Chanzo Cha Umaskini Tanzania hiki Hapa. Deep State kazi kwenu

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,133
20,296
Japo hatujawahi kufundishwa kwa kina kuhusu kitu kinaitwa Deep State lakini tunaeleweshwa mahali mbali mbali kwamba Deep State ni Kundi la Siri la Wazalendo ambao ndio hasa Husukuma Gurudumu la Ustawi na Uhaif Wa Taifa ktk Nchi fulani.

Kutokana na maelezo ya kina ya weledi ya Mh Tundu Lissu akijibu maswali ya waulizaji kwenye mkutano wake ameelezea mambo mazito.

Ndugu wananchi kama mnavyofahamu kila Nchi Yetu inapopitia Mkwamo wa kiuchumi, maendeleo na Ustawi huwa Wananchi wanapeleka lawama zao kwa viongozi walioko madarakani.

Kwa hiyo ni muhimu sana kuzingatia namna viongozi wanavyopatikana kwenye Chaguzi zetu.

Kwamba tuhakikishe wanapatikana viongozi bora na wenye uwezo.

Na kwamba tupate viongozi wazalendo, wachapa kazi, wenye kuheshimu sheria, katiba na Haki za Binadamu hasa Watanzania.

Sasa kinachonisikitisha ni baada ya kusikia Takwimu hizi. Zimenifanya nielewe kwa nini hasa Tanzania hatuwezi kutoboa kiuchumi labda kwa miujiza tu. Ambayo nayo haiwezekani maana hakuna wanaomcha Mungu kwa hakika.

Kwamba Eneo lenye Wapiga kura laki nne na hamsini lina jumla ya Wabunge Takribani 50??

This is a Joke kama Taifa.
Kwamba baadhi ya maeneo ya kiuchaguzi majimbo yanaongezwa ili ku secure nafasi za kugombea za watoto na watu fulani fulani.

Hili linasikitisha sana

Tuamue Kusuka au Kunyoa.

Asante sana Mh Tundu Lissu
 
Japo hatujawahi kufundishwa kwa kina kuhusu kitu kinaitwa Deep State lakini tunaeleweshwa mahali mbali mbali kwamba Deep State ni Kundi la Siri la Wazalendo ambao ndio hasa Husukuma Grurudumu la Taifa ktk Nchi fulani.


Asante sana Mh Tundu Lissu
Ukijumlisha na malalamiko yanayo endelea kutolewa na baadhi ya viongozi wakuu wa chama cha Ccm kuhusu Namna na mashaka ya uchaguzi unavyofanyika sioni sababu tena ya kuchelewesha mchakato wa Tume huru ya Uchaguzi na Katiba Bora.

Huu wote ni ushahidi kuwa chaguzi zetu zinatiliwa mashaka hata kwa wale walioshinda

Kwamba hata aliyeshinda anabaki anashangaa hapa nimeshindaje shindaje?
 
Ukijumlisha na malalamiko yanayo endelea kutolewa na baadhi ya viongozi wakuu wa chama cha Ccm kuhusu Namna na mashaka ya uchaguzi unavyofanyika sioni sababu tena ya kuchelewesha mchakato wa Tume huru ya Uchaguzi na Katiba Bora.

Huu wote ni ushahidi kuwa chaguzi zetu zinatiliwa mashaka hata kwa wale walioshinda
Huu ni Uandishi gani?
 
Najua Chadema mnataka kutumia fursa hii ya mgawanyo Mpya wa Majimbo mkiamini kwamba Kwa kuwa mnaungaa mkono na watu wa Mjini basi mtashinda Majimbo mengi Mijini.

Hii logic yenu Haina maana Kwa sababu mara zote kura za ujumla Huwa mnazidiwa bila kujalisha ni mjini au Vijijini.

Mwisho naweza kukubaliana kwamba Baadhi ya vigezo sio sawa kulingana na huo mfano wa Lisu lakini mazingira ya Tanzania kijiografia ni tofauti sana na huko kwingine.

Kwanza Nchi yetu ni kubwa na Ina mtawanyiko mkubwa wa watu so ukifuata idadi tuu bila vigezo vingine sio sawa kabisa.
 
Najua Chadema mnataka kutumia fursa hii ya mgawanyo Mpya wa Majimbo mkiamini kwamba Kwa kuwa mnaungaa mkono na watu wa Mjini basi mtashinda Majimbo mengi Mijini.

Hii logic yenu Haina maana Kwa sababu mara zote kura za ujumla Huwa mnazidiwa bila kujalisha ni mjini au Vijijini.

Mwisho naweza kukubaliana kwamba Baadhi ya vigezo sio sawa kulingana na huo mfano wa Lisu lakini mazingira ya Tanzania kijiografia ni tofauti sana na huko kwingine.

Kwanza Nchi yetu ni kubwa na Ina mtawanyiko mkubwa wa watu so ukifuata idadi tuu bila vigezo vingine sio sawa kabisa.
Kwa maoni yko ni bora yaendelee kukatwa majimbo ya kiutawala hata kama ni mapori yasiyo na watu???? Embu jaribu kuficha ujinga wako ndg, kuna majimbo yana wapiga kura 60,000 wkt huo huo kuna kata zinawapiga kura 80,000 , hv huoni kama kuna shida????
 
