Mh. January Makamba, Nakupongeza kwa hili

Penye sifa pawe sifazake jamanisibora huyu hataatumiambinyakutumiatenojiakuwasiliananawapiga kura wake

Kuna wabunge wengi wa CCM na upinzani kwa mwaka hawatumii hata siku 30 jimbo nina na hawana njia ya kuwasilia na na wanachi ambao hao waanchi wanaijua

Lakini nakubainana wewe issue ya kuwa jimboni .Next Move CAG akague Matumizi ya ofisi za wabunge na Guest regisiter kwenye ofisi zao .
Am sure ripoti ikitoka wataka mabadiliko wote tutashangaa.

Hatutawashangaa wa CCM sababu tunawajua madudua yao bali tuwashangaa CDM
Mimi siwezi ku-support ujinga, tunataka wabunge wawe karibu na wapigakura wao, tunataka mbunge a-feel matatizo ya wale anaowaongoza, kama ni ukosefu wa maji auone kama ni umeme wote wakose.

Hajiulizi kwa nini yeye na kamati yake ya bunge ya nishati na madini walitaka kumnyang'anya meneja wa Tannesco generator la umeme, kwa sababu walitaka na yeye ayasikie mateso ya ukosefu wa umeme. Wewe uko kwenye ofisi kama ile mnayoisifia jengo la NSSF Water Front unapepewa na viyoyozi, mwana Bumbuli akikupigia simu kuwa umeme haupatikani siku ya tatu leo lazima utamwambia hata mafuta ya taa hayapo, utakuwa umemsaidia au unamwongezea matatizo.
 
Hujani-convince huwezi kufanya ubunge kwa message za simu he need to be there huo ni ubishororo tu na mbwembwe za ujana. Ni wapigakura wangapi wanaweza ku-afford kuwa na simu hata wakiwa nazo huwezi kutatua matatizo kwa simu hasa katika nchi zetu hizi.

na ni wangapi wanaojua kutumia hizo simu?
 
Tusipinge kila kitu kinachofanywa na ccm au mps wake. January is a visionsry MP. Anajua maana ya kuwa kiongozi wa watu. Nakupa big up January. Usivunjike moyo...endelrza juhudi za kusaidia wananchi wa jimbo lako
 
Binafsi yangu siwezi kusema lolote kuhusiana na Mbunge kuwa na Ofisi yake Dar wakati ni mbunge wa Mbumbuli inasaidia ama kuna hasara gani maana nijuavyo mimi fedha inatoka Dar na ndiko anapatikana Pinda, Mwanri, Mawaziri na Manaibu wengine wote. Tatizo la Utawala wetu sio la January bali ni la kimfumo maana sio tu tuna mawaziri na manaibu, Makatibu na wabunge wote na familia zao wakiishi Dar kuvizia fedha za ujenzi wa maendeleo ktk majimbo yao, na yule asiyekuwepo basi na lake huwa halipo vile vile. Sasa tutawalaumuje wabunge wetu kuishi Dar ikiwa ndiko fedha na mikakati huandaliwa?.

Nachowasikitikia wananchi wa Bumbuli ni pale napoelewa kwamba sasa hivi January atakuwa na majukumu mengine makubwa zaidi ambayo atataka ku prove kwamba anaweza kuifanya kazi ya uongozi wa wizara. Muda mwingi atauchukua kuelewa uongozi wa wizara zaidi ya uwakilishi wa jimbo lake na hivyo kulifanya jimbo lisiwe na kasi ya mandeleo kama zamani. Nimezisikia sifa zake kwa wana Bumbuli hivyo tusimkuhumu kabla hatujatazama matunda yake mtoto huyu wa mkulima.

Ni kutokana na mfumo huu wa wabunge kuwa mawaziri ndio unaoturudisha nyuma zaidi kwa sababu kila waziri atapenda zaidi afanye vizuri wizarani kuliko jimboni kwa uelewa kwamba atachaguliwa na rais hata kama hakushiriki ama kashinda uchaguzi wa jimbo.. Kwanza hakuna waziri anapenda kushiriki ktk uchaguzi wa jimboni maana unataka nguvu kubwa sana na unyenyekevu. Kama waziri wanashindwa kuwa wadogo chini ya wananchi hivyo bora alitengeneze jina lake kwa rais kwa kutegemea ubunge wa kuteuliwa.
 
