Mgongano: Serikali Vs. Mwanahalisi - Mipaka ya Maoni?

Saafi sana, hapo ni kumkabidhi tu rais notes za mkutano wa siri wa Morogoro, uliofanyika chini ya Acting Chairman Nchimbi, kutokana na Lowassa kuwa US sasa hao serikali wakipewa hizo notes waseme wazi wasigeuke mabubu,

maana kuna ambao tuna copy tayari, Ohhh I love this yaani ushirika wa wachawi bwana kweli haudumu hata siku moja..

Natamani uweke hizo copy za hicho kikao hapa JF ili tuzione wote!!

ili hata serikali watakapothibitishiwa wasiwe na pa kutokea coz wananchi tutakuwa tumeshajua ukweli
 
....ina maana basi Usalama wa Taifa wamekuwa pretty ineffective basi

Huo usalama wa taifa ulishagawanyika zamani, kuna kundi linatumikia mafisadi, nadhani ndio maana hata muungwana akaamua kujiwekea channel zake za kutafuta habari nyeti badala ya kuwategemea hao
 
wakuu hapa ni wazi kuwa ndg. Yetu kubenea ana kazi moja tu nayo ni kumfagilia mbali edward kutoka karibu na uso wa jakaya.

Huenda huyu bwana ana baraka za jk ktk suala hili au la waislamu wa tz ambao wana dhamira ya kumuona mkuu jk aking'ara ktk 10 yrs yake ikulu huku wakiamini udhaifu uliojitokeza umesababishwa sana na edward lowasa na kidogo rostam.

All in all tunachohitaji ni njema yenye amani na sura ya kuendelea kwa kweli.

... la Waislamu wa Tz... unamaanisha nini? isijekutafsiriwa kuwa JK anamakundi ya kidini katika uongozi wake, clarification is needed Mkuu FDR Jr.
 
Natamani uweke hizo copy za hicho kikao hapa JF ili tuzione wote!!
ili hata serikali watakapothibitishiwa wasiwe na pa kutokea coz wananchi tutakuwa tumeshajua ukweli

Mkuu hapa kuna Ze-Comedy inayochezwa kati ya hizi political forces, JF sasa hivi tuko upande wa kushoto sana na moja kati ya haya makundi matatu ndio maana majuzi nilikuwa ninawaomba sana wakuu waipe pose kidogo ile topic ya Vifo vya watoto wa Tabora kwa sababu kuna movemment nilikuwa ninaziona ambazo zimepoa kidogo for now,

Lakini ninaomba kufafanua one thing, kwamba kikao hicho cha siri cha Morogoro, haikuwa in any way uvunjaji wa sheria yoyote ya jamhuri kwa sababu this kind of vikao Muungwana binafsi amevifanya sana wakati wa harakati zake za urais, kwa hiyo whatever comes kusiwe na vitisho vya sheria wala uhaini, kwa sababu this is not a case at all!

Kwenye kikao iliamuliwa kwamba kufanyike kila mbinu za kisiasa kuhakikisha Muungwana, anashindwa katika uchaguzi wa kumpitisha kwenye CC na NEC ili wampitishe mgombea wao yaani 2010, na ikakubalika kua iwapo watashindwa basi watumie kila mbinu kuhakikisha kwua kura za ushindi wa Muungwana zinakuwa ni chache sana ili wamdhoofishe kisiasa ili ifikapo asiwezew kumrithisha Membe, urais as a current plan.

Ninaomba kusema hivi kinachoendelea sasa hivi is a good political stuff kwetu wananchi, Muungwana sasa ni wakati wa ku-taste his own medicine, maana akumbuke vile vikao vyake vya siri pale foreign, sasa hapa asijaribu kiongozi yoyote kutumia sheria, kwa sababu hahihusiki kabisaa hapa ni siasa na uongozi tu, this is the best taste ya uwezo wa muungwana kiuongozi na wananchi lazima tuwe macho ili tusitumiwe kwenye huu ugomvi wa wachawi, wamalizane wenyewe kwa wenyewe.
 