Kwa maoni yko ni bora yaendelee kukatwa majimbo ya kiutawala hata kama ni mapori yasiyo na watu???? Embu jaribu kuficha ujinga wako ndg, kuna majimbo yana wapiga kura 60,000 wkt huo huo kuna kata zinawapiga kura 80,000 , hv huoni kama kuna shida????
Kwamba Tanga imetawanyika na mapori Mengi kuliko Morogoro?
Kweli Ujinga ni Mzigo.
Atwambie na Zanzibar inayolingana na Mkoa wa Dar nayo sababu ni Milima na mapori?
 
Najua Chadema mnataka kutumia fursa hii ya mgawanyo Mpya wa Majimbo mkiamini kwamba Kwa kuwa mnaungaa mkono na watu wa Mjini basi mtashinda Majimbo mengi Mijini.

Hii logic yenu Haina maana Kwa sababu mara zote kura za ujumla Huwa mnazidiwa bila kujalisha ni mjini au Vijijini.

Mwisho naweza kukubaliana kwamba Baadhi ya vigezo sio sawa kulingana na huo mfano wa Lisu lakini mazingira ya Tanzania kijiografia ni tofauti sana na huko kwingine.

Kwanza Nchi yetu ni kubwa na Ina mtawanyiko mkubwa wa watu so ukifuata idadi tuu bila vigezo vingine sio sawa kabisa.
Jikite kwenye hoja za kiuchumi na faida za kiutawala kwa Wananchi acha kutazama nafasi za vyeo.

Umesikiliza Dunia kote msingi wa majimbi unatokana na level ya uwakilishi na idadi inayowakilishwa sio Vichaka na mito na mawe
 
Inawezekana ikawa kwel kulingana na utafti wao na inawezekana kwel izo ndo sababu ya uchumi wa wananchi kua mgumu

Lakin pia sisi wanachi tunachangia mtanzania ndo mtu pekee Afrika asiejua kua maisha yana level

Leo hii unakuta familia kipato chao kwa mwezi ni lk5 ad 1 million
Ila unakuta iyo familia. Imepanga nyumba kwa mwezi wanalipa laki2 ad 3 kwa mwezi
Unakuta iyo familia inawatoto wanne wote wanasoma private school
Iyo iyo familia imeajiri mfanya kaz wa ndan wanamlipa kla mwezi
Wanamiliki gar moja au mbili
Na bado familia iyo iyo weekend wanenda out kupumzka

Watanzania tujifunze kuishi kulingana na level yako ya uchumi
 
Japo hatujawahi kufundishwa kwa kina kuhusu kitu kinaitwa Deep State lakini tunaeleweshwa mahali mbali mbali kwamba Deep State ni Kundi la Siri la Wazalendo ambao ndio hasa Husukuma Gurudumu la Ustawi na Uhaif Wa Taifa ktk Nchi fulani.

Kutokana na maelezo ya kina ya weledi ya Mh Tundu Lissu akijibu maswali ya waulizaji kwenye mkutano wake ameelezea mambo mazito.

Ndugu wananchi kama mnavyofahamu kila Nchi Yetu inapopitia Mkwamo wa kiuchumi, maendeleo na Ustawi huwa Wananchi wanapeleka lawama zao kwa viongozi walioko madarakani.

Kwa hiyo ni muhimu sana kuzingatia namna viongozi wanavyopatikana kwenye Chaguzi zetu.

Kwamba tuhakikishe wanapatikana viongozi bora na wenye uwezo.

Na kwamba tupate viongozi wazalendo, wachapa kazi, wenye kuheshimu sheria, katiba na Haki za Binadamu hasa Watanzania.

Sasa kinachonisikitisha ni baada ya kusikia Takwimu hizi. Zimenifanya nielewe kwa nini hasa Tanzania hatuwezi kutoboa kiuchumi labda kwa miujiza tu. Ambayo nayo haiwezekani maana hakuna wanaomcha Mungu kwa hakika.

Kwamba Eneo lenye Wapiga kura laki nne na hamsini lina jumla ya Wabunge Takribani 50??

This is a Joke kama Taifa.
Kwamba baadhi ya maeneo ya kiuchaguzi majimbo yanaongezwa ili ku secure nafasi za kugombea za watoto na watu fulani fulani.

Hili linasikitisha sana

Tuamue Kusuka au Kunyoa.

Asante sana Mh Tundu Lissu
View attachment 2928873
MKUU

Hiyo taasisi unayoitaja ya 0101 IPO katika reformation kubwa ya nchi yetu,ndio maaana inataka kitabu kipya na muelekeo upya!!

Hukonmwanzo hatma ya kiuchumi ya nchi iliachiwa wanasiasa lakini.sasa Kuna mpango mpya na Kuna vijana Kwa miaka 12 wanapikwa pale st.peters watakuja kuweka mambo sawa kuhusu ujasusi was kiuchumi!!

Hiyo taasisi ilitukosea Sana kuachia uchumi na mstakabali was watz wanasiasa ambao wanajali matumbo Yao kwa ubunge na vyeo plus uchawa ndio janga kuu la taifa Hadi kesho!!
 
Back
Top Bottom