Mkuu PASCO mbona imejieleza vizuri au we ulitaka historia ya namna gani?
chief Mangungo wa msovero and his bogus treaty!!
Mkuu PASCO mbona imejieleza vizuri au we ulitaka historia ya namna gani?
"Pia madiwani hao waliwaagiza wataalamu kupima maeneo muhimu ikiwemo mito, hifadhi za barabara na maeneo ya milima na kuyawekea alama ili kuyalinda yasivamiwe kama hali inavyoonekana kwenye maeneo mengi ya jiji la Arusham"
Wanataka kuvunjwa hotel ya Kada wa CCM pale 7Up?
"Pia madiwani hao waliwaagiza wataalamu kupima maeneo muhimu ikiwemo mito, hifadhi za barabara na maeneo ya milima na kuyawekea alama ili kuyalinda yasivamiwe kama hali inavyoonekana kwenye maeneo mengi ya jiji la Arusham"
Wanataka kuvunjwa hotel ya Kada wa CCM pale 7Up?
eti wewe Chris ni Shoga?kuna historia gani imeandikwa hapo?
Yaani mbunge kuhudhuria kikao cha Baraza la Madiwani ambacho yeye ni mjumbe kisheria na ni wajibu wake kuhudhuria ni historia!!!
Ama kweli Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Matusi ndio mtaji wenu mkuueti wewe Chris ni Shoga?
Speed yetu ile ile 120 na 2014/15 tunaipeleka mpk 180 naikibidi 220 ili wakae kabisa, lazima tuhakikishe wananchi wanapata huduma muhimu zote24/7 na hii system niya ku upgrade yote kiujumla na sio mafungu mafungu kama ilivyo sasa
Nimejaribu kusoma ili kujionea hiyo historia mpya iliyoandikwa na Lema ni ipi?!.
Kwa vile tunatofautiana uelewa, naombeni mlioelewa mnisaidie!.
Tanzania Daima bana!,nalo sometimes...
Pasco
"pia madiwani hao waliwaagiza wataalamu kupima maeneo muhimu ikiwemo mito, hifadhi za barabara na maeneo ya milima na kuyawekea alama ili kuyalinda yasivamiwe kama hali inavyoonekana kwenye maeneo mengi ya jiji la arusham"
wanataka kuvunjwa hotel ya kada wa ccm pale 7up?
Tehethe! Yani Umemzidi Uhelewa Pasco mzee wa Bahasha.