Mh. January Makamba, Nakupongeza kwa hili

Mh. January Makamba, Nakupongeza kwa hili

Bumbuli ipo dar es salaam? angetakiwa hiyo ofisi iwe jimboni Bumbuli naajiri na vijana wa hapo Bumbuli kwenye hiyo ofisi. Awe makini tumemuazima Hilo jimbo mpaka 2015 tuu CDM tunalichukua

Jamani kwenye mazuri tuwe tuna appreciate jamaa ana ofisi ya mbunge bumbuli pia.
 
January na wanaoshangilia ofisi ya mbunge wa Bumbuli kuwa dar ni bogus kweli kweli. Mtu anaongeza gharama za utendaji nyie mnaona sawa, mnataka kuniambia hana ofisi jimboni kwake kwani hao hawawezi kutafuta wafadhili.

Acheni kushangilia ufisadi unaofanywa kwa njia ya matumizi mabaya ya mali ya umma. Eti wengine wanasema ana ofisi hadi NYC ofisi ya mbunge ulaya?, sisi tunataka wabunge wawe karibu na wapigakura wao kumbe kuna wengine wanawaza kinyume nyume, ajabu kweli.
 
Siisifii hata kidogo hiyo ofisi! Kwani hapa mjini zipo nyingi tu.

Gharama ya kukodi ofisi hiyo kwa mwaka, inatosha kujenga ofisi nzuri hukohuko Bumbuli. Ofisi hiyo ingependezesha kijijini kwake na watu wangemfikia kiurahisi.

Je, asipopata ubunge hiyo ofisi itakuwaje? Hawa jamaa wametudanganya vya kutosha sana.

Kwa taarifa yako. Miezi miwili iliyopita Mkuu wa mkoa Tanga aliweka jiwe la msingi ujenzi wa ofisi ya kisasa ya Mbunge pale Bumbuli.
 
January na wanaoshangilia ofisi ya mbunge wa Bumbuli kuwa dar ni bogus kweli kweli. Mtu anaongeza gharama za utendaji nyie mnaona sawa, mnataka kuniambia hana ofisi jimboni kwake kwani hao hawawezi kutafuta wafadhili.

Acheni kushangilia ufisadi unaofanywa kwa njia ya matumizi mabaya ya mali ya umma. Eti wengine wanasema ana ofisi hadi NYC ofisi ya mbunge ulaya?, sisi tunataka wabunge wawe karibu na wapigakura wao kumbe kuna wengine wanawaza kinyume nyume, ajabu kweli.
January ndio mbunge pekee Afrika Mashariki aliyejiweka karibu na wapiga kura wake hasa kwa njia ya technolojia. Alizindua namba ya bure 1500... ambapo wapiga kura hutuma meseji bure kila siku hivyo kumfanya ajue kinachoendelea jimboni muda wote.
 
Mkuu Kiresua,wachaga wanafanya biashara zao binafsi na kwa faida yao binafsi,J.M.naye amejitoa kwenye uwakilishi?jengo,office kwa muonekano ni pazuri,je panamnufaisha mwanabumbuli ipasavyo?kumbuka kodi ya pale inalipwa kwa sq meter,je wananchi wanapata matunda ya hiyo office ipasavyo?
 
kipi cha maana kilichokurusha roho pale? ni zile picha za maskini wa bumbuli zinazotumika kutafuta sympathy kwa wahisani wakati wa kuomba misaada na wingi wa vitabu kwenye shelfu?

au niile view ya bahari?

Miradi na misaada kupitia january makamba ni deal binafsi hasa baada ya kufanya lile alilofanya juu ya fedha za msaada kutoka kwa yule dada wa familia ya ROCA FELA.

Since huyu jamaa kaonyesha unafiki kwenye swala la kuwawajibisha mawaziri naamini ni ni mchumia tumbo na ni kijana asiye na kifra huru milele hata kama angekuwa na ofisi mawinguni.
 
mleta mada usiwe mwepesi kudanganywa.........ile ofisi ni ya kawaida sana..
Lazima uelewe kuwa tunatofautiana kwa viwango vya ushamba. Mleta mada hajawahi kuona sofa zikiwa ofisini kazoea ofisi za walimu wakuu wa shule za kata. Jamaa kaweka vitabu kibao kwenye kabati ku danganya toto, atawapata washamba tu.
 
Tafakari kwanza ndg yangu,hivi kwa hali ya kawaida mwanambumbuli wa kijijini anaweza kufika kwenye ile office wakati hata kula kwake ni shida?akitumia tu lift si atasau hata kilichomleta?kwa ujumla J.M kajitenga na wananchi wake.
Wananchi wa bumbuli wanaweza kuwasiliana na mbunge wao muda wowote kwa kutuma ujumbe mfupi wa simu ya mkononi bure na mbunge hujibu au kuwasiliana na mamlaka husika mara moja kwa ajili ya utatuzi. Kawaulize wana bumbuli wakwambie namna walivyonufaika na huu ubunifu sio unakoment mambo ya bumbuli ukiwa Honolulu.
 
kipi cha maana kilichokurusha roho pale? ni zile picha za maskini wa bumbuli zinazotumika kutafuta sympathy kwa wahisani wakati wa kuomba misaada na wingi wa vitabu kwenye shelfu?

au niile view ya bahari?

