Zambotti
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,961
- 3,592
Mwache aseme yoote aisee, jiwe linamchora lina hasira lukuki ila limekausha tuSawa lakin badae msianze kulia lia hapa Lissu anawatukania kwa Cogressman
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwache aseme yoote aisee, jiwe linamchora lina hasira lukuki ila limekausha tuSawa lakin badae msianze kulia lia hapa Lissu anawatukania kwa Cogressman
Sent using Jamii Forums mobile app
Namba 2 anainukisha zaidWANAOICHAFUA NCHI UGAIBUNI
1. TUNDU LISU
2. SIMBA SPORT CLUB
Mbona kama ume-mid sasa?Hahaha yaani Mbunge wa Burundi au Kenya aje JMTZ akutane na J. Heche halafu iwe news kweli?
Hahaha hii imekuzidi kimoHuna lolote wewe lofa. Kazungushe mikono huko.
Unajifanya fahamu imekuruka, eti? Aliko Lissu ni kwa 'mabeberu' sio RwandaHahaha yaani Mbunge wa Burundi au Kenya aje JMTZ akutane na J. Heche halafu iwe news kweli?
We ulikutana naye ili kumpa Tigo, lissu anakutana kwa maswala ya haki za binadamu na utawala wa sheria
Hitimisho kama hili la 'jamaa hawezi kuja kua president' sijui umelitoa wapi? Uhakika huo umeupata vipi?Mwisho wake najiuliza utakua nini,maana kiuhalisia jamaa hawezi kuja kua president
Sent using Jamii Forums mobile app