Hemed Maronda
Senior Member
- Oct 27, 2010
- 138
- 43
Umenena sawa hilo ndiyo tatizo la wanaChadema kila kitu cha CCM wao ni kupinga tu hatakama ni kizuri! Uzalendo ndiyo unaotakiwa tuache kulalama kusiko na msingi.Kuwa mfuasi wa CDM nako ni mzigo yaani kuna wakati unalazimika kutounga mkono au kupongeza jambo eti kisa limefanywa na mtu ambaye ni kiongozi wa CCM ili hali ni jambo jema, honestly mimi pia nimekua inspired sana na January Makamba and big up to him.
Tofauti za kiitikadi wekeni pembeni, wapo wabunge wa CDM na CCM hiki ni kipindi cha pili hawana ofisi kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wao.