Mh. January Makamba, Nakupongeza kwa hili

Mh. January Makamba, Nakupongeza kwa hili

Halow Wana JF,

Punde nilikuwa naangalia Original Comedy, nikaona Masanja akimtembelea Mh. J.Makamba kwenye ofisi yake iliyo jengo la NSSF Water Front. He has an excellent office there. Ni ofisi ya maendeleo ya watu wa jimbo la Bumbuli.

I was so amazed kusikia alipopata ule mkopo wa gari alitafuta ofisi akaajiri vijana kwa ajili ya kutafuta fedha za maendeleo jimboni Bumbuli!

Mm ni Nimemkubali huyu jamaa, wachumia tumbo mjifunze hapa. Wabunge wangu wa CDM, tujifunze hapa tuige yalio mazuri.

Big up Hon J. Makamba.

nimeiona pia jana jamaa yupo vizuri na yupo serious na majukumu yake, wachache sana wanaweza fanya kama jamaa juu ya mkopo wanaopata.
 
Mkuu Feedback sijamaanisha usifie kila kitu cha mtawala wala sina maana upinge kila kitu cha mpinzani
Ninamaanisha kizuri kipewe heshima yake na kibaya kipingwe bila kujali utawala wala upinzani..........thats all
Mkuu paulss wewe unaona ofisi ya mbunge wa Bumbuli kujengwa au kuwa Dar ni kitu kizuri, unaweza kutaja uzuri wake.
 
Last edited by a moderator:
January naye ni mtu wa kujikwezakweza mno. Ndio maana ni rafiki ya Zitto. Wana vingi wanafanana.
 
Mkuu mikopo ya magari inatolewa kwa wabungu wote hata viti maalum. Lkn kwa upeo wa January yeye kamua kufungu ofisi nzuri nzuri kupita kiasi. January unastahili pongezi, nimetamani sana shelves za vitabu. Dogo uko tofauti na kwa mwendo huo utazidi kuwatilumia vumbi tu.
Upeo gani mnaosema, wa kujitenga na wapigakura wake, eti anakuwa anawasiliana nao kwa meseji? ubunge kwa meseji ONLY IN TANZANIA.

Kama wewe umeshangaa shelve za vitabu hata ukija kwangu utashangaa, lakini hujajiuliza hivyo vitabu vinasomwa na nani, wananchi wa Bumbuli? au amewawekea wazungu. Tunataka shelve hizo ziwe Bumbuli ili mkulima wa zao la mkonge jioni aende ofisini akajifunze ukulima bora wa katani, sasa ofisi inawekwa Dar Water Front ambapo hata mtu wa Manzese kwa mfuga mbwa hajawahi kuingia sembuse kikongwe kutoka Bumbuli. Hilo wazo lingepongezwa iwapo kama hiyo ofisi ingejengwa karibu na walengwa.
 
nimeiona pia jana jamaa yupo vizuri na yupo serious na majukumu yake, wachache sana wanaweza fanya kama jamaa juu ya mkopo wanaopata.
I think i was wrong kumbe wenzangu mnashangaa fenicha?
 
Mkuu paulss wewe unaona ofisi ya mbunge wa Bumbuli kujengwa au kuwa Dar ni kitu kizuri, unaweza kutaja uzuri wake.
Ofisi ipo pia Bumbuli mkuu........ya hapa DSM ni kubwa kwasababu hapa ndio kila kitu kuhusu kutafuta wadhamini na ukaribu wa yeye na shughuli zake binafsi za kila siku.....................Hivi unafikiri mi wabunge wangapi wana ofisi popote na hasa wa CCM?
 
Last edited by a moderator:
...........

Point yangu ni kwamba, hata kama wazo ni zuri bado limeanzishwa na mwizi aliyekula fedha za mradi wa hospital na kuwaacha mamilioni ya waTZ wakitaabika. Ni kipi kitakachomzuia kuiba fedha za misaada ya miradi kama alivyofanya awali??????????????

Daudi mchambuzi
Atleast hii ni hoja lakini issue ya wabunge kuwa jimboni/wilayani ukiondoa wa mijini wachache sana wanatumia siku japo siku 60 kwa mwaka kwenye majimbo yao.

Sasa katika haowengi wanatumia muda mrefu mjini kuna wachache pia wanatafuta namna ya kupata na kuwasliiana na wapiga kura wao.
Sasa watu wanamlaumu January kwa anatakiwa kuwa bumbuli.Hizo ofisi za Maendeleo Hai ni mbowe anazitumia kila siku?