Miradi na misaada kupitia january makamba ni deal binafsi hasa baada ya kufanya lile alilofanya juu ya fedha za msaada kutoka kwa yule dada wa familia ya ROCA FELA.

Since huyu jamaa kaonyesha unafiki kwenye swala la kuwawajibisha mawaziri naamini ni ni mchumia tumbo na ni kijana asiye na kifra huru milele hata kama angekuwa na ofisi mawinguni.
Hoja yako nini au chuki binafsi. Suala la uwaziri linaingiaje hapa?kijana anajitahidi tumuunge mkono!
 
Lazima uelewe kuwa tunatofautiana kwa viwango vya ushamba. Mleta mada hajawahi kuona sofa zikiwa ofisini kazoea ofisi za walimu wakuu wa shule za kata. Jamaa kaweka vitabu kibao kwenye kabati ku danganya toto, atawapata washamba tu.

hahahaha, ndugu umekosea! I have one of the best ofs incountry. Nilichosif ni vision yake alivyoiweka ktk practice, politician wangapi wana strategy kama hi? au wanapigana vikumbo kugombea fedha ya mfuko wa jimbo. Hoja hapa ungepaswa kuuliza na tunapaswa kumuliza Mh. JM, ofs imezalisha kiasi gani?
 
Hivi kule bumbuli kawanunulia simu hao wananchi au. Huu ni ufisadi tuache kutetea ufisadi.
tu kuna mtu kasema eti ofisi kaweka jiwe la msingi! Kwani ofisi za wabunge huko mikoani c zinajengwa na ofisi ya bunge?
 
January ndio mbunge pekee Afrika Mashariki aliyejiweka karibu na wapiga kura wake hasa kwa njia ya technolojia. Alizindua namba ya bure 1500... ambapo wapiga kura hutuma meseji bure kila siku hivyo kumfanya ajue kinachoendelea jimboni muda wote.
Hujani-convince huwezi kufanya ubunge kwa message za simu he need to be there huo ni ubishororo tu na mbwembwe za ujana. Ni wapigakura wangapi wanaweza ku-afford kuwa na simu hata wakiwa nazo huwezi kutatua matatizo kwa simu hasa katika nchi zetu hizi.
 
Hujani-convince huwezi kufanya ubunge kwa message za simu he need to be there huo ni ubishororo tu na mbwembwe za ujana. Ni wapigakura wangapi wanaweza ku-afford kuwa na simu hata wakiwa nazo huwezi kutatua matatizo kwa simu hasa katika nchi zetu hizi.

Penye sifa papewe sifa zake jaman. Si bora huyuJanauari hata anatumia mbinu ya tenojia kuwasilia na wapiga kura wake

Kuna wabunge wengi wa CCM na upinzani kwa mwaka hawatumii hata siku 30 jimbo Na hawana njia ya kuwasilina na wanachi ambao hao waanchi wanaijua.

Lakini nakubainana wewe issue ya kuwa jimboni .Next Move CAG akague Matumizi ya ofisi za wabunge na Guest regisiter kwenye ofisi zao .
Am sure ripoti ikitoka wataka mabadiliko wote tutashangaa.Hatutawashangaa wa CCM sababu tunawajua madudua yao bali tuwashangaa CDM
 
Sawa mi sikukubalina na jmakambaa kwenye issue ya waziri mkuu bungeni but kwa hili la jmakamba mi namuunga mkono tena kwa 100% kwani kijana anaonesha nia ya dhati kwa wananchi wake, Jamani si kila jambo tunapaswa kupinga bali yapo mambo ya kusifiwa kama hili alilolifanya jmakamba.
Big kaka jmakamba na mungu akupe maisha marefu na nia ya dhati ya kweli ktk kuwatumikia wanabumbuli na muda (2015) itakapofika uturudishie jimbo letu CDM kwa amani.
 
Halow Wana JF,

Punde nilikuwa naangalia Original Comedy, nikaona Masanja akimtembelea Mh. J.Makamba kwenye ofisi yake iliyo jengo la NSSF Water Front. He has an excellent office there. Ni ofisi ya maendeleo ya watu wa jimbo la Bumbuli.

I was so amazed kusikia alipopata ule mkopo wa gari alitafuta ofisi akaajiri vijana kwa ajili ya kutafuta fedha za maendeleo jimboni Bumbuli!

Mm ni Nimemkubali huyu jamaa, wachumia tumbo mjifunze hapa. Wabunge wangu wa CDM, tujifunze hapa tuige yalio mazuri.

Big up Hon J. Makamba.

Mkuu ulianza vizuri ila umemaliza vibaya, lengo lako lilikuwa ni kujaribu kubeza wabunge fulani ukiwalinganisha na January. Kikubwa waangalie wengine, kabla na baada ya kupata ubunge na pia mwangalie January kabla na baada ya kupata ubunge halafu walinganishe.

Ahsanta
 
Hoja yako nini au chuki binafsi. Suala la uwaziri linaingiaje hapa?kijana anajitahidi tumuunge mkono!

waziri aliyewai kuomba fedha za kujenga hospital mbeya na hakujenga na alipoulizwa na mhisani husika akamtukana matusi ya nguoni siwezi kuwa na imani naye milele.
wewe uliyejivua ufahamu utaona ni chuki binafsi ila ninasimama kwenye ukweli kwani naamnini kuitetea CCM inahitaji kuwa na akili ya maiti.
 
Back
Top Bottom