Mimi siwezi ku-support ujinga, tunataka wabunge wawe karibu na wapigakura wao, tunataka mbunge a-feel matatizo ya wale anaowaongoza, kama ni ukosefu wa maji auone kama ni umeme wote wakose.

Hajiulizi kwa nini yeye na kamati yake ya bunge ya nishati na madini walitaka kumnyang'anya meneja wa Tannesco generator la umeme, kwa sababu walitaka na yeye ayasikie mateso ya ukosefu wa umeme. Wewe uko kwenye ofisi kama ile mnayoisifia jengo la NSSF Water Front unapepewa na viyoyozi, mwana Bumbuli akikupigia simu kuwa umeme haupatikani siku ya tatu leo lazima utamwambia hata mafuta ya taa hayapo, utakuwa umemsaidia au unamwongezea matatizo.
Hakuna anayeta ka kuspport ujingaa Lakini kuna wabunge wangapi wa CDM au NNCCR auCUF wanatuma japo siku 60 katika 360 wilayani achiia mbali jimbonii. Au kuna sheria ya mbunge imewekwa naCCM inawakataza?

Wabunge wangapi leo wa upinzani tukiomba resgiter zao za ofisizao tunaweza kuona walikutanana wananchi wangapi?

Ndio hapo nasema Bora January yuko dar amebuni mbinuya kuwasiiana nao wa bumbuli .Kuna shortcode nasikia wapiga kura wake wanaifahamu Hilo nampongeza lakini bado umhimu wa kwenda jimboni upo.
 
Tafakari kwanza ndg yangu,hivi kwa hali ya kawaida mwanambumbuli wa kijijini anaweza kufika kwenye ile office wakati hata kula kwake ni shida?akitumia tu lift si atasau hata kilichomleta?kwa ujumla J.M kajitenga na wananchi wake.
Kweli mkuu Januari anataka kujitenga na wapigakura wake hali hii inaitwa Social Status discrimination au Class discrimination. Ni sawa na Ritz1 kujenga nyumba Manzese na kuizungushia ukuta mrefu katikati ya nyumba za mbavu za mbwa, automatically hiyo ni social status discrimination.

Imagine mwanakijiji wa Bumbuli hata ile thumuni ya kununua unga wa mhugo hana kuipata lazima avizie Saibaba ili auze embe lake, leo unamjengea ofisi Dar ile nauli ataitoa wapi, hata akifika humo ofisini lazima tu atajisikia kama wa kuja, ametengwa vile, anaweza kushindwa hata ku-present kilichomleta.
 
Ni jambo jema kwa January ameweza kubuni namna ya kutatua matatizo ya wana Bumbuli. Wether chanzo cha solution ni Dar au Namtumbo hilo si shida kwangu as long as watu wa Bumbuli wanafaidika na anachokifanya.

Tatizo ninaloona hapa ni huu mtindo wa wabunge kugeuka au kugeuzwa kuwa serikali huko wanakotoka!. Kuna hatari ya kuzaa 'instistutional corruption'. Mbunge anakuwa afisa miradi, mbunge anakuwa mfadhili, mbunge anakuwa mwekezaji! Na akishakuwa vitu vyote hivi mtamwondoa vipi kama atakuwa 'corrupt? Na utaondoa vipi corruption kwenye mfumo wa uongozi kama wabunge ni 'wafadhili? We have to think critically here otherwise kila kukicha tunazidi kuboronga.

Kazi ya mbunge ni kutunga sheria na kuismamia serikali. Lakini kwa sababu uongozi umekuwa ni wa kununua wabunge wamejikuta wanatumia muda mwingi kubuni mbinu za kupata pesa za kuwanunua wapiga kura huku wakiacha serikali ina-squander hela za umma! Hela zinazoenda kwenye Halmashauri ni nyingi mno, wabunge hawafuatilii matumizi yake inavyostahili. Wakurugenzi kwenye Halmshauri wanatumbua maisha kwa hela za walipa kodi, mbunge yuko wapi?

Naomba nieleweke, simwongelei January ila naongelea mtindo au mkorogo kati ya legislature (bunge) & executive (serikali). Kama wabunge wangeisamamia serikali sawasawa nina amini Tanzania ingeondokana na omba omba kwa wafadhili within 15 years.
 