Mkuu hapa kuna Ze-Comedy inayochezwa kati ya hizi political forces, JF sasa hivi tuko upande wa kushoto sana na moja kati ya haya makundi matatu ndio maana majuzi nilikuwa ninawaomba sana wakuu waipe pose kidogo ile topic ya Vifo vya watoto wa Tabora kwa sababu kuna movemment nilikuwa ninaziona ambazo zimepoa kidogo for now,

Lakini ninaomba kufafanua one thing, kwamba kikao hicho cha siri cha Morogoro, haikuwa in any way uvunjaji wa sheria yoyote ya jamhuri kwa sababu this kind of vikao Muungwana binafsi amevifanya sana wakati wa harakati zake za urais, kwa hiyo whatever comes kusiwe na vitisho vya sheria wala uhaini, kwa sababu this is not a case at all!

Kwenye kikao iliamuliwa kwamba kufanyike kila mbinu za kisiasa kuhakikisha Muungwana, anashindwa katika uchaguzi wa kumpitisha kwenye CC na NEC ili wampitishe mgombea wao yaani 2010, na ikakubalika kua iwapo watashindwa basi watumie kila mbinu kuhakikisha kwua kura za ushindi wa Muungwana zinakuwa ni chache sana ili wamdhoofishe kisiasa ili ifikapo asiwezew kumrithisha Membe, urais as a current plan.

Ninaomba kusema hivi kinachoendelea sasa hivi is a good political stuff kwetu wananchi, Muungwana sasa ni wakati wa ku-taste his own medicine, maana akumbuke vile vikao vyake vya siri pale foreign, sasa hapa asijaribu kiongozi yoyote kutumia sheria, kwa sababu hahihusiki kabisaa hapa ni siasa na uongozi tu, this is the best taste ya uwezo wa muungwana kiuongozi na wananchi lazima tuwe macho ili tusitumiwe kwenye huu ugomvi wa wachawi, wamalizane wenyewe kwa wenyewe.


Duu!!!,
Ukweli ni kwamba muungwana ni bomu kabisa najutia kura yangu niliyo mpa 2005 na wala sitegemei kumpa kura yangu tena, lakini Itakuwa ni upuuzi mkubwa sana kumpa kura yangu mtu mwingine tena ambaye ni chaguo la mafisadi!

Kwa vyovyote vie mafisadi hawa hawa ndo wame mdhoofu kikwete kwa vile walimuweka yeye, itakuwa sawa na kuruka mk... ukakanyaga ma.. kama tutarejesha chaguo la mafisadi kwa sura nyingine!
 
Nilishawahi kusema hapa kwamba TZ hivi sasa kuna serikali mbili; inayoongozwa na mafisadi (ambayo ndiyo ina nguvu zaidi) na ile inayoongozwa na Muungwana ... how right I was.

He allowed these and entertained them.Its pay back time.
 
hivi kweli mnafikiri JK atakuwa tayari kugombea tena? Right now he can't wait to get out of that chair. Lawama nyingi, mzigo mkubwa na watu wasio na shukurani. Ndio maana ni rahisi zaidi kwake kuwa kwenye hii misafara ambapo anazungukwa na kuimbiwa nyimbo, anatembezwa na lundo la watu na akisabahiwa na "ndiyo mzees!" Urais kwake ni mwisho na siyo mwanzo wa kile alichotaka kuifanyia Tanzania.

Ikifika 2010, akiamua kuweka manyanga chini hatajisikia vibaya kwani na yeye atakuwa ni "Rais mstaafu". Hawaelewi Watanzania wanachotaka mengi kutoka mikononi mwake, anashangazwa hawaoni juhudi yake yote ile ya kuwatafutia misaada, kuwatembelea na kutoa maagizo mbalimbali, anashangazwa inakuwaje Watanzania hawaoni mengi anayoyafanya kwa ajili ya Taifa lake.

Hivyo anaanza kuchukizwa; kuchukizwa na watu wasio na shukrani, kuchukizwa na watu ambao hawamuelewi. Hiki kinamshangaza. Licha ya yote ambayo anaamini ameyafanya hivi sasa pamoja na kumleta RAis wa Marekani ambaye alikaa nchini kuliko kwa muda mrefu kuliko nchi nyingi anazotembelea duniani, Watanzania hawaridhiki.

