kwenye mfumo soon na hatosikika tena!!
Jibu swaliKama hujui maana huambiwi maana!!
Nazunguka wapi?Jibu swali
Sio unqzunguka zunguka
sidhan alisema watu wanaogopa hata kumpigia sim.in short yuoo mwenyeweVigumu sana kwani polepole ana watu huko na ccm wengi wapo nae kimya kimya
kwa msaada wa ChatGPT nimekuelewa kabisa mkuu.Icarus is flying too close to the sun 🤣
A clown with balls of steel
yeye kesi yake Samia asigombee kupitia CCMPole pole anatapa tapa tuu Hana jipya, hii nchi huwez kupata mabadriko Kwa kutegemea hawa wanachi, hii nchi nguzo ya mabadriko ipo kwenye defence , sehemu ambayo CCM ndo wamelalia alaf Pole pole haya mambo ya reform no elect hata Hana mpango nayo nyie tuu ndo mnamvisha , yeye kesi yake Samia asigombee kupitia CCM
Pole pole anatapa tapa tuu Hana jipya, hii nchi huwez kupata mabadriko Kwa kutegemea hawa wanachi, hii nchi nguzo ya mabadriko ipo kwenye defence , sehemu ambayo CCM ndo wamelalia alaf Pole pole haya mambo ya reform no elect hata Hana mpango nayo nyie tuu ndo mnamvisha , yeye kesi yake Samia asigombee kupitia CCM