Chadema Diaspora
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 480
- 644
Mh. Tundu Lissu akutana na Congressman, Brad Sherman leo Washington D.C.
Wameongelea juu ya changamoto za demokrasia Tanzania na Haki za binadamu. Congressman Brad ameahidi kufanyia kazi na kuweka uwazi juu ya demokrasia na haki za binadamu zinavyo kandamizwa Tanzania.
Mh. Lissu anaendelea na ziara yake machana huu.
Wameongelea juu ya changamoto za demokrasia Tanzania na Haki za binadamu. Congressman Brad ameahidi kufanyia kazi na kuweka uwazi juu ya demokrasia na haki za binadamu zinavyo kandamizwa Tanzania.
Mh. Lissu anaendelea na ziara yake machana huu.