Wakati yeye anawashangaa Watanzania, Watanzania nao wanamshangaa yeye hivyo kutengeneza kukodoleana macho!
 
Unajua kila siku huwa najiuliza,upole na uzembe wa Rais wetu si kuna siku utatupeleka pabaya? Hivi kweli litokee Taifa jirani,kutuvamia kweli JK anaweza kuwa amiri jeshi na jemedari active kweli kuyaongoza majeshi yetu vitani? Hat kutangaza hali ya vita yenyewe atatetemeka kiasi cha kuyavunja moyo majeshi yetu.Mungu Ibariki Tanzania
 
Mkuu Mwnakjj,are you suggesting that tumpigie makofi JK kwa kumleta Bush nchini?and that alikaa muda mrefu sana?Do we even know hiyo misaaada aliyoitoa itawafikia walengwa?Dowe even know kama he had honest intentions of visiting us?was he after our minerals,national parks or establishing a whatever base?na JK anataka shukrani zipi kutoka kwa Watanzania?Kwani haukuwa wajibu wake?
Please!
 
Habari nilizozipata sasa hivi kuhusiana na ishu ya Serikali na Mwanahalisi:-

1. Serikali yaani wizara ya habari ilimtumia barua leo asubuhi Kubenea, # ISC/N/100/1/Vol.11 ikitaka awajibu haraka sana, kuhusiana na habari ilizoziita ni za uchochezi against viongozi wakuu, hasa rais, Lowassa, na Rostam na pia mtoto wa rais.

2. Kubenea aliwajibu saa moja baada ya kupata ujumbe huo wa serikali katika barua namba M/http/MC/001/15, kwamba wanaiomba serikali kuwapa muda zaidi hadi Jumatatu, kutokana na Kubenea leo kutingwa sana na kesi mahakamani ile ya Tindikali, lakini serikali ilikataa katika barua # ISC/N/100/1/Vol.12 na kumpa hadi saa tisa na nusu mchana kujibu, Kubenea ikabidi akaamua kuwajibu haraka kuwahi hiyo time.

3. Majibu ya Kubenea yamewafikia serikali saa tisa mchana, ikiwa ni only nusu saa kabla ya muda ulitolewa na serikali kama a dealine. Briefly the dataz ni kwamba:-

Kubenea amejibu kwamba Mwanahalisi, hawajui ni lini serikali iliwahi kuweka wazi kisheria mahali ambapo uhuru wa media unapoanzia na kuishia, na kwamba gazeti hilo halijawahi kujaribu kuwagombanisha rais na mtoto wake, isipokuwa ukweli uko wazi kwamba huyu kijana amekuwa akitumiwa na kina Lowassa na Rostam na kwamba kitendo cha Mwanahalisi kujaribu kulinganisha hali ya siasa ya Tanzania na ile ya Mbeki kule SA, ni suala la mtizamo tu wa kisasa na hakuna uvunjwaji wa sheria at all. Pia Kubenea amewakumbusha wizara hiyo kwamba Mwanahalisi watakua more than happy kukutana na serikali on hii ishu kwenye sheria, ambako ndipo pekee wanapotakia kisheria, kutoa ushahidi walionao kulingana na habari walizoziandika, ambazo wanazo.

My Take:

Hapa the sagga inaelekea kuzuri, according to the dataz ni kwamba Ridhiwani amekua akimnadi kwa nguvu sana huko behind the scene, mgombea wa Lowassa na Rostam, anayeitwa Beno hili halijawahi kwua siri na limesemwa sana na magazeti, sasa kama Ridhiwani anamanadi mgombea wa Lowassa si ndio maana yenyewe ya kutumwia nao, au?

