Mh Godbless Lema amjibu Tendwa

Mh Godbless Lema amjibu Tendwa

chadema au lema hawana wanasheria?
tendwa ni wakufungulia mashtaka,ushahidi uko wazi,kama ametumwa na wazee wa washiri yeye ni shahidi nakama ni propaganda yeye ni mtuhumiwa.
katika nchi inayodai inafuata utawala wa sheria haiwezekani mtu amtume mtu mwingine kupeleka taarifa za kumwua mtu na akaachwa hivihivi.

chadema wasiligeuze hili kuwa la kisiasa hili ni kosa na linatakiwa kuwa mahakamani.nitawashangaa sana kama wataenda kwenye kampeni huku tendwa akiwa akiwa uraini.
 
Kwamba Lema ana haki ya kwenda kufanya kampeni huko arumeru mashariki si suala hapa kwani sisi tulikuwa tunafahamu kabla ya yeye kusema. Anachotakiwa kutueleza ni hatua gani amezichukua dhidi ya watu waliotishia kutoa uhai wa mtu mwingine. Hili ni kosa kwa mujibu wa sheria za nchi yetu na kuna watu wengi tu wengine ambao walishafikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa kutishia kuua. Labda kama tuna sheria za aina mbili ndani ya nchi moja.
 
Sasa apa udini ni upi? hivi kwako tafsiri ya udini ni nini?

Mkuu dhambi aliyoifanya Tendwa ni sawa na dhambi ileile iliyofanyika Igunga ya kuwagawa watu kidini.Ameingia na gia mpya ya kuwagawa watu kikabila.Ndiyo maana Nyerere alisema udini na ukabila ni sawa na kula nyama ya mtu.
 
Kwamba Lema ana haki ya kwenda kufanya kampeni huko arumeru mashariki si suala hapa kwani sisi tulikuwa tunafahamu kabla ya yeye kusema. Anachotakiwa kutueleza ni hatua gani amezichukua dhidi ya watu waliotishia kutoa uhai wa mtu mwingine. Hili ni kosa kwa mujibu wa sheria za nchi yetu na kuna watu wengi tu wengine ambao walishafikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa kutishia kuua. Labda kama tuna sheria za aina mbili ndani ya nchi moja.

Na hapa inatakiwa Lema akomae kweli kweli,ni lazima akafungue faili la kutishiwa maisha na shahidi wake namba moja awe ni Tendwa
 
chadema au lema hawana wanasheria?
tendwa ni wakufungulia mashtaka,ushahidi uko wazi,kama ametumwa na wazee wa washiri yeye ni shahidi nakama ni propaganda yeye ni mtuhumiwa.
katika nchi inayodai inafuata utawala wa sheria haiwezekani mtu amtume mtu mwingine kupeleka taarifa za kumwua mtu na akaachwa hivihivi.

chadema wasiligeuze hili kuwa la kisiasa hili ni kosa na linatakiwa kuwa mahakamani.nitawashangaa sana kama wataenda kwenye kampeni huku tendwa akiwa akiwa uraini.

Naunga mkono hoja hii,huyu ni wa kuburuta mahakamani tu,nadhani anahitaji kufanyiwa operesheni ya kichwa.
 
hivi tanzania kwa sasa hivi inatawaliwa na nani?(si kuongozwa)
kwa sababu kila nikisikia kauli za watendaji wa serikali hii napata kichefuchefu.
 
Ujue huyu Tendwa ameshatendwa sana na CCM na anatumia Didasi kufikiri na kuiangamiza CHADEMA
 
Andengenye hajasema chochote hapa!!! tunataka achukue maelezo ya Tendwa na awakamate Washiri waliotishia kuua hadi kampeni za uchaguzi Arumeru zitakapo malizika,
ndipo wafunguliwe mashtaka na wajue kuwa tendo la kutishia kuua acha kuua kwenyewe,
ni kosa la jinai!
 
Nani kasema Godbless Lema hajasoma,ebu angalia nondo zilivyokaa,wangapi kwenye CCM wanaweza kuandika mtiririko wa hivyo?Bravo Lema
 
kuna jembe linaitwa agostino ramadhani hatuwezi kulipata likaungana na makamanda katika safari ya mabadiliko?

naomba viongozi wa chadema mlioko humu jf mlifuatilie litatusaidia sana.
 
Kwa hili Lema na CDM wamkomalie mahakamani nasi tutachanga vijisenti ili iwe ni fundisho
 
chadema au lema hawana wanasheria?
tendwa ni wakufungulia mashtaka,ushahidi uko wazi,kama ametumwa na wazee wa washiri yeye ni shahidi nakama ni propaganda yeye ni mtuhumiwa.
katika nchi inayodai inafuata utawala wa sheria haiwezekani mtu amtume mtu mwingine kupeleka taarifa za kumwua mtu na akaachwa hivihivi.

chadema wasiligeuze hili kuwa la kisiasa hili ni kosa na linatakiwa kuwa mahakamani.nitawashangaa sana kama wataenda kwenye kampeni huku tendwa akiwa akiwa uraini.
Tatizo ni huko mahakamani utakakokutana na majaji aina ya Werema, unategemea kupata haki huko? Imedhihirika kuwa mahakama ya wananchi ndiyo sehemu muafaka.
 
Jeshi lililo makini lingeweza kuchukulia serious hi taarifa za Tendwa, tusisibiri mpaka mauaji yatokee ndiyo wachukue hatua, na hii ndio udhaifu wa jeshi la polisi wanashughulikia reaction. Mwiteni Tendwa aeleze ni wazee gani hao na wao waitwe kwa mahojiano na karipio kali
 
Mie sioni sababu ya kumkataza Lema, kwenda Arumeru ni vizuri aende akaizamishe Chadema.

Huku ni kanda nyingine Mkubwa!

Hapa si Igunga mliochakachua mchana kweupe na usiku wa giza!

Komeni na mkomaee kwn huku ni kwingine!
 
CHADEMA,wekeni kambi uko uko na make sure wote wapiganaji wenye mvuto,Halima Mdee,Zitto Kabwe,Wenje,Highness,Said Halfi etc wanakaa uko uko mwanzo hadi mwisho.Wachovu kama Kahigi,mzee wa ujira wa Mwiga na left overs nyingine zote za CCM wasikanyage uko kwani ni ndumilakuwili wanaweza kuwauza wakati wowote.
 
Back
Top Bottom