Naomba nieleweke, simwongelei January ila naongelea mtindo au mkorogo kati ya legislature (bunge) & executive (serikali). Kama wabunge wangeisamamia serikali sawasawa nina amini Tanzania ingeondokana na omba omba kwa wafadhili within 15 years.
Kwa mfumo tulionao ni vigumu sana kwa mbunge kuisimamia serikali, yeye ni legislature yeye huyo huyo ni executive haiwezekani. Ubunge ni fulltime employment uwaziri ni fulltime employment, kwa hiyo Waziri-Mbunge anakazi mbili ambazo yeye ni fulltime employee, hawezi kuwa efficient kwenye ofisi zote. Ndio maana watu kama kina Januari wanabuni hizi mbinu za kuwa na ofisi tatu tatu, wizarani, jimboni na Dar bila kusahahu Dodoma pia ana ofisi kule. Mimi nasema haya ni matumizi mabaya ya mali ya umma.

Leo ni Januari amebuni kesho atakuja mwingine baada ya muda itaonekana kama fasheni na mbunge bila ofisi dar utaonekana kama outdated, at the end of the day wabunge wote wanakuwa na ofisi nne nne. Lakini anayezihudumia hizo ofisi si Januari ni walipa kodi ni mlala hoi wa Bumbuli kwa maana ya kwamba kama ilitakiwa kununuliwa vitabu vinne vitanunuliwa vitatu, gharama ya kitabu kilichopungua inatumika kugharamia ofisi.
 
Kuwa mfuasi wa CDM nako ni mzigo yaani kuna wakati unalazimika kutounga mkono au kupongeza jambo eti kisa limefanywa na mtu ambaye ni kiongozi wa CCM ili hali ni jambo jema, honestly mimi pia nimekua inspired sana na January Makamba and big up to him. Tofauti za kiitikadi wekeni pembeni, wapo wabunge wa CDM na CCM hiki ni kipindi cha pili hawana ofisi kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wao.
Hawa jamaa usanii mwingi. Sa hv wanaona wananch wamestuka wanaanzisha mbinu zingine. Sa hv hapigwi mtu changa T2015 CDM.
 
mngejua ishuz zake huyu jamaa msingekua mnamsifia hivyo anyway... mwache asifiwe ndio wakati wake:shut-mouth:
 
Sasa huyu jamaa anasema kapenda kuona ofisi ya Januar Makamba mbunge wa Bumbuli nilikuwa sijaisoma vizuri nikaona kama imekaa poa lakini baada ya kusoma tena kama kawaida yangu nikaona ofisi iko Dar Es Salaam na Januar Makamba ni mbunge wa Bumbuli sasa hapa kweli wana Bumbuli wako na mbunge kweli? Jimbo Bumbuli ofisi Dar hii kali ya mwaka ama kweli wabunge 20 wa Ccm Magamba ni sawa na Mbunge mmmoja wa Chadema.

Jamani kule Bumbuli kumechoka sana barabara ni noma kuna barabara moja kutoka mji mmoja unaitwa Soni kwenda Mponde kiwanda cha chai na kupitia Kwemvumo Sec school ile njia ni noma,barabara nyingi hazipitiki kipindi cha mvua leo hii anakodi ofisi ni bora angeweka ofisi hiyo jimboni mwake au hata angejenga kutoka kwa hela za pango la ofisi Dar
 
Wana bumbuli, mmeambiwa anaandika proposal na kuandaa presentation ili zipatikane fedha kwa maendeleo ya jimbo lenu, kwa taarifa yenu, Mizengo Pinda kesha wauza wapiga kura wake huko Mpanda kwa mwekezaji wa kimarekani, Tunasubiri mgogoro huko, Nanyi furahieni ofisi, mkistuka mshauzwaaaa!! sijui nani anawanunua, manake tumeonyeshwa picha za majani mabichi ya chai kwenye komyuta kioo cha uchogo, (crt monitor).

kama hiyo chai ni mali huko ulaya na marekani awahimize kuilima, muisindike, awawezeshe mkaiuze wenyewe huko walipo wateja!!!!!!!! kinyume chake anainadi ardhi yenu na watoto wenu kwa mamlaka ya uwakilishi mliyompa, kesho keshokutwa mtaambiwa muwapishe wadhungu wanataka kutekeleza uwekezaji mkubwa kwa mujibu wa mkataba uliosainiwa kwenye HIYO OFISI MNAYOISIFIA, naihurumia maduda!