According to more dataz ni kwamba Muungwana alishashituka na hili la kutumiwa kwa mtoto wake, kwa hiyo last two weeks amemhamishia huyu mtoto wake kwenye nchi moja huko majuu kwa excuse ya kwenda kusoma ingawa the goal ni kumficha kabsia to the public,

Leo umoja wa wanawake, walijaribu kumtishia Kubenea, lakini the dataz ni muungwana kuingilia kati na kuwakaripia kwua wakae pembeni, sasa sisi wananchi tumekaa mkao wa kula tunasubiri kuona kama serikali itaenda kwenye sheria ili ukweli owte uwekwe wazi. Huko Tarime mambo ni magumu sana kitendo cha katibu wa Tanga kuingia Chadema kimezidi kum-depress muungwana, hasa kutokana na the fact kwamba kimtokea kwa sababu ya kijana kukataa kukumbatia ufisadi ndani ya CCM,

Kwa kweli tunampongeza sana huyu kijana, viongozi wengi wakuu wa CCM, leo wamekua wakitabiri mwisho wa Makamba na ukatibu.

Ahsante Wakuu, Mods Iki-exipre naomba iunganishwe mara moja. Tutaendeela kuhabarishana maana sasa hivi kuna movemmentnyingi sana ambazo tunazi-monitor na tutaleta dataz hapa as soon as zikipatikana.
 
hivi kweli mnafikiri JK atakuwa tayari kugombea tena? Right now he can't wait to get out of that chair. Lawama nyingi, mzigo mkubwa na watu wasio na shukurani. Ndio maana ni rahisi zaidi kwake kuwa kwenye hii misafara ambapo anazungukwa na kuimbiwa nyimbo, anatembezwa na lundo la watu na akisabahiwa na "ndiyo mzees!" Urais kwake ni mwisho na siyo mwanzo wa kile alichotaka kuifanyia Tanzania.

Ikifika 2010, akiamua kuweka manyanga chini hatajisikia vibaya kwani na yeye atakuwa ni "Rais mstaafu". Hawaelewi Watanzania wanachotaka mengi kutoka mikononi mwake, anashangazwa hawaoni juhudi yake yote ile ya kuwatafutia misaada, kuwatembelea na kutoa maagizo mbalimbali, anashangazwa inakuwaje Watanzania hawaoni mengi anayoyafanya kwa ajili ya Taifa lake.

Hivyo anaanza kuchukizwa; kuchukizwa na watu wasio na shukrani, kuchukizwa na watu ambao hawamuelewi. Hiki kinamshangaza. Licha ya yote ambayo anaamini ameyafanya hivi sasa pamoja na kumleta RAis wa Marekani ambaye alikaa nchini kuliko kwa muda mrefu kuliko nchi nyingi anazotembelea duniani, Watanzania hawaridhiki.

Wakati yeye anawashangaa Watanzania, Watanzania nao wanamshangaa yeye hivyo kutengeneza kukodoleana macho!



Sitaona ajabu 2010 jamaa akihamishia familia yake Marekani.



.
 
Mkuu Mwnakjj,are you suggesting that tumpigie makofi JK kwa kumleta Bush nchini?and that alikaa muda mrefu sana?Do we even know hiyo misaaada aliyoitoa itawafikia walengwa?Dowe even know kama he had honest intentions of visiting us?was he after our minerals,national parks or establishing a whatever base?na JK anataka shukrani zipi kutoka kwa Watanzania?Kwani haukuwa wajibu wake?
Please!

ninachosema ni kuwa anawashangaa kuwa hamumuelewi.
 
Habari nilizozipata sasa hivi kuhusiana na ishu ya Serikali na Mwanahalisi:-

1. Serikali yaani wizara ya habari ilimtumia barua leo asubuhi Kubenea, # ISC/N/100/1/Vol.11 ikitaka awajibu haraka sana, kuhusiana na habari ilizoziita ni za uchochezi against viongozi wakuu, hasa rais, Lowassa, na Rostam na pia mtoto wa rais.

