acha kuleta maswala ya vyama hapa,Chuki zako na chadema ziishie hukohuko,hili ni swala la kitaifa na linawahusu Watanzania wote bila kujali dini,kabila wala itikadi zao,hivyo ujaribu kutumia akili wakati mwingineunataka serikali ifuate mawazo yenu nyie Pro-Chadema msioitakia mema nchi yetu. .
Hakuna haja ya kupiga Jaramba kwa sababu ya hisia, swala la kwamba Ziwa Nyasa kuna mafuta ndio linalowatoa viongozi wetu mapovu, kama kweli viongozi wetu wako makini katika kuhakikisha interest za Tanzania hazichezewi, waanze kutuonyesha kwa vitendo kwa kuhakikisha kwamba tunapata a reasonable share kwenye mapato ya madini, waanze kutuonyesha kwa vitendo kwamba viongozi wazembe, wala rushwa na mafisadi wanachukuliwa hatua.
Watanzania tusiwe tayari kutengenezewa maadui wengine wakati serikali hii hii imeshindwa kudhibiti Maralia kwenye makazi yetu badala yake inasubiri misaada kutoka nje.
Kama unataka kupiga Jaramba, anza kupiga Jaramba sasa kama meseji kwa CCM kwamba comes 2015 wasipokuwa tayari kuachia madaraka kwa mujibu wa matakwa ya UMA wa Tanzania basi wajiandae kwa lolote.
Acheni kusumbuana na Poor Malawi, kwanza wanamatatizo yao mengi tu ndio maana wao kupewa hadithi ya mafuta wameona kama vile uchimbaji umeanza. sisi hatuhitaji exploration, it is confirmed kwamba dhahabu, uranium,Tanzanite, Diamond etc zimejaa chini ya ardhi yetu. Kama vipi tupige Jaramba kuyalinda haya kwanza.
Usipende kukurupuka mbona Membe kaeleweka vizuri wewe unataka serikali ifuate mawazo yenu nyie Pro-Chadema msioitakia mema nchi yetu.
Wewe kwa akili yako unataka JWTZ waanze vita ili suala linaitaji mazungumzo mpaka hatua ya vita kufikia mpaka mahakama ya Kimataifa ya Haki (International Court of Justice-ICJ) washindwe.
Malawi wanapoteza muda wanaleta usumbufu tu mkutano wa mwaka 1884 uliofanyika Berlin lazima kila nchi iheshimu mipaka iliyowekwa na wakoloni.
Mbona niliwaona tangu wiki iliyopita?tangu jana wanajeshi wa tanzania wanaelekea huko mpakani...
Hapa ndo tunaona na kushudia ukiukwaji wa sheria za kimataifa na upofu wa viongozi waew wa Tanzania au Malawi. Naona wachangiaji wengi mnapenda zipigwe lakini hayo yote yana negative impacts kwa nchi hizi mbili. Je Tanzania ikitokea ikadeclare vita dhidi ya Malawi wakati Malawi haijafanya hivyo hamuoni kuwa Tanzania itabeba lawama kati damage,destruction and injuries to the people of Malawi? Na ili ni swala linalo katazwa kwamjibu wa sheria za kimataifa.
Ushauri wangu kama mtanzania nadhani ingekuwa vizuri Tanzania kuishitaki kwa Malawi kama wamekataa dialogue na sisi watanzania.Tunaweza kuepuka ugonvi huu kwa kuitumia vizuri African Union au United Nations au SADC.
Kuipiga Malawi hakuna hata kuiambia dunia kuwa tuna vita na wamalawi.Kwa nini tumefika hapa? Miaka hamsini ya uhuru bado mipaka ya nchi hii ina utata! Kweli Watanzania tunahitaji maelezo toshelevu.Kwa bahati mbaya kama Wamalawi wameshaona dalili za uhakika za uwepo wa mafuta mzozo huu utakuwa mgumu zaidi kutatua.Lakini ninaamini pia Wamalawi wanatujua vizuri sana jinsi tulivya serious katika kulinda mipaka yetu, kama wamesahau wajikumbushe yaliyompata Idd Amin.Wakituchezea tutafika hapo Lilongwe na Blantire kuwasabahi na huyo dada Joyce hatakuwa tena rais.
