Maarko
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,189
- 602
Amlipie mshahara kabisa, itapendeza.
Ndio mwisho wa upeo wako huo,endelea kula vinono unavyolishwa,ila ipo siku utalipa kupitia njia yoyote
Amlipie mshahara kabisa, itapendeza.
Kwanza haki na amani alafu mshaharaAmlipie mshahara kabisa, itapendeza.
Acha kulia lia.Ndio mwisho wa upeo wako huo,endelea kula vinono unavyolishwa,ila ipo siku utalipa kupitia njia yoyote
Sawa lakin badae msianze kulia lia hapa Lissu anawatukania kwa Cogressman
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo "haki" inatafutwa kwa wazungu sio?
Tulizeni mshono,huu mpambano mnayemkingia atafikiwa tuHahaha yaani Mbunge wa Burundi au Kenya aje JMTZ akutane na J. Heche halafu iwe news kweli?
Ulikutana na Beberu sio ?Kukutana na congressman wa USA siyo ishu hata mimi nishawahi, ni kawaida sana hata wewe ukitaka unaweza kulingana na unachofanya.
Mkuu Barbarosa mahojiano ya Masilingi VOA swahili yamenipita. Vp, ulifuatilia?Watakaolia siyo waelewa na ndo walengwa wa Tu ndu Lisu, lkn kwa waelewa wanajua hamna kitu hapo, ukiwa kama Mbunge upinzani kutaka kukutana na congressman wa USA siyo ishu chama kinaandika barua na kuomba kuonana naye.
Tulizeni mshono,huu mpambano mnayemkingia atafikiwa tu
Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
Mkuu Barbarosa mahojiano ya Masilingi VOA swahili yamenipita. Vp, ulifuatilia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Balozi wako yupo studio we unaita ujinga!Hata mimi sikuangalia huo ujinga, nilikuwa kazini!
Mbona mnahangaika sasa,oooh anatuchafuaMnapoteza Muda, USA anafwata foreign policy yake ambayo inaendana na national interest ya USA, na hiyo haiwezi kubadilika shauri ya Tu ndu Lisu, never!
Mbona mnahangaika sasa,oooh anatuchafua
Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
He is a senior member of House foreign affairs committeeWatakaolia siyo waelewa na ndo walengwa wa Tu ndu Lisu, lkn kwa waelewa wanajua hamna kitu hapo, ukiwa kama Mbunge upinzani kutaka kukutana na congressman wa USA siyo ishu chama kinaandika tu barua na kuomba kuonana naye, upinzani Dunia nzima hufanya hivyo.
Alikua anampa tiGoInategemea ulikutana naye kwa jambo lipi.
Yaani jamaa kukutana na mzungu anatamba utafikiri amekutana na Mungu, ha ha ha.HOSTINGING A CONGRESIONAL VISIT IN USA.
NI KAZI RAHISI SANA, MSITUVUNGE HATA MVUTA BANGI ANAWEZA KUTANA NA CONGRESSMAN. SOMA KWENYE LINK HII CHINI:
https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjAJegQIBhAB&usg=AOvVaw2-nwURhfpKAsXwVtHAFfY0
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly! Brad yuko kwenye foreign affairs committee ya congress. Jiongeze...HOSTINGING A CONGRESIONAL VISIT IN USA.
NI KAZI RAHISI SANA, MSITUVUNGE HATA MVUTA BANGI ANAWEZA KUTANA NA CONGRESSMAN. SOMA KWENYE LINK HII CHINI:
https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjAJegQIBhAB&usg=AOvVaw2-nwURhfpKAsXwVtHAFfY0
Sent using Jamii Forums mobile app