2. Kubenea aliwajibu saa moja baada ya kupata ujumbe huo wa serikali katika barua namba M/http/MC/001/15, kwamba wanaiomba serikali kuwapa muda zaidi hadi Jumatatu, kutokana na Kubenea leo kutingwa sana na kesi mahakamani ile ya Tindikali, lakini serikali ilikataa katika barua # ISC/N/100/1/Vol.12 na kumpa hadi saa tisa na nusu mchana kujibu, Kubenea ikabidi akaamua kuwajibu haraka kuwahi hiyo time.

3. Majibu ya Kubenea yamewafikia serikali saa tisa mchana, ikiwa ni only nusu saa kabla ya muda ulitolewa na serikali kama a dealine. Briefly the dataz ni kwamba:-

Kubenea amejibu kwamba Mwanahalisi, hawajui ni lini serikali iliwahi kuweka wazi kisheria mahali ambapo uhuru wa media unapoanzia na kuishia, na kwamba gazeti hilo halijawahi kujaribu kuwagombanisha rais na mtoto wake, isipokuwa ukweli uko wazi kwamba huyu kijana amekuwa akitumiwa na kina Lowassa na Rostam na kwamba kitendo cha Mwanahalisi kujaribu kulinganisha hali ya siasa ya Tanzania na ile ya Mbeki kule SA, ni suala la mtizamo tu wa kisasa na hakuna uvunjwaji wa sheria at all. Pia Kubenea amewakumbusha wizara hiyo kwamba Mwanahalisi watakua more than happy kukutana na serikali on hii ishu kwenye sheria, ambako ndipo pekee wanapotakia kisheria, kutoa ushahidi walionao kulingana na habari walizoziandika, ambazo wanazo.

My Take:

Hapa the sagga inaelekea kuzuri, according to the dataz ni kwamba Ridhiwani amekua akimnadi kwa nguvu sana huko behind the scene, mgombea wa Lowassa na Rostam, anayeitwa Beno hili halijawahi kwua siri na limesemwa sana na magazeti, sasa kama Ridhiwani anamanadi mgombea wa Lowassa si ndio maana yenyewe ya kutumwia nao, au?

According to more dataz ni kwamba Muungwana alishashituka na hili la kutumiwa kwa mtoto wake, kwa hiyo last two weeks amemhamishia huyu mtoto wake kwenye nchi moja huko majuu kwa excuse ya kwenda kusoma ingawa the goal ni kumficha kabsia to the public,

Leo umoja wa wanawake, walijaribu kumtishia Kubenea, lakini the dataz ni muungwana kuingilia kati na kuwakaripia kwua wakae pembeni, sasa sisi wananchi tumekaa mkao wa kula tunasubiri kuona kama serikali itaenda kwenye sheria ili ukweli owte uwekwe wazi. Huko Tarime mambo ni magumu sana kitendo cha katibu wa Tanga kuingia Chadema kimezidi kum-depress muungwana, hasa kutokana na the fact kwamba kimtokea kwa sababu ya kijana kukataa kukumbatia ufisadi ndani ya CCM,

Kwa kweli tunampongeza sana huyu kijana, viongozi wengi wakuu wa CCM, leo wamekua wakitabiri mwisho wa Makamba na ukatibu.

Ahsante Wakuu, Mods Iki-exipre naomba iunganishwe mara moja. Tutaendeela kuhabarishana maana sasa hivi kuna movemmentnyingi sana ambazo tunazi-monitor na tutaleta dataz hapa as soon as zikipatikana.

nakuaminia mzee wa dataz, lete mambo
 
Mkuu wangu Jasusi,

Beno Malisa ni mgombea wa uenyekiti UVCCM.


Mkuu FMES,

Mkuu asante kwa dataz,heshima mbele kama kawaida mkuu wangu.Makamba kesho anweza kuropoka kuhusiana na hii ishu ya huyu kijana.Nchimbi ni bora asifungue domo lake maanke atazidi kuharibu na ukizingatia zaidi ni kilaza wa kujenga hoja.Kwi kwi kwi
 
Habari nilizozipata sasa hivi kuhusiana na ishu ya Serikali na Mwanahalisi:-

1. Serikali yaani wizara ya habari ilimtumia barua leo asubuhi Kubenea, # ISC/N/100/1/Vol.11 ikitaka awajibu haraka sana, kuhusiana na habari ilizoziita ni za uchochezi against viongozi wakuu, hasa rais, Lowassa, na Rostam na pia mtoto wa rais.