Wabunge wengi wanategemea communication za kikazi kupitia number zao private.Sio tatizo kubwa lakini lina vikwazo. Mtu anaweza kutumia short code .Hayo ni mawasilaino endelevu na recod zipo nadhani hata gharama ni nafuu kwa mpiga kura.

Kwa hiyo January na Team yake hata kama hawako jimboni/wilayni wana njia nzuri ya "kukutana" na "kuwasiiana" (Virtually) na wapiga kura .Hilo mimi nampa credit. Labda tuelezwe kuna wabunge hata wasipokuwa mjimboni wana njia bora ya kuwasiia na wapiga kura

Yes Kia kitu sisi wanachi tunpima kutokana na OUPUT lakini walau unaona kuwa Kwa INPUT fulani PROCESS ikifanyika vizuri Ouput inayotegemewa itapatikana.

Lakini kwa wabunge wengi wana Fail mwanzo kabisa hata kwenye INPUT ya kurahisiha MAWASILIANO( Iwe ni uso kwa uso au vinginevyo) kati yao na wapiga kura. Wabunge hawa wengi wana IPAD na Galaxy lakini matumizi yao ni Kama Nokia ya Tochi. Wabunge wengi wanaweza wasiwe wezi lakni Kutokuwa mwizi tu haitoshi. Tanzania tulipoTunahitaji viongozi WABUNIFU wenye IDEAS mpya

Mh Samuel Sita ana ofisi ya mbunge ya gharama kubwa jimboni lakini
  • anaitumia mara ngapi?
  • imemuwezesha kukutana na wapiga kura wangapi?
  • Anarekodi au kumbukumbu ya issue anazopelekewa au anategemea kichwa?

Huo mfano wa sitta una wagusa wabunge wengi wa magamba na magwanda. January alichofanya hasa cha kutumia shrtcde ni kuonyesha walu sio mtu anayeamini kufanya kazi kwa mazoea tu.
 
Kwangu mimi nampa pongezi anakitu fulani hivi kichwani mwake.Licha ya unafiki alio nao.
 
ni ujinga kuweka ofisi ya maendeleo sudan wkt nchi husika ni tz. Upuuzi mkubwa.
Hata kama kweli yanafanyika lakini haoni kuamisha maendeleo hayo kutoka dsm to bumbuli ni ufisadi pia. Bora angekaa kimya tu.
Oh mbona bunge la somalia lipo kenya.
 
Ofisi ipo pia Bumbuli mkuu........ya hapa DSM ni kubwa kwasababu hapa ndio kila kitu kuhusu kutafuta wadhamini na ukaribu wa yeye na shughuli zake binafsi za kila siku.....................Hivi unafikiri mi wabunge wangapi wana ofisi popote na hasa wa CCM?
Una uhakika kuna ofisi ya mbunge Bumbuli?
 
Hongera Mh. J. Makamba kwa mawazo mazuri. Hata mimi nilipoiona ofisi ya Maendeleo ya Bumbuli nilivutiwa sana.
 
Halow Wana JF,

Punde nilikuwa naangalia Original Comedy, nikaona Masanja akimtembelea Mh. J.Makamba kwenye ofisi yake iliyo jengo la NSSF Water Front. He has an excellent office there. Ni ofisi ya maendeleo ya watu wa jimbo la Bumbuli.

I was so amazed kusikia alipopata ule mkopo wa gari alitafuta ofisi akaajiri vijana kwa ajili ya kutafuta fedha za maendeleo jimboni Bumbuli!

Mm ni Nimemkubali huyu jamaa, wachumia tumbo mjifunze hapa. Wabunge wangu wa CDM, tujifunze hapa tuige yalio mazuri.

Big up Hon J. Makamba.

Kweli waTz hushangilia na kufurahia wanaotuibia. Sarakasi zingine ni too cheap kiasi kwamba ni madharau kwa akili za waTz
 
Mi sio gamba wala gwanda ila kwa mtazamo wangu nampongeza January kwa kuwa na akili ya kufungua ofisi haijali katumia hela za mkopo wa gari kama alivyosema au ni hela za wizi, ni wabunge wachache sana wenye mtazamo kama wa january, angalia kuna wabunge humo wana vipindi zaid ya vinne ni wabunge, wamefanya nini la maana?

Big up Kijana
 
Halow Wana JF,

Punde nilikuwa naangalia Original Comedy, nikaona Masanja akimtembelea Mh. J.Makamba kwenye ofisi yake iliyo jengo la NSSF Water Front. He has an excellent office there. Ni ofisi ya maendeleo ya watu wa jimbo la Bumbuli.

I was so amazed kusikia alipopata ule mkopo wa gari alitafuta ofisi akaajiri vijana kwa ajili ya kutafuta fedha za maendeleo jimboni Bumbuli!

Mm ni Nimemkubali huyu jamaa, wachumia tumbo mjifunze hapa. Wabunge wangu wa CDM, tujifunze hapa tuige yalio mazuri.

Big up Hon J. Makamba.

kwa kweli tunahitaji viongozi wa namna hiyo.
 
Mkuu Kiresua,wachaga wanafanya biashara zao binafsi na kwa faida yao binafsi,J.M.naye amejitoa kwenye uwakilishi?jengo,office kwa muonekano ni pazuri,je panamnufaisha mwanabumbuli ipasavyo?kumbuka kodi ya pale inalipwa kwa sq meter,je wananchi wanapata matunda ya hiyo office ipasavyo?

Mkuu hii ndio unapaswa kuhoji mwisho wa kipindi cha miaka yake 5. lakini nionavyo mm ameanza vizuri na tumpe moyo atafute mahela ya wana Bumbuli
 
Kweli waTz hushangilia na kufurahia wanaotuibia. Sarakasi zingine ni too cheap kiasi kwamba ni madharau kwa akili za waTz

hahahah Muhosin, huna takwimu huna haki ya kuongea, ameiba? duh! hii kali.... Mkuu siahangiliii kuona wanaoniibia, kama ametumia mkopo wake kuanzisha ofisi huo wizi unatoka wapi mkuu wangu!!
 
Jamaa alini inspire...kila mtu anamapungufu yake, but the guy is intelligent& visionery
 
Halow Wana JF,

Punde nilikuwa naangalia Original Comedy, nikaona Masanja akimtembelea Mh. J.Makamba kwenye ofisi yake iliyo jengo la NSSF Water Front. He has an excellent office there. Ni ofisi ya maendeleo ya watu wa jimbo la Bumbuli.

I was so amazed kusikia alipopata ule mkopo wa gari alitafuta ofisi akaajiri vijana kwa ajili ya kutafuta fedha za maendeleo jimboni Bumbuli!

Mm ni Nimemkubali huyu jamaa, wachumia tumbo mjifunze hapa. Wabunge wangu wa CDM, tujifunze hapa tuige yalio mazuri.

Big up Hon J. Makamba.

The office...EXCELLENT.

I reserve my comments for now.

Pengine Januari afunguke kidogo atueleze:
1. mission statement ya BUMBULI DEV CORP
2.nani ni waanzilishi?
3.imesajiliwa vipi, Trust(nani ni trustees), kampuni(nani ni shareholders)
4.source of funds zao na matumizi yao as well
 
Hahahaaa.. Watanganyika tusipoangalia tutaendelea kuwa wadanganyika mpaka kufa.. Ngoja nitumie uwanja wa kigeni kidogo.. Why are we always failing being logical and reasonable on sensitive matterz? We are oftenly receptive on made-stories.. How sure are we that Mr. Makamba spent his vehcle loan rent an office and not buyng a home or share.. Is it bcoz he said so.. And where will the money come from to operate that executive office.. Is it frm his pocket or bunge? What is the motive behnd demostrate and publicze whole of his office through the media especialy in the so-to-grab people attention program on that day [regards the past program whch gave attention to the next] the comedy, thru TBC.. Isn't he shows selfshnes to hs bumbuli people to whom he serve, and kndness to dar people, thru employment [tel me he employd hs people].. Why the office located at harbour/port view, dnt he want to see some stuffs {of his concern} off-loaded from ship.. Or to invite investors in his offce to have a look on how they can monopolize or “invest” bandarini.. If he has a record of “puttng-down” financer's money {as per allegation here on hospital built} why can't he do the same thru his office, regards nw has doublize his influence by bng dputy minster.. Who is auditing that association.. Has he ever publicizd the association financial report and progress at least to bumbuliz.. Isn't he cleaning his way to being promoted full minister.. Wil he run and operate as a head, all his offices..

I bear many question in my mind behnd the matter.. Am criticizng becoz I dnt lyk being feeded with visible ornaments.. Some other qns already posted by predecessorz..

The above-all question is “what is the general motive behind makambaz show“ ??
 
Back
Top Bottom