Kama jm aliweza kumuingiza kingi mmarekani kwa kuutumia mwili wa dada yake itakuwa nyinyi kapukumeni.
 
Nimeamini kweli wajinga ndio waliwao, mtu anafurahia mbunge wake kuwa na ofisi Dar badala ya jimboni mwake hajui kwamba hiyo inaweza kuwa excuse ya mbunge kutoonekana jimboni. Vipi mwaka 2015 Januari asiporudi bungeni nani ataendelea kuilipia.

Nawashangaa pia wanaosema kuwa na ofisi Dar ni kuwa karibu na strategic city pesa iliko, basi tumtafutie rais wetu ofisi Brussels iwe rahisi kwake kuomba misaada. Lengo la kuwa na mbunge majimboni ni kuwasogezea wananchi msaidizi msemaji wao, ni kama kupeleka madaraka mikoani, huwezi kusema unapeleka madaraka mikoani still hao wakuu wa mikoa wote wakawa na ofisi Dar.

Siku nikisikia mbunge wangu anajenga ofisi Dar badala ya jimboni mwake asahau kura yangu.
 
halow wana jf,

punde nilikuwa naangalia original comedy, nikaona masanja akimtembelea mh. J.makamba kwenye ofisi yake iliyo jengo la nssf water front. He has an excellent office there. Ni ofisi ya maendeleo ya watu wa jimbo la bumbuli.

I was so amazed kusikia alipopata ule mkopo wa gari alitafuta ofisi akaajiri vijana kwa ajili ya kutafuta fedha za maendeleo jimboni bumbuli!

Mm ni nimemkubali huyu jamaa, wachumia tumbo mjifunze hapa. Wabunge wangu wa cdm, tujifunze hapa tuige yalio mazuri.

Big up hon j. Makamba.
unauhakika kalipia mjengo huo?kafuatilie makablasha ndio utajua kama kuna hela imetolewa au amepewa kama fadhila ya jambo fulani...
 
Umetumwa na Makamba kumuimbia sifa na pambio au hujui unachosema?

Kama baba yake Yusuf hakuwa na ofisi yeye wadhani hiyo ofisi ni ya wana Bumbuli au anawaingiza mkenge aonekane anajali wakati ni voda fasta?

Usilojua litakusumbua.
 
halow wana jf,

punde nilikuwa naangalia original comedy, nikaona masanja akimtembelea mh. J.makamba kwenye ofisi yake iliyo jengo la nssf water front. He has an excellent office there. Ni ofisi ya maendeleo ya watu wa jimbo la bumbuli.

I was so amazed kusikia alipopata ule mkopo wa gari alitafuta ofisi akaajiri vijana kwa ajili ya kutafuta fedha za maendeleo jimboni bumbuli!

Mm ni nimemkubali huyu jamaa, wachumia tumbo mjifunze hapa. Wabunge wangu wa cdm, tujifunze hapa tuige yalio mazuri.

Big up hon j. Makamba.
binafsi nashindwa kuelewa jinsi watu wengine wanavyo fikiri! Kumsifia mtu kujenga ofisi ili kurahishisha kuomba misaada kwa wafadhili? Huku ni kufikiri kizamani.maendeleo ya kwerli huja kwa kufanya kazi kwa juhudi,bidii na maarifa tena kwa kutumia nyenzo za kisasa.kama anawapenda wapiga kura wake basi awafundishe kuvua samaki kuliko kuwapa samaki waliovuliwa na wazungu.watabaki tegemezi milele.ofisi hii ingikuwa imejengwa bumbuli kwa kuwaweka vijava wahimize wazazi kusomesha watoto wao,mimi ningempongeza sana.
 
Wadau mimi katika pita pita zangu siku moja nilipita www.bumbuli.org mtandao huu unahusu bumbuli development cooperation ambayo CEO wake ni JM. Lakini mtandao haukuwa open kusema kwamba visitors tunaweza kuona walau hata past projects zilizofanyika isipokuwa mtandao huo ulinitaka kuweka e-mail adress yangu then ndo nitakuwa napokea updates za bumbuli development cooperation. Mimi mpaka sasa sielewi kwanini information za bumbuli development cooperation zinafichwa hivyo? Kwa mwenye ulielewa zaidi kwenye hili anisaidie.
 
Back
Top Bottom