2. Kubenea aliwajibu saa moja baada ya kupata ujumbe huo wa serikali katika barua namba M/http/MC/001/15, kwamba wanaiomba serikali kuwapa muda zaidi hadi Jumatatu, kutokana na Kubenea leo kutingwa sana na kesi mahakamani ile ya Tindikali, lakini serikali ilikataa katika barua # ISC/N/100/1/Vol.12 na kumpa hadi saa tisa na nusu mchana kujibu, Kubenea ikabidi akaamua kuwajibu haraka kuwahi hiyo time.

3. Majibu ya Kubenea yamewafikia serikali saa tisa mchana, ikiwa ni only nusu saa kabla ya muda ulitolewa na serikali kama a dealine. Briefly the dataz ni kwamba:-

Kubenea amejibu kwamba Mwanahalisi, hawajui ni lini serikali iliwahi kuweka wazi kisheria mahali ambapo uhuru wa media unapoanzia na kuishia, na kwamba gazeti hilo halijawahi kujaribu kuwagombanisha rais na mtoto wake, isipokuwa ukweli uko wazi kwamba huyu kijana amekuwa akitumiwa na kina Lowassa na Rostam na kwamba kitendo cha Mwanahalisi kujaribu kulinganisha hali ya siasa ya Tanzania na ile ya Mbeki kule SA, ni suala la mtizamo tu wa kisasa na hakuna uvunjwaji wa sheria at all. Pia Kubenea amewakumbusha wizara hiyo kwamba Mwanahalisi watakua more than happy kukutana na serikali on hii ishu kwenye sheria, ambako ndipo pekee wanapotakia kisheria, kutoa ushahidi walionao kulingana na habari walizoziandika, ambazo wanazo.

My Take:

Hapa the sagga inaelekea kuzuri, according to the dataz ni kwamba Ridhiwani amekua akimnadi kwa nguvu sana huko behind the scene, mgombea wa Lowassa na Rostam, anayeitwa Beno hili halijawahi kwua siri na limesemwa sana na magazeti, sasa kama Ridhiwani anamanadi mgombea wa Lowassa si ndio maana yenyewe ya kutumwia nao, au?

According to more dataz ni kwamba Muungwana alishashituka na hili la kutumiwa kwa mtoto wake, kwa hiyo last two weeks amemhamishia huyu mtoto wake kwenye nchi moja huko majuu kwa excuse ya kwenda kusoma ingawa the goal ni kumficha kabsia to the public,

Leo umoja wa wanawake, walijaribu kumtishia Kubenea, lakini the dataz ni muungwana kuingilia kati na kuwakaripia kwua wakae pembeni, sasa sisi wananchi tumekaa mkao wa kula tunasubiri kuona kama serikali itaenda kwenye sheria ili ukweli owte uwekwe wazi. Huko Tarime mambo ni magumu sana kitendo cha katibu wa Tanga kuingia Chadema kimezidi kum-depress muungwana, hasa kutokana na the fact kwamba kimtokea kwa sababu ya kijana kukataa kukumbatia ufisadi ndani ya CCM,

Kwa kweli tunampongeza sana huyu kijana, viongozi wengi wakuu wa CCM, leo wamekua wakitabiri mwisho wa Makamba na ukatibu.

Ahsante Wakuu, Mods Iki-exipre naomba iunganishwe mara moja. Tutaendeela kuhabarishana maana sasa hivi kuna movemmentnyingi sana ambazo tunazi-monitor na tutaleta dataz hapa as soon as zikipatikana.


Huwa nashindwa kujizuia, kuonyesha muhemuhe wangu pale unapomwaga habari ambazo mimi kwa upande wangu huwa naziamini. Ila zaidi pale unapoonyesha maslahi yako kwa nchi bila kujali ushabiki wa chama. Maneno hayo yamenivuta saana.Kuwa siasa si ugovi bali ni tofauti ya fikkra na mitazamo tu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom