alteza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 209
- 53
Kama alikuwa haingii kwenye mikutano halali ya baraza la madiwani, si ujinga wake?
hoja yako sawa na jina lako yaani ni choo
Kama alikuwa haingii kwenye mikutano halali ya baraza la madiwani, si ujinga wake?
Mkuu Lunyungu, nimekusikia na U kweli unauma. Kitendo cha kuusema ukweli kuwa mimi Pasco ni mwandishi njaa sana na kuhusu mapenzi yangu ta dating kwa zile bahasha za khaki!, kimeniumiza sana!.Pasco kwenye hili niko nawe .Mara nyingine ushabiki kama waandishi wa habari njaa kama akina Pasco na mapenzi kwa bahasha inaleta shida sana kwenye mambo ya maana .Hii ni habari ya kawaida na sijaona kwa kweli historia yeyote .
Nimejaribu kusoma ili kujionea hiyo historia mpya iliyoandikwa na Lema ni ipi?!.
Kwa vile tunatofautiana uelewa, naombeni mlioelewa mnisaidie!.
Tanzania Daima bana!,nalo sometimes...
Pasco
"Pia madiwani hao waliwaagiza wataalamu kupima maeneo muhimu ikiwemo mito, hifadhi za barabara na maeneo ya milima na kuyawekea alama ili kuyalinda yasivamiwe kama hali inavyoonekana kwenye maeneo mengi ya jiji la Arusham"
Wanataka kuvunjwa hotel ya Kada wa CCM pale 7Up?
Rudi darasani ujifunze maana ya HISTORIA ndo urudi ucomenti hii threadNimejaribu kusoma ili kujionea hiyo historia mpya iliyoandikwa na Lema ni ipi?!. Kwa vile tunatofautiana uelewa, naombeni mlioelewa mnisaidie!. Tanzania Daima bana!,nalo sometimes... Pasco
Rudi darasani ujifunze maana ya HISTORIA ndo urudi ucomenti hii threadNimejaribu kusoma ili kujionea hiyo historia mpya iliyoandikwa na Lema ni ipi?!. Kwa vile tunatofautiana uelewa, naombeni mlioelewa mnisaidie!. Tanzania Daima bana!,nalo sometimes... Pasco
Hivi tanzania Daima ni gazeti?
"Pia madiwani hao waliwaagiza wataalamu kupima maeneo muhimu ikiwemo mito, hifadhi za barabara na maeneo ya milima na kuyawekea alama ili kuyalinda yasivamiwe kama hali inavyoonekana kwenye maeneo mengi ya jiji la Arusham"
Wanataka kuvunjwa hotel ya Kada wa CCM pale 7Up?
Daima sisomagi hili gazeti, limejaa udaku wa kichama sana!
Sioni historia hapo kama lema alikuwa haingii mikutanoni ni upumbavu wake mwenyewe
Suala siyo kuvunja hoteli ya kada wa CCM bali ni kwa mujibu wa sheria ya mazingira!"Pia madiwani hao waliwaagiza wataalamu kupima maeneo muhimu ikiwemo mito, hifadhi za barabara na maeneo ya milima na kuyawekea alama ili kuyalinda yasivamiwe kama hali inavyoonekana kwenye maeneo mengi ya jiji la Arusham"
Wanataka kuvunjwa hotel ya Kada wa CCM pale 7Up?
In Tanzania, there's a thin line between broadsheet and tabloid newspaper.
Gazeti kama Tanzania Daima inakuwa hata ni vigumu kuelewa liko sehemu ipi katika kuhabarisha jamii.
Heading kubwa and politically attractive lakini ndani yake ni zero content.
Ni kulitendea haki kusema kama hili ni gazeti la udaku kwa sababu kwa upeo wa mwandishi huwezi kutegemea alichokiandika katika fikra na mtazamo wake anaweza kukiweka katika kundi la "kuandika" historia mpya.
Hivi tanzania Daima ni gazeti?
Mkuu Lunyungu, nimekusikia na U kweli unauma. Kitendo cha kuusema ukweli kuwa mimi Pasco ni mwandishi njaa sana na kuhusu mapenzi yangu ta dating kwa zile bahasha za khaki!, kimeniumiza sana!.
You just hit the indoctrinate jackpot!. Ulichosema ni kweli kwa sababu wajinga ndiyo waliwao.Elimu ulopata toka majimarefu haiwezi ikakufanya kuelewa
...wavunje tu,au wataifishe iwe ya wananchi,yamezoea kutuibia mafisadi...
kama imejengwa kwenye hifadhi ya barabara itabomolewa tu , kimsingi hakuna kada wa ccm nchi hii bhana ! Hawa ni wajanja wanja tu , wanafanya hivyo ili mambo yao yaende .
Ile wataivunja tu iko kwenye mto kabisa na jamaa alimwaga pesa nyingi sana kujenga pale
Pamoja na hoteli ya Naura Spring ambayo imejengwa kwenye mto
Suala siyo kuvunja hoteli ya kada wa CCM bali ni kwa mujibu wa sheria ya mazingira!
Pasco angalia kwanguvu hiyo Thread utaelewa tu mjomba!Nimejaribu kusoma ili kujionea hiyo historia mpya iliyoandikwa na Lema ni ipi?!.
Kwa vile tunatofautiana uelewa, naombeni mlioelewa mnisaidie!.
Tanzania Daima bana!,nalo sometimes...
Pasco