MAMA POROJO sipendi vita ila inaonekana serekali yetu imekuwa na uvumilivu wa kupitiliza inakuwaje ndege zinaruka katika anga la Tanzania zaidi ya mara tano tunaziachia zimefika hadi kutua pwani ya ziwa Nyasa bado tunaangalia ?.Kwanini tusitungue walau ndege moja kuonyesha tuko serious hatuna masikhara linapokuja suala la mipaka ya nchi yetu.Unadhani Malawi wakigundua mafuta au gesi watataka tena mazungumzo Mama POROJO ungekuwa mke wangu pengine ungeeelwa namaanisha nini nakwambia akitokea kidume akakukonyeza vita vinaanzia hapo hapo hakuna cha mazungumzo wala mahakama na suala la ziwa Nyasa nisingekuwa na mazunguzo na malawi kitendo cha kuvuka mpaka kingekuwa sababu tosha ya kuwafunza adabu.
bila kutaja chadema utakufa?ama kweli CHADEMA ina watu.
hili linawahusu wewe na RitzMnaleta mambo ya Simba na yanga.?????
wewe ndio unafikra Mgando, na Inaonekana wewe ndio CHADEMA inakuwewesesha.Mkuu yaelekea CCM imekukaa sana akilini, huwezi fanya jambo lolote la maana kwa maslahi ya taifa bila kuitaja CCM.
CCM imekumaliza akili hadi huna fikra mpya....... huna wazo jipya ama kweli CHADEMA ina watu. Mnaleta mambo ya Simba na yanga kwenye mpaka wa nchi.?????
Hapa ndo tunaona na kushudia ukiukwaji wa sheria za kimataifa na upofu wa viongozi waew wa Tanzania au Malawi. Naona wachangiaji wengi mnapenda zipigwe lakini hayo yote yana negative impacts kwa nchi hizi mbili. Je Tanzania ikitokea ikadeclare vita dhidi ya Malawi wakati Malawi haijafanya hivyo hamuoni kuwa Tanzania itabeba lawama kati damage,destruction and injuries to the people of Malawi? Na ili ni swala linalo katazwa kwamjibu wa sheria za kimataifa.
Ushauri wangu kama mtanzania nadhani ingekuwa vizuri Tanzania kuishitaki kwa Malawi kama wamekataa dialogue na sisi watanzania.Tunaweza kuepuka ugonvi huu kwa kuitumia vizuri African Union au United Nations au SADC.
Mkuu acha kabisa huyo Mama wa Malawi hacheki ovyo kavaa sura ya kazi sisi tunamletea umissNa kawaonya watafiti wote kutoendelea na utafiti wowote ndani ya ziwa,hivyo wasimame kabisa!!
Usipende kukurupuka mbona Membe kaeleweka vizuri wewe unataka serikali ifuate mawazo yenu nyie Pro-Chadema msioitakia mema nchi yetu.
Wewe kwa akili yako unataka JWTZ waanze vita ili suala linaitaji mazungumzo mpaka hatua ya vita kufikia mpaka mahakama ya Kimataifa ya Haki (International Court of Justice-ICJ) washindwe.
Malawi wanapoteza muda wanaleta usumbufu tu mkutano wa mwaka 1884 uliofanyika Berlin lazima kila nchi iheshimu mipaka iliyowekwa na wakoloni.
Jana nilikuwa Mlandizi, nimeshuhudia mabasi ya jeshi yasiyopungua 30 na malori yamejaa masoja tena yalikuwa yanaongozwa na gari la ma-mp likipiga king'ora. Magari hayo yalikuwa yanaelekea Dar. Akili yangu ilinambia kuwa walitokea ngerengere na walikuwa wanaelekea Dar kuchukua flight kuelekea eneo la tukio!tangu jana wanajeshi wa tanzania wanaelekea huko mpakani...
Angel Msoffe, umeguisia jambo la KIUTU ambalo linahusu UTU WA TAIFA kwa ujumla wake.acha kuleta maswala ya vyama hapa,Chuki zako na chadema ziishie hukohuko,hili ni swala la kitaifa na linawahusu Watanzania wote bila kujali dini,kabila wala itikadi zao,hivyo ujaribu kutumia akili